MKUU Kwan Unahisi Wakati RUSSIA Anayauza Hayo Ma S Hakujua Kama TURKEY Ni Mwanachama Halali Wa NATO !?Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
HAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSIWewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Syria zipo na Israel wana piga wapendavyo.Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Wasipouza silaha na mafuta nini tena wanacho cha kuuzaWewe una akili kuwashinda warusi?.Warusi wanajua kabisa unavyomizia mtu silaha basi kuna uwezekano mkubwa ikafika kwenye mikono sio salama maana kuna adui kuteka silaha,kuna mapinduzi ya kikeshi na mambo mengine mengi tu.kwa iyo mpaka wanauza basi washanjiandaa kwa mamboengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijitu vingine bwana,yani hapo wewe nae eti umechangia,waswahili ndio maana huwa tunashindwa maswali mepesi tu.umeonesha jinsi ulivyo kilaza.HAPO UNAKUTA YUKO HOI BIN TAABANI HATA PESA YA KULA HANA MFUKONI LAKINI ETI ANACHAMBUA MAMBO YA URUSI
karibu samaki samaki jioni acha kupanic na njaa zako,njoo mlimani city baadae utanikuta caunta acha maneno mengi,mstari mmoja unajibu na paragraph nzima?Vijitu vingine bwana,yani hapo wewe nae eti umechangia,waswahili ndio maana huwa tunashindwa maswali mepesi tu.umeonesha jinsi ulivyo kilaza.
hivi mimi na wewe nani yuko hoi?kwanza umetumia herufi kubwa isivyostahili,pili umeonesha ujinga wako hadharani kwa kuhusisha fedha na maoni.sasa mtu kutokua na fedha kunamzuia kutazama Al jazeera,au Press TV,au RT,au kusoma Sputnik news,au kusoma habari kupitia Mitandao mbalimbali?
Kati ya mimi na wewe nani yuko hoi? kama mimi niko hoi mfukoni,wewe uko hoi kichwani.
Urusi wanazungumzia S500..................Kitendo cha Urusi kumuuzia Uturuki silaha aina ya S400 kilikua ni kosa kubwa sana la kimkakati lililofanywa na Urusi.
Kosa hili litaigarimu na kuiumiza sana Urusi mda sio mrefu.
S400 isipotumika dhidi ya Urusi basi Uturuki atawaalika US na NATO kwenda kuichunguza na kujua namna ya kuipenya.
hili ni kosa kubwa la Urusi dhidi ya West.ni mafanikio makubwa kwa US.
Ndo nakuambia wewe ni kilaza umeona mlimani city sehemu ya maana sana.karibu samaki samaki jioni acha kupanic na njaa zako,njoo mlimani city baadae utanikuta caunta acha maneno mengi,mstari mmoja unajibu na paragraph nzima?
Urusi wana bidhaa nyingi sana Mkuu.Urusi ana karibu viwanda vyote alivyonavyo Mmarekani.Wasipouza silaha na mafuta nini tena wanacho cha kuuza
hapa bongo TZ taja vitu vya mrusi dukaniUrusi wana bidhaa nyingi sana Mkuu.Urusi ana karibu viwanda vyote alivyonavyo Mmarekani.
looooh sasa unataka nikupeleke vijiwe vyote kwa siku moja jamani,tuanzia hapo nitakuwa nakutembeza kidogo kidogoNdo nakuambia wewe ni kilaza umeona mlimani city sehemu ya maana sana.
Hujui chochote nje ya Samaki samaki.waswahili bana.
Na Vodka pombe tu labda zile spika sijui kama bado zipo.