Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Unapomwona mtu anasema haoni bidhaa za mrusi kisa haoni chupi, leso, soksi kutoka urusi muonee huruma mwambie kuwa VIFAA VYA JWTz more than 70% ni russian brands, wakati wewe ukiona malori kama MAN (US brand), scania na volvo from sweden, Fiat & IVECO from Italy etc etc Ukienda jeshini si rahisi kukuta vifaa vya brands za hizo nchi.
Vifaru vingi vilivyopo ni vya mrusi akifuatia china, Bunduki nyingi ni Russian made eg AVTOMAT KALASHNIKOV (AK 47) hizi bunduki hata wajeda wa NATO wanaipenda sana na kuitumia, ndege vita nyingi tulizo nazo ni Russian brand eg Mikhail Gurevich (MiG) tena sisi hatuna brand zile kubwa.
Russia ndiye muuzaji wa silaha kubwa duniani baada ya Marekani, wazo la kuundwa kwa Umoja wa kujihami wa nchi za magharibi yaani NATO ulitokana na kukabiliana na nguvu za DUBU (RUSSIA) kipindi hicho ikifahamika kama USSR na hii ilitokana na vita ya pili ya dunia ambapo ubabe wa Hitler ulihitimishwa na Mrusi hadi ujerumani kugawanywa katikati Reffer movie iitwayo Enemy at the Gates.
 
Erdogan hajaamua kuingia full fledged war na Syria.Siku akiamua nafikiri mazingira ya vita yatabadilika kabisa...Watu wanawachukulia powa sana Uturuki..
Eedogan hatakaa aamue kuingia full war na SYRIA Labda Kama Atahakikishiwa Na RUSSIA Yakwamba Wao Hawatahusika Na Lolote Ila Uwepo wa RUSSIA tu Ndio Unamtia Woga Ila Kama Ingekua Wanasimama SAA Ningekwambia Kweli TURKEY wataingia Wazima Wazima Ila kwauwepo wa TURKEY Hawatakaa Wajaribu Kuingia Mazima Maana Watakua Wanajitoa Kafara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu nihilo hilo tu MKUU Maana Kama Jamaa Alipokutolea Mfano wa Askari Wa TZ Waliopo CONGO Wale Wa TZ Waliopo DRC Wapo Kwakibali Maalum Tena Chini Ya UMOJA WAMATAIFA (UN) Kama Sijakosea Kwamalengo Yakulinda AMANI

Wanajeshi Wakenya Waliopo Somalia Wapo Chini Ya Mwamvuli Wa Umoja Wa Africa AMISOM Nakama Sijakosea Na Umoja Wamataifa Pia

Sasa unakuta kongo wanajeshi wa tz wapo official kabisa kama wanajeshi wakenya waliopo somalia (hii ndio point yang kama hawapo kwa kibali chataifa husika wapo kwakibali chaumoja wamataifa UN kama wapo kwakibali chochote kati ya hivyotajwa hapo juu cha Serikali Yataifa Husika Ama UN Basi wasikupe Shida Hao Niwavamizi Tuuu)
jamaa kasema Uwepo wa Urusi Syria ni mkakati kijeshi,ilo la kualikwa ni jambo jingine.

sasa kama ni mkakati wa kijeshi,Marekani nae anajeshi na ana mikakati yake pia,sasa kwanini marekani Akifanya hivyo Anaitwa jina tofauti na wengine?.


Sent using Jamii Forums mobile app
Taifa lolote Liwe RUSSIA kama walivyofanya AFGHANISTAN Liwe US Kama Walivyofanya IRAQ LIBYA SYRIA SOMALIA(1990s)9 AFGHANISTAN Nakwengineko Ama Taifa Lolote
Kama Litakua Katika Taifa Jengine Bilakibali Chataifa Husika Ama Umoja Wamataifa Kwamujibu washeria Zakimataifa Niuvamizi (Siongelei taifa fulani nitaifa lolote hata ikitokea TZ KENYA SOMALIA UGANDA Wakaingiliana Bila Kibali Maalum Chataifa Husika Ama Umoja wamataifa UN Inahesabika Niuvamizi)


Mwisho:-Uwepo Wa RUSSIA IRAN Nchini SYRIA Sio Uvamizi Sababu Hawanakibali Cha UN Ila Wanakibali Cha Serikali Halali Ya SYRIA Iliopo Chini Ya AL ASSAD (Wapokisheria)

Uwepo Wawanajeshi wa US KOREA KUSINI TURKEY SOMALIA Kwasasa SAUDIA QATAR (NATO) ISRAEL GERMAN-Huku Nihalali Kabisa Kwasababu Mataifa Husika Hapo Juu Yameridhia Nawapo Kimikataba Kabisa

Ila LIBYA SYRIA AFGHANISTAN IRAQ -Huku Kavamia Sababu Hakuna Ama Serikali Husika Hazikuwahi Kumkubalia Bali Alitumia Nguvu

-Wanapo Amua Kuyalinda Ama Kuyatetea Maslahi Yao Haya Mataifa Makubwa Hua Haya angalii Sheria Wala Nn Ila Jambo Hili Hua Sio Halali Hatakama Litafanywa Na RUSSIA Kama Walivyofanya Kule Afghanistan Enzi za USSR Ama Haitakua Halali Kama Inavyofanywa Sasa Na US Pale SYRIA LIBYA IRAQ


Maelezo mengi ila nahisi point yang umeimanya MKUU...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
karibu samaki samaki jioni acha kupanic na njaa zako,njoo mlimani city baadae utanikuta caunta acha maneno mengi,mstari mmoja unajibu na paragraph nzima?
Herufi kubwa zimepotelea wapi!?
 

Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.

Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi muda sio mrefu.

S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.

Hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya Mataifa ya Magharibi ni mafanikio makubwa kwa Marekani.
Wa Russi sio wajinga kiasi hicho,hizo S400 ziko versions nyingi sana kuna version wanazotumia wao na kuna "EXPORT VERSION" wanazo uza nje 😀 😀 😀 zipo tofauti zina share jina tu na magari ya kubeba! ni sawa na namna marekani anavyouza zile ndege zake za kivita F16 zipoversions mbali mbali versions za kisasa anakaa nazo mwenyewe,kwahiyo hizo Radar anazoziuza nje ni versions ambazo zina manufaa zaidi kwao kuliko kwa uturuki,wana akili sana hao sio mazoba kama sisi huku
 
Unapomwona mtu anasema haoni bidhaa za mrusi kisa haoni chupi, leso, soksi kutoka urusi muonee huruma mwambie kuwa VIFAA VYA JWTz more than 70% ni russian brands, wakati wewe ukiona malori kama MAN (US brand), scania na volvo from sweden, Fiat & IVECO from Italy etc etc Ukienda jeshini si rahisi kukuta vifaa vya brands za hizo nchi.
Vifaru vingi vilivyopo ni vya mrusi akifuatia china, Bunduki nyingi ni Russian made eg AVTOMAT KALASHNIKOV (AK 47) hizi bunduki hata wajeda wa NATO wanaipenda sana na kuitumia, ndege vita nyingi tulizo nazo ni Russian brand eg Mikhail Gurevich (MiG) tena sisi hatuna brand zile kubwa.
Russia ndiye muuzaji wa silaha kubwa duniani baada ya Marekani, wazo la kuundwa kwa Umoja wa kujihami wa nchi za magharibi yaani NATO ulitokana na kukabiliana na nguvu za DUBU (RUSSIA) kipindi hicho ikifahamika kama USSR na hii ilitokana na vita ya pili ya dunia ambapo ubabe wa Hitler ulihitimishwa na Mrusi hadi ujerumani kugawanywa katikati Reffer movie iitwayo Enemy at the Gates.
Si kweli kwamba zaidi ya 70% ya zana za JW ni za Kirusi kwa sasa. JW ina zana kutoka mataifa mbalimbali tena hasa China kuliko Urusi. Ukweli ni kuwa, bidhaa za Kirusi ni adimu sana kwa sasa nchini Tanzania.

Idadi kubwa hivi sasa ya zana za JW ambazo ni common hususani magari makubwa ya kijeshi, malori n.k. utakutana na brands kama Ashok Leyland kutoka India bila kusahau Iveco kutoka Italia. Very common!

Upande wa bunduki pia ni kutoka mataifa tofauti tofauti kama vile Ujerumani, Israel, Urusi n.k.

Kuhusu ndege, vifaru n.k napo kwa kiasi kikubwa ni kutoka nchini China.

Kwa sasa, China ni nchi ya pili na imekwisha izidi Urusi kwa uuzaji wa silaha duniani kulingana na utafiti mpya wa Stockholm International Peace Research Institute (SIPRI) wa mwaka huu.
 
Kuna muda sio lazma kusema hapana ili kuashiria kukataa
Onyesha niliposema Russia hana makampuni ya burudani. Unakuwa mnazi hadi unalisha watu maneno! Haya onyesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipotolea mfano wa holiwud ulikua una maanisha nn wakati mada ilikua ikiendelea nikwamba hakuna kiwanda ambacho kinapatikana US Halaf kikosekane RUSSIA

Ama Ulikua Namaana Gani Kuihusisha RUSSIA naholi Wood Wakati Mjadala Ulikua Unahusiana Na Viwanda Ambavyo Vipo US Halaf Wakati Huo Huo Hakipatiki Ama Havipatiki RUSSIA Ukatolea Mfano Holly Wood Nikakujibu RUSSIA Hawana Holiwudi Ila Wana taasisi yao ambayo ina run masuala mazima ya sanaa na burudani ijapokua haina umaarufu kama ilivyo ya US

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli kwamba zaidi ya 70% ya zana za JW ni za Kirusi kwa sasa. JW ina zana kutoka mataifa mbalimbali tena hasa China kuliko Urusi. Ukweli ni kuwa, bidhaa za Kirusi ni adimu sana kwa sasa nchini Tanzania.

Idadi kubwa hivi sasa ya zana za JW ambazo ni common hususani magari makubwa ya kijeshi, malori n.k. utakutana na brands kama Ashok Leyland kutoka India bila kusahau Iveco kutoka Italia. Very common!

Upande wa bunduki pia ni kutoka mataifa tofauti tofauti kama vile Ujerumani, Israel, Urusi n.k.

Kuhusu ndege, vifaru n.k napo kwa kiasi kikubwa ni kutoka nchini China.

Kwa sasa, China ni nchi ya pili na imekwisha izidi Urusi kwa uuzaji wa silaha duniani kulingana na utafiti mpya wa Stockholm International Peace Research Institute (SIPRI) wa mwaka huu.
tupe na link ya habari yako maana ninavyojua mimi china ni mtu wa 5 kwenye kuuza silaha.wa kwanza USA ambaye anauza asilimia 34 ya silaha zote duniani,wapili URUSI yeye anauza asilimia 22 ya silaha zote duniani. Huyo China hata asilimia 6 ya mauzo ya silaha duniani ajafikisha.wewe unasemaje China ni Wa pili?.

Kwa silaha gani anazozalisha uyo China mpaka aweze kumpiku Mrusi,yeye mwenyewe anategemea silaha kutoka Urusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa Russi sio wajinga kiasi hicho,hizo S400 ziko versions nyingi sana kuna version wanazotumia wao na kuna "EXPORT VERSION" wanazo uza nje 😀 😀 😀 zipo tofauti zina share jina tu na magari ya kubeba! ni sawa na namna marekani anavyouza zile ndege zake za kivita F16 zipoversions mbali mbali versions za kisasa anakaa nazo mwenyewe,kwahiyo hizo Radar anazoziuza nje ni versions ambazo zina manufaa zaidi kwao kuliko kwa uturuki,wana akili sana hao sio mazoba kama sisi huku
Sawa Mkuu,lakini huoni kama Uturuki akiwakaribisha maadui wa Urusi wenye uwezo kama USA,UK na Israel wakaichunguza hiyo mitambo halafu wakaenda kutengeneza silaha mpya au kuboresha silaha zao ili ziweze kuipenya S400.Huoni watakua wameharibu au kuua soko la S400?
 
Kuna muda sio lazma kusema hapana ili kuashiria kukataaUlipotolea mfano wa holiwud ulikua una maanisha nn wakati mada ilikua ikiendelea nikwamba hakuna kiwanda ambacho kinapatikana US Halaf kikosekane RUSSIA

Ama Ulikua Namaana Gani Kuihusisha RUSSIA naholi Wood Wakati Mjadala Ulikua Unahusiana Na Viwanda Ambavyo Vipo US Halaf Wakati Huo Huo Hakipatiki Ama Havipatiki RUSSIA Ukatolea Mfano Holly Wood Nikakujibu RUSSIA Hawana Holiwudi Ila Wana taasisi yao ambayo ina run masuala mazima ya sanaa na burudani ijapokua haina umaarufu kama ilivyo ya US

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilicomment Entertainment industry ya US ni zaidi ya viwanda vyote Russia, Hollywood ilikuja baadae kama mfano wa entertainment, so kwa uelewa wako hapo nilisema Russia hakuna entertainment?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilicomment Entertainment industry ya US ni zaidi ya viwanda vyote Russia, Hollywood ilikuja baadae kama mfano wa entertainment, so kwa uelewa wako hapo nilisema Russia hakuna entertainment?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja haikua ubora wala uduni waviwanda husika hoja ilikua upatikanaji wakiwanda husika ndani yataifa husika ambalo lilikua RUSSIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha hahaha hela nitoe wapi Mkuu!?
Nimetoa mtazamo wangu tu.Humu JF Kuna wataalamu wa kila fani.nilijua tu kuwa Kuna watu wataniondolea kiu ya maoni yangu.
Nipe Nondo zako Mkuu.
Ila bado Nina wasiwasi huko the dako hii Vita itachukua sura mpya,NATO wamekutana kujadili hatima ya mwanachama wao.Turky.Na Turkey amekwisha fungulia wakimbizi wameisha Anza kuingia Bulgaria.Europe wameanza kutafakari Jambo hilo.lnawezekana NATO wasiingie kijeshi lakini vipi wakimpa Turkey sophisticated weapons kumpiga Urusi Hali itakuaje?
Sina mtizamo mkuu Mimi huwa napitia pitia maoni ya watalaamu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom