Mr Big
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 479
- 922
Plz repost your thread again maana labda umeandika kwa kutokuwa na taarifa kamili za dunia inavyokwenda hasa kwa hizi nchi kubwa kama urusi na marekan
Kwa kukuusaidia tu,hakuna hasara ila mrusi ni nchi hatari sana kijeshi kwa karne ya sasa.masrah yake ni makubwa na hata mmalekan mwenyewe anamwogopa..
Ukitaka kujua fuatilia vita vya syria namna vinavyoendeshwa
Kwa kukuusaidia tu,hakuna hasara ila mrusi ni nchi hatari sana kijeshi kwa karne ya sasa.masrah yake ni makubwa na hata mmalekan mwenyewe anamwogopa..
Ukitaka kujua fuatilia vita vya syria namna vinavyoendeshwa