Yaani wewe bwege sana,hivi unajua Wikipedia ni ya nani.Wikipedia mimi sisomagi.Hivi unaweza kupeleka kesi ya Ngedere kwa Nyani,si utakuwa mjinga.Lakini kwa mwenye akili(sio wewe)na scientist,hata akisoma Wikipedia anapata kitu.The fact that HAARP heats the Ionosphere means that it modifies the weather.
What the hell did i distort there..?? Asking the link..??
Sawa tuyaache hayo., hebu nenda na hapa( High-frequency Active Auroral Research Program - Wikipedia ) ukasome kuhusu hiyo H.A.A.R.P Tech na usisahau kupitia kwenye kipengele cha Conspiracy Theories juu ya hii kitu maana hapo ndipo ulipopumbazwa.
Too many conspiracies with 0000 Scientific evidence.
By: Stupid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie hapa ndo nashindwa kuelewa watu, Hayo mambo mpaka sasa yanafanyika na yalifanyika toka enzi za Sodoma na Gomola. Kinachotakiwa mkuu ni wewe kuchagua upande unaotaka na si kuubadilisha ulimwengu uwe kama unavyotaka.kila jambo lina ubaya na uzur wake, ubaya wake ni kama wew ulkuwa mfuasi wa dini yaan unaamini ktk Mungu, utaliona baya suala la NWO maana litakuwa likienda kinyume na sheria za dini, mfano uhuru wa kijinsia yaan mashoga na wasagaj kufanya uchaf wao adharan na kupewa heshima, pia utoaji mimba, uhalibifu wa asili ya utu, yaan uzalishaji wa viumbe wapya wafananao na watu ambao watakuwa bora zaid ikiwezekana kumtawala mtu, haya yote kidini hayapo sawa, lkn kisayansi na kwa itikadi za maendeleo ya utandawazi kwao ni bora, kwahyo uchaguzi ni wakwako kupenda ama kutopenda
Wapumbavu km ww huwa mna maudhi sana. Watu wanajadili vitu vya msingi halafu unaleta ubongo mavi.😁😁😁 Na hii ndio imeleta madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
Ni vigumu sana kuelewa haya mambo km ww husomi vitabu na makala mbalimbali. Utabaki kusema ni consipiracy theories. Ila dunia ni mateka KWA sasa.Bingwa wa 'conspiracy theories' upo kazini.
Siongei mambo ambayo hayapo,this is real and is going on!Read this⏬Hakuna cha kujua umekujaje, huo ni ugonjwa wa akili niggah, unapoteza muda tu ..utakuja kugundua its too late
Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.Yaani wewe bwege sana,hivi unajua Wikipedia ni ya nani.Wikipedia mimi sisomagi.Hivi unaweza kupeleka kesi ya Ngedere kwa Nyani,si utakuwa mjinga.Lakini kwa mwenye akili(sio wewe)na scientist,hata akisoma Wikipedia anapata kitu.The fact that HAARP heats the Ionosphere means that it modifies the weather.
InatishaMambo ya rohoni haya, kuna mtu alikuwa kambi ya giza kwa miaka mingi ameokoka anatoa ushuhuda wake mambo hayahaya,jinsi dunia inavyopelekwa mchakamchaka na agenda za kuzimu anasema hiyo mikutano yote ya wakuu wa dunia ina udhamini mkubwa wa yule muovu muasisi wa uasi.
Huwezi kueleweka hapa jukwaani mpaka akili za wasomaji zikubali kufanywa upya, zimeshavurugwa sana na mamilioni ya maproject yaliyotimia tayari
Wenye akili wanauona ukweli it is so clear.Kwa hiyo the USAF wana conspire against themselves na the European Parliament wana-conspire against the US,how stupid of you.Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.
Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.
I am out of this convo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa ninazo leta hapa ni from whistleblowers,watu au Institutions ambazo ni independent minded na hawana conflict of interest na taarifa yenyewe,na Wikipedia is none of the foregoing.Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.
Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.
I am out of this convo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona tunajua mnayofundishwa ili kutukatisha tamaa tusi expose siri za mabwana zenu:ridicule.But let me tell you this you idiot and loon,we won't despair,this will only give us more resolve.Ameshachanganyikwa siku nyingi sana.
Ngoja nikutafunie kidogo,maana inaelekea huwezi.Ni hivii,internet ni ya hao cons na psychopaths wako ndio,lakini kumbuka ni World Wide Web(WWW),kwa hio kui-control 100% ni impossible,so people with independent minds are there,lakini Wikipedia sio,it's 100% controlled by the NWO or TPTB.Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.
Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.
I am out of this convo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe ndio umevunja kabisa...... Bravo Bravo mkuuDocuments/miswada hii ndio inataka kuubadili ulimwengu
-The new Green Deal
-Laodato Si
-Lumen Fidei
-Flatelli Tuti
-Paris Agreement
Kupitia Climate Change watu wataabudu nature-(nature worship)
Kuna hati za dharura (Covid emergence )Kama rehearsal na (Climate Change Emergence) is the real issue.
Makuhani wa dini hii mpya ni wanasayansi na wanasiasa
Climate Change emeregence itakuwa na one day lock down/out of work.Kuzuia viwanda na maduka yasio ya huduma za msingi kufungwa.ili kupunguza Carbon
Soma hii katika Laodato Si document ambayo wale maaskofu 120 wanaenda kujadili (ref Mwananchi Newspaper)
Documents/miswada hii ndio inataka kuubadili ulimwengu
-The new Green Deal
-Laodato Si
-Lumen Fidei
-Flatelli Tuti
-Paris Agreement
Kupitia Climate Change watu wataabudu nature-(nature worship)
Kuna hati za dharura (Covid emergence )Kama rehearsal na (Climate Change Emergence) is the real issue.
Makuhani wa dini hii mpya ni wanasayansi na wanasiasa
Climate Change emeregence itakuwa na one day lock down/out of work.Kuzuia viwanda na maduka yasio ya huduma za msingi kufungwa.ili kupunguza Carbon
Soma hii katika Laodato Si document ambayo wale maaskofu 120 wanaenda kujadili (ref Mwananchi Newspaper)
Daaaah yaani nasikitika sn simu yng inakataa ku paste nukuu kadhaa ambazo Nilipenda kuzianika hapa ktk uchambuzi wangu kutoka kwa watu mashuhuru, viongozi wakubwa Wa kisiasa na viongozi wa kanisa na kutoka ktk encyclical ya Pope Francis iitwayo LAUDATO SI.......Mathanzua mkuu hongera kwa uzi huu mzuri...
Sasa ngoja nijaribu kujazia nyama pale wewe ulipoishia na hapa ndio naanza....
Kwa kifupi swala la kutunza mazingira ni jambo Jema sn na ni zuri sn na ata Mungu alipomuumba Adam alimkabidhi bustani ya Eden kuilima na kuitunza....
Lkn Baada ya dhambi kuingia na Mungu kumwaga laana ktk ulimwengu basi kila kitu kilibadilika na majanga na mabadiliko ya hali ya hewa yakaaza kutokea taratibu....
Kwahiyo ktk ulimwengu Wa Leo.... Kutunza mazingira ni jambo zuri lkn sbbu ambazo zinazosemwa kuhusu uharifu wa mazingira ni za uongo..... Viwanda, magari, hewa ukaa na kukata miti na mambo mengi wanayosema wanasayansi ni ya uongo kabisa.....
Hizi sio sbbu.... Sbbu kubwa ya haya ni matokeo ya dhambi.
Lkn wanasayansi wanachofanya ni kutupoteza tusiwe ktk right track ya kuacha dhambi na kujiandaa na kuja kwa Yesu mara ya pili... Tukazane tu kutengeneza mazingira Huku tukijisahau juu ya maswala ya Mungu... Na mwishowe Yesu akija anatukuta sote hatuko tayari.....
Kwa kifupi hili swala la Climate Change ni la uongo na lilianzishwa na wanasayansi Wa kanisa la RC kwa lengo la kupitisha agenda zao ktk kuelekea kutawala hii dunia....
Next
[emoji116]
Asante mkuu,dhambi ni kweli ndio inayoacha watu wasijali mazingira kabisa na infact waharibu mazingira tena kwa makusudi kinyume na Mungu alivyo agiza.Asante kwa kuongeza nyama.Daaaah yaani nasikitika sn simu yng inakataa ku paste nukuu kadhaa ambazo Nilipenda kuzianika hapa ktk uchambuzi wangu kutoka kwa watu mashuhuru, viongozi wakubwa Wa kisiasa na viongozi wa kanisa na kutoka ktk encyclical ya Pope Francis iitwayo LAUDATO SI.......
NGOJA DEVICE YNG IKIKAA VZR AU NIKIWA KTK PC NITAWEKA VITU VINGI KWA UWAZI KABISA.......
Mkuu usishangae sana,they are trying to water down truth kwa kumpaka mleta uzi matope, ili aonekane wa hovyo.Nia ni kuufanya uzi uonekane wa hovyo,kwa kuwa unatoka kwa mtu wa hovyo.This is a typical NWO agent tactic.Hata hivyo hawata fanikiwa,kwa kuwa for the intelligent,the truth is obvious.Naona huu uzi umekuja wakati muafaka lkn kitu kinachonishangaza nao jf siku hizi km imeanza kupoteza ubora wake Yaani watu badala wajikite kujadili vitu wao wanaanza kumtukana mleta uzi......