Kama Kuna msaada wa kiimani ama kisaikolojia naomba tafadhari kabla sijachanganyikiwa

Kama Kuna msaada wa kiimani ama kisaikolojia naomba tafadhari kabla sijachanganyikiwa

Matatizo yanaanzia kwenye Abortion.

Hilo jambo usilione dogo... Ni kubwa sana.
Ndo tunamwambia ila anajaza kichwa, na Mungu anasamehe hata waliotoa mimba tano sembuse yeye mimba moja? Tatizo anajiona hafai kabisa nahuku ana nafasi ya kusamehewa na Mungu, basi we mwache aende kwa waganga ma wachawi
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati [emoji24]Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Hauhitaji ushauri wa kiroho,na wala huna mkosi wowote na wala hujarogwa,ila ni mentality yako inahitaji paradign shift,amua wewe mwenyewe nini cha kufanya na amua mwenyewe ni mume yupi unayemtaka ndipo umtafute wala haitachukua mwezi utampata mchumba
 
Ndo tunamwambia ila anajaza kichwa, na Mungu anasamehe hata waliotoa mimba tano sembuse yeye mimba moja? Tatizo anajiona hafai kabisa nahuku ana nafasi ya kusamehewa na Mungu, basi we mwache aende kwa waganga ma wachawi

Toba ni ya aina gani nifanye… maana ilo jambo nilishalifanyia toba Mbele za Mungu tena kwa maombi ya kufunga wiki nzima na naendelea kuomba toba kila napopata muda wa kuomba…
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati [emoji24]Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Tuliza akili, fikiria kuhusu uhusiano na watu wanaokuzunguka ujue nini ufanye nann usifanye, nini uongee na nini usiongee. Usijipe laana za kufikirika, jifunze kuwa mtu wa kawaida kama watu wengine zungumza Kwa kujiamini, usimpe mtu mwanya wa kumfanya abashiri maovu yako uliyoyafanya kwani itakupotezea mvuto. Kumbuka kila mtu ana maovu yake ila tofauti yako na wengine ni kwamba wewe huwez kuficha guilty. Kuna wengine ma shoga, wachawi, wauwaji, majambazi lakini hawapungukiwi na bahati nzuri na fursa tamu tamu. Jifunze ukomavu, haujarogwa Wala hauna laana
 
Mkakutana siku moja, akakutongoza siku moja, akakushenyenta siku moja, ukabeba mimba siku hiyo hiyo moja, ukaitoa hiyo hiyo mimba moja... Sijui nataka niseme nini?
Basi sawa.
 
Pole sana dada yangu kwa unayopitia lakini si mpango wa Mungu.

Mimi ninaona una shida ya koroho zaidi na unahitaji msaada wa kiroho.
Kuna watu wana maagano na shietani huku duniani kuharibu watu na kizazi. Huyo mme wa mtu aliyekuharibia usichana wako hapo ndipo matatizo yalianzia na wewe hapo ndipo ulipokosea na inawezekana kabisa alitumia nguvu za giza kukupata bila wewe kuwa na habari. Na hii ni baada ya wewe kutotulia kwa Mungu. Inawezekana huyu mtu amekuwa spiritual husband wako na amekufunga na kila mwanamme utakayempata anaweza kufa au kukuacha bila sababu yoyote na pia usiweze kufanikiwa. Hayo tumeyaona. Baada ya kukuta wewe bikira basi katika ulimwengu wa roho anaweza kuwa amekufunga kabisa na anataka uwe mke wake na inawzekana wewe ni mke wake bila wewe kujua.

Cha kufanya na ushauri wangu ni huu.
Tafuta mtumishi wa Mungu anayeeleweka au kanisa linaloeleweka linalohubiri injili ya kweli ya wokovu ambayo ni kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako. Soma Warumi 10:9-12 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao . Baada ya hapo utaombewa delverence ili uweze kufunguliwa katika vifungo ulivyo navyo. Yesu alikuja kuwaokoa wenye dhambi. Soma Matayo 11:28. " Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi. Pia soma Yohana 10:10 "Mwivi (shetani) haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi (Yesu) nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele".
Mungu alimtuma mwanaye Yesu ili kutuondolea vifungo ambavyo shetani ametufunga tusifanikiwe. Ukimtafuta na ukimwamini hakika utafunguliwa tu. Wengi wamefunguliwa kwa jina hili la Yesu lipitalo majina yote na maisha yao yamebadilika sana.
 
Toba ni ya aina gani nifanye… maana ilo jambo nilishalifanyia toba Mbele za Mungu tena kwa maombi ya kufunga wiki nzima na naendelea kuomba toba kila napopata muda wa kuomba…
Basi msaada wa kisaikolojia ndo utakufaa
 
Mkakutana siku moja, akakutongoza siku moja, akakushenyenta siku moja, ukabeba mimba siku hiyo hiyo moja, ukaitoa hiyo hiyo mimba moja... Sijui nataka niseme nini?
Basi sawa.

Duuh umetulia ukasoma kweli nimesema nilijuana nae ndani ya wiki moja na mimba ni baada ya wiki Tatu … tuliza kichwa
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati [emoji24]Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Dada pole sana ....najaribu kuwa kwenye kiatu chako ....ila pole tu hapo kwenye kukataliwa kazi sijui kusimamishwa utakuwa umetupiwa ka kitu au umepuliziwa muone sheikh au unetupiwa roho ya kukataliwa tyr
 
Una negative energy nyingi sana umezikumbatia. Focus kwenye mazuri yaliyowahi kutokea kwenye maisha yako na yaliyo mbele yako. Kilichopita kimepita huwezi kubadilisha. Ila kilocho mbele yako ndicho unaweza kukibadilisha. Kaa humo.
 
Mlokole kweli wewe, mara uwe wa kiume mara uwe binti wa miaka 25.

Hauko siriaz
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati [emoji24]Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Uko tayari nikupeleje kwa bibi yangu Runzewe akajupige chale
 
Ninayoyaandika hapa ni ya ukweli na nahitaji kuambiwa ukweli na kusaidiwa achana na nyuzi zangu za nyuma dili na huu uzi tu ili kuepusha maswalimaswali mengi

Mimi ni binti wa miaka 25.. ni wa mwisho kwa mama yangu.. nikiwa na miaka 5 nilipelekwa kulelewa na mama wa kambo mpk mzee wangu alipoaga dunia.. maisha niliopitia ni mabaya ya kulelewa na mama wa kambo yule mama alikuwa na Roho mbaya sana

Simchukii mama yangu lakini Kuna wakati nikiwaza Naona kama akunitendea vyema kunipeleka kwa baba angu na yeye kwenda kukaa kijijini kwao mimi huku akiniacha nateseka nina amini kuwa alitaka tu kumkomoa mzee na mwanamke wake… niseme tu niliteseka sana mpk mzee akaamua kunipeleka shule ya bweni ili kupunguza manyanyaso… nilinusurika mpk kubakwa nikiwa mdogo sana

Baada ya mzee kufariki mama alikuja kunichukua maisha rasmi ya kuishi na mama yakaanza.. mama ni mtu wa kanisani kanisani yaani mlokolee kwaiyo na sisi tumekulia hukohuko kanisani.. mpk namaliza kidato cha nne nilikuwa bado ni binti mzuri wa kanisani sijui chochote kuhusu ulimwengu… Mungu saidia nikaenda 4m5 na 6 nikiwa 4m6 ndio kupata Kijana mlokolee mwenzangu ila hatukulast aliniacha nikiwa mwaka wa kwanza chuo… yaani iliniharibu kisaikolojia sana maana nilikuwa nikimpenda mno.. japo hatukuwai kusex but ni ule upendo tu.. nilianza kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti ili kumsahau ambacho nilikuwa sikifanyi na hao wanaume ni sex kwakuwa bado nilikuwa na ule msimamo wa kilokole

Nasema ukweli mbele za Mungu mimi mpaka ninamaliza chuo kikuu mwaka wa 3 sikuwai kufanya sex kabisa nilimaliza nikiwa bikira.. huzuni ni kuwa alienitoa bikira ni mume wa mtu ambae anataka kunioa mpk sasa mke wa pili ndoa ya kiislam ( huyu nilikutana nae nikiwa nimemaliza 4m6 akawa analazimisha kunioa nikakataa ndio akaoa mke mwinginee,, nilikataa kwasababu sikuwa tayari kubadilisha dini)

Baada ya kupoteza usichana wangu safari ilianza upya.. kuna Kijana nilikuwa nae yeye tulikuwa tunawasiliana kwenye simu sikuwa nimemtilia maanani sana na tulifahamiana nikiwa bado nipo mwaka wa 3 alikuwa nnje ya nchi hivyo kwangu niliona kama tunapotezeana muda inawezekana kaacha mtu wake bongo halafu ananipotezea mimi muda, kumbe Kijana alikuwa ana maanisha (baadae alikuja kuwa ndio mchumba)

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 nasubiri kufanya mahafari nikiwa mkoa X nilienda kufanya sup nikasubiri na mahafari.. nilikuwa sina hela kabisa ya kufanya home walituma 50k ambayo yote nililipia Joho tu na mashoga zangu ndio walinilazimisha nifanye graduation wakanipa na nguo zao na viatu vingine wakasema nipambane nipate.. Hii graduation nafiriki ndio maisha yangu yalianza kuharibikia hapa

Kuna Kijana nilikutana nae huko nilipofikia nikiwa nasubirii graduation alinivutia tukajikuta ndani ya wiki 1 tumetongozana na tumekulana siku hiyohiyo nikabeba ujauzito wake.. sijui Mungu alitaka kuniumbua maana yule mwanaume alienitoa bikira tulifanya nae mara moja tu na hakunimwagia manii yake ndani alimwaga nnje.. ili huyu wa pili alimwagia ndani na mimba siku hiyohiyo

Baada ya kugundua hilo mwenzangu hakuwa na shida akakubali kulea ila home haswa mama yangu alikataa sana mpk kuwatuma Watu wake waje kunishawishi niitoe.. Hakuna aliekuwa upande wangu usipokuwa mwanaume tu ndio alinisapot.. nikiri tu ule ujauzito nilifanya abortion ikiwa na wiki 3 jambo ambalo linaniumiza mpk Leo

Nilifanya vile kwasababu mwanaume wangu yule wa nnje nilishaanza kumpenda na isitoshe tulishapanga akirudi tunapanga ndoa.. huyu Kijana nilieshika ujauzito siku nikimpenda hata kidogo na Kijana ambae tunaringana umri yaani ana mambo mengi kwaiyo isingewezekana mimi kufanya nae maisha

Baada ya hilo tukio kupitia mahaba na mchumba wangu yalinoga sana.. jamani ni mwanaume aliekuwa akinipenda mno mno Hakuna kitu nitake tikakosa..jambo lililofanya nikatulia nae.. kweli alirudi mipango ya ndoa ilianza lakini kama mjuavyo kitu unachokipenda sana hata hukipati [emoji24]Mungu alimchukua yule Kijana apumzike kwa amani

Baada ya kufariki kwake maisha yameanza upya upwekeupweke.. nikaanza tafuta kazi nakosa

Sasa kilichonileta hapa ni haya maisha nayopitia sasa
Mimi nikiomba kazi sipati nishafanya interview kama zote.. kinachoniuma zaidi niliitwa sehemu kama mbili kufanya kazi moja nilifanya kama wiki 1 mara ghafla boss hataki niendelee na kazi na Hakuna sababu ya msingi.. kazi ya pili nimeenda siku 1 na tulikuwa training ya mwezi 1 ghafla naambiwa nimesitishiwa mkataba

Kingine napata wanaume wa maana ila ghafla wanaondokaa… mpk kuna ndugu yangu nilikuta anachart na ndugu yangu mwinginee anamwambia mimi sina bahatii kama yeye… maana yeye kaolewa na mwanaume mwenye hela

Mama yangu nae amekuwa mtu wa kunisamanga kisa sina kazi mara aniambie nimerogwa ndio maana naachishwa kazi ama nikiomba sipatii ananiambia kuwa nilitamkiwa maneno mabaya na mama wa kambo ndio maana sifanikiwi … mimi nilishaacha kwenda kanisani tangu hayo matukio yatokee

Nawaza je ni karma hii baada ya kufanya abortion au nimelogwa ama ni maisha ya kawaidaa ambayo kila mwanadamu anapitia… maana nimeanza kujisikia vibaya kwa maneno anayonitamkia mama labda ni kweli nimerogwa

Mahusiano kwa sasa sina ila yupo Kijana ambae namuelewa ila sijui upande wake ila ningetamani huyu angekuwa wa mwisho kama nikiwa nae… nasema sina mahusiano nae kwasababu hajaniambia direct kama ananihitaji so na mimi nimebaki hapo aliponiweka

Kama Kuna mtu ana ushauri wa kiroho na wa kimwili anipe hapa nitoke kwenye hiki kifungo
Nimejaribu kuelezea story ya nyuma ili mwenye kutoa ushaurii aweze ku relate hizo dots maybe kuna sehemu nilipolegeza nikaanguka

[mention]Mshana Jr [/mention]
Umeua, the reactive force will devastate you and kill all your endeavors. Accept the consequences.
 
 
Back
Top Bottom