Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

emoji23.png
emoji23.png


What the hell did i distort there..?? Asking the link..??

Sawa tuyaache hayo., hebu nenda na hapa
emoji117.png
( High-frequency Active Auroral Research Program - Wikipedia ) ukasome kuhusu hiyo H.A.A.R.P Tech na usisahau kupitia kwenye kipengele cha Conspiracy Theories juu ya hii kitu maana hapo ndipo ulipopumbazwa.

Too many conspiracies with 0000 Scientific evidence.

By: Stupid.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe bwege sana,hivi unajua Wikipedia ni ya nani.Wikipedia mimi sisomagi.Hivi unaweza kupeleka kesi ya Ngedere kwa Nyani,si utakuwa mjinga.Lakini kwa mwenye akili(sio wewe)na scientist,hata akisoma Wikipedia anapata kitu.The fact that HAARP heats the Ionosphere means that it modifies the weather.
 
Hakuna cha kujua umekujaje, huo ni ugonjwa wa akili niggah, unapoteza muda tu ..utakuja kugundua its too late
Unachoandika hata hakieleweki,unaonekana upo very disorganized.
 
kila jambo lina ubaya na uzur wake, ubaya wake ni kama wew ulkuwa mfuasi wa dini yaan unaamini ktk Mungu, utaliona baya suala la NWO maana litakuwa likienda kinyume na sheria za dini, mfano uhuru wa kijinsia yaan mashoga na wasagaj kufanya uchaf wao adharan na kupewa heshima, pia utoaji mimba, uhalibifu wa asili ya utu, yaan uzalishaji wa viumbe wapya wafananao na watu ambao watakuwa bora zaid ikiwezekana kumtawala mtu, haya yote kidini hayapo sawa, lkn kisayansi na kwa itikadi za maendeleo ya utandawazi kwao ni bora, kwahyo uchaguzi ni wakwako kupenda ama kutopenda
Mie hapa ndo nashindwa kuelewa watu, Hayo mambo mpaka sasa yanafanyika na yalifanyika toka enzi za Sodoma na Gomola. Kinachotakiwa mkuu ni wewe kuchagua upande unaotaka na si kuubadilisha ulimwengu uwe kama unavyotaka.

Sali sana kwa imani yako huku ukipigana hizi vita ambazo mpaka sasa hivi unazipigana. Kama unamwamini Mungu wako wa kweli, hata kama kesho tungeambiwa dunia yetu na kiongozi mmoja na sheria ni hizi. I believe utabaki na msimamo wako na upo tayari kufa ukilisimamia hilo sababu unajua hauta kufa bali utasinzia na mwisho wa siku utakuja kunyakuliwa.

 
😁😁😁 Na hii ndio imeleta madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
Wapumbavu km ww huwa mna maudhi sana. Watu wanajadili vitu vya msingi halafu unaleta ubongo mavi.

Km hujaambulia kitu jua hujaandikiwa wewe. Au km una busara omba msaada.
 
Bingwa wa 'conspiracy theories' upo kazini.
Ni vigumu sana kuelewa haya mambo km ww husomi vitabu na makala mbalimbali. Utabaki kusema ni consipiracy theories. Ila dunia ni mateka KWA sasa.
 
Hakuna cha kujua umekujaje, huo ni ugonjwa wa akili niggah, unapoteza muda tu ..utakuja kugundua its too late
Siongei mambo ambayo hayapo,this is real and is going on!Read this⏬

NWO Geoengineers Are Deliberately Isolating Vancouver Via Weather Warfare
Posted on November 16, 2021 by State of the Nation

Vancouver has been completely cut off from the rest of Canada & The Whole World!
They dumped all of California’s Seasonal Rain on Vancouver and overwhelmed Vancouver.
From Jim Stone:
Probably due to a weather modification attack
Yesterday I saw a post by someone saying they were going to get 15 centimeters of rain in Vancouver in a short time and that he was getting ready for it. it always rains in Vancouver, so I did not pay it a thought. Today the results are in, and it was a LOT more than 15 centimeters of rain. It was so bad that every bridge and road into the entire Vancouver metro either washed out or got covered by a landslide. Even the rail lines are destroyed. There is no way in or out of Vancouver at this time. I don’t believe that could happen naturally, Vancouver is well equipped for rains and has precip levels well above practically all rainforests. They had extra water handling capacity like no other place and this STILL happened.
I blew this off and was not paying attention just because Vancouver is so rainy, so I have only suspicions this was man made, it is going to be tough to prove. But it sure matches the unprecedented deluges that have happened elsewhere in the past year. I would not be surprised if they dumped California’s water on Vancouver to accomplish this.The internet is out, so not many pictures are making it out of there. Here are a couple:




HERE IS A NEWS REPORT FROM KELOWNA that has a lot of details.
OPINION: Canada could probably have Vancouver accessible within a day or two if the corruption was not so extreme that opportunists will rub their hands in anticipation of money rather than focus on getting things going again.There is no way to get gasoline into the city at this time with the pipeline shut down and railroads washed out, on top of roads gone. Most stores can only take cash. Most ATM’s are shut down.
This is a developing situation.
This entry was posted in Uncategorized. Bookmark the permalink.
 
Yaani wewe bwege sana,hivi unajua Wikipedia ni ya nani.Wikipedia mimi sisomagi.Hivi unaweza kupeleka kesi ya Ngedere kwa Nyani,si utakuwa mjinga.Lakini kwa mwenye akili(sio wewe)na scientist,hata akisoma Wikipedia anapata kitu.The fact that HAARP heats the Ionosphere means that it modifies the weather.
Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.

Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.

I am out of this convo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya rohoni haya, kuna mtu alikuwa kambi ya giza kwa miaka mingi ameokoka anatoa ushuhuda wake mambo hayahaya,jinsi dunia inavyopelekwa mchakamchaka na agenda za kuzimu anasema hiyo mikutano yote ya wakuu wa dunia ina udhamini mkubwa wa yule muovu muasisi wa uasi.

Huwezi kueleweka hapa jukwaani mpaka akili za wasomaji zikubali kufanywa upya, zimeshavurugwa sana na mamilioni ya maproject yaliyotimia tayari
Inatisha
 
Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.

Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.

I am out of this convo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye akili wanauona ukweli it is so clear.Kwa hiyo the USAF wana conspire against themselves na the European Parliament wana-conspire against the US,how stupid of you.
 
Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.

Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.

I am out of this convo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa ninazo leta hapa ni from whistleblowers,watu au Institutions ambazo ni independent minded na hawana conflict of interest na taarifa yenyewe,na Wikipedia is none of the foregoing.
 
Ameshachanganyikwa siku nyingi sana.
Mbona tunajua mnayofundishwa ili kutukatisha tamaa tusi expose siri za mabwana zenu:ridicule.But let me tell you this you idiot and loon,we won't despair,this will only give us more resolve.
 
Eti wikipedia ya nani...? Huna akili wewe.., jiulize Internet ni ya nani kwanza... kwanza hata hizo link unazoleta hapa hujiulizi za nani au ndo taarifa zako zipo one sided.. hata mtu mjinga tuu haachi kupitia kile wanachosema kinapotosha ili ajue kipi kimepotoshwa.

Sasa wee kaa na hizo Conspiracy theories zako za Wanasayansi uchwara ambao wameshindwa kutoa valid evidence kuwa USARMY ndo responsible kwa hayo majanga.

I am out of this convo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikutafunie kidogo,maana inaelekea huwezi.Ni hivii,internet ni ya hao cons na psychopaths wako ndio,lakini kumbuka ni World Wide Web(WWW),kwa hio kui-control 100% ni impossible,so people with independent minds are there,lakini Wikipedia sio,it's 100% controlled by the NWO or TPTB.
 
Documents/miswada hii ndio inataka kuubadili ulimwengu
-The new Green Deal
-Laodato Si
-Lumen Fidei
-Flatelli Tuti
-Paris Agreement

Kupitia Climate Change watu wataabudu nature-(nature worship)

Kuna hati za dharura (Covid emergence )Kama rehearsal na (Climate Change Emergence) is the real issue.

Makuhani wa dini hii mpya ni wanasayansi na wanasiasa

Climate Change emeregence itakuwa na one day lock down/out of work.Kuzuia viwanda na maduka yasio ya huduma za msingi kufungwa.ili kupunguza Carbon
Soma hii katika Laodato Si document ambayo wale maaskofu 120 wanaenda kujadili (ref Mwananchi Newspaper)
Yaani wewe ndio umevunja kabisa...... Bravo Bravo mkuu
 
Ulimwengu ulishabadilishwa tayari na Simu, magari, ndege, nyuklia, computer, rockets sio hizi pumba ulizoweka hapa.
Documents/miswada hii ndio inataka kuubadili ulimwengu
-The new Green Deal
-Laodato Si
-Lumen Fidei
-Flatelli Tuti
-Paris Agreement

Kupitia Climate Change watu wataabudu nature-(nature worship)

Kuna hati za dharura (Covid emergence )Kama rehearsal na (Climate Change Emergence) is the real issue.

Makuhani wa dini hii mpya ni wanasayansi na wanasiasa

Climate Change emeregence itakuwa na one day lock down/out of work.Kuzuia viwanda na maduka yasio ya huduma za msingi kufungwa.ili kupunguza Carbon
Soma hii katika Laodato Si document ambayo wale maaskofu 120 wanaenda kujadili (ref Mwananchi Newspaper)
 
Naona huu uzi umekuja wakati muafaka lkn kitu kinachonishangaza nao jf siku hizi km imeanza kupoteza ubora wake Yaani watu badala wajikite kujadili vitu wao wanaanza kumtukana mleta uzi......
 
Mathanzua mkuu hongera kwa uzi huu mzuri...


Sasa ngoja nijaribu kujazia nyama pale wewe ulipoishia na hapa ndio naanza....


Kwa kifupi swala la kutunza mazingira ni jambo Jema sn na ni zuri sn na ata Mungu alipomuumba Adam alimkabidhi bustani ya Eden kuilima na kuitunza....


Lkn Baada ya dhambi kuingia na Mungu kumwaga laana ktk ulimwengu basi kila kitu kilibadilika na majanga na mabadiliko ya hali ya hewa yakaaza kutokea taratibu....

Kwahiyo ktk ulimwengu Wa Leo.... Kutunza mazingira ni jambo zuri lkn sbbu ambazo zinazosemwa kuhusu uharifu wa mazingira ni za uongo..... Viwanda, magari, hewa ukaa na kukata miti na mambo mengi wanayosema wanasayansi ni ya uongo kabisa.....


Hizi sio sbbu.... Sbbu kubwa ya haya ni matokeo ya dhambi.

Lkn wanasayansi wanachofanya ni kutupoteza tusiwe ktk right track ya kuacha dhambi na kujiandaa na kuja kwa Yesu mara ya pili... Tukazane tu kutengeneza mazingira Huku tukijisahau juu ya maswala ya Mungu... Na mwishowe Yesu akija anatukuta sote hatuko tayari.....


Kwa kifupi hili swala la Climate Change ni la uongo na lilianzishwa na wanasayansi Wa kanisa la RC kwa lengo la kupitisha agenda zao ktk kuelekea kutawala hii dunia....


Next

[emoji116]
 
Mathanzua mkuu hongera kwa uzi huu mzuri...


Sasa ngoja nijaribu kujazia nyama pale wewe ulipoishia na hapa ndio naanza....


Kwa kifupi swala la kutunza mazingira ni jambo Jema sn na ni zuri sn na ata Mungu alipomuumba Adam alimkabidhi bustani ya Eden kuilima na kuitunza....


Lkn Baada ya dhambi kuingia na Mungu kumwaga laana ktk ulimwengu basi kila kitu kilibadilika na majanga na mabadiliko ya hali ya hewa yakaaza kutokea taratibu....

Kwahiyo ktk ulimwengu Wa Leo.... Kutunza mazingira ni jambo zuri lkn sbbu ambazo zinazosemwa kuhusu uharifu wa mazingira ni za uongo..... Viwanda, magari, hewa ukaa na kukata miti na mambo mengi wanayosema wanasayansi ni ya uongo kabisa.....


Hizi sio sbbu.... Sbbu kubwa ya haya ni matokeo ya dhambi.

Lkn wanasayansi wanachofanya ni kutupoteza tusiwe ktk right track ya kuacha dhambi na kujiandaa na kuja kwa Yesu mara ya pili... Tukazane tu kutengeneza mazingira Huku tukijisahau juu ya maswala ya Mungu... Na mwishowe Yesu akija anatukuta sote hatuko tayari.....


Kwa kifupi hili swala la Climate Change ni la uongo na lilianzishwa na wanasayansi Wa kanisa la RC kwa lengo la kupitisha agenda zao ktk kuelekea kutawala hii dunia....


Next

[emoji116]
Daaaah yaani nasikitika sn simu yng inakataa ku paste nukuu kadhaa ambazo Nilipenda kuzianika hapa ktk uchambuzi wangu kutoka kwa watu mashuhuru, viongozi wakubwa Wa kisiasa na viongozi wa kanisa na kutoka ktk encyclical ya Pope Francis iitwayo LAUDATO SI.......

NGOJA DEVICE YNG IKIKAA VZR AU NIKIWA KTK PC NITAWEKA VITU VINGI KWA UWAZI KABISA.......
 
Daaaah yaani nasikitika sn simu yng inakataa ku paste nukuu kadhaa ambazo Nilipenda kuzianika hapa ktk uchambuzi wangu kutoka kwa watu mashuhuru, viongozi wakubwa Wa kisiasa na viongozi wa kanisa na kutoka ktk encyclical ya Pope Francis iitwayo LAUDATO SI.......

NGOJA DEVICE YNG IKIKAA VZR AU NIKIWA KTK PC NITAWEKA VITU VINGI KWA UWAZI KABISA.......
Asante mkuu,dhambi ni kweli ndio inayoacha watu wasijali mazingira kabisa na infact waharibu mazingira tena kwa makusudi kinyume na Mungu alivyo agiza.Asante kwa kuongeza nyama.
 
Naona huu uzi umekuja wakati muafaka lkn kitu kinachonishangaza nao jf siku hizi km imeanza kupoteza ubora wake Yaani watu badala wajikite kujadili vitu wao wanaanza kumtukana mleta uzi......
Mkuu usishangae sana,they are trying to water down truth kwa kumpaka mleta uzi matope, ili aonekane wa hovyo.Nia ni kuufanya uzi uonekane wa hovyo,kwa kuwa unatoka kwa mtu wa hovyo.This is a typical NWO agent tactic.Hata hivyo hawata fanikiwa,kwa kuwa for the intelligent,the truth is obvious.
 
Back
Top Bottom