Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

Moja ya vitu vilivyoletwa hapa kama ushahidi ni hiki hapa chini

"The US has developed a type of weapon called High Frequency Active Auroral Research Programme. HAARP strikes the upper atmosphere with a focussed and steerable electromagnetic beam," Environment Minister Anil Madhav

Read more at:

Wewe mjuzi wa mambo hebu tueleze hapa, hii ndio tovuti ya jeshi la Kimarekani kama tulivyojuzwa awali?

"ni mengi tuliyaongea yalitimia na yanaendelea kutimia, na hata haya tuyaongeleayo yatatimia," Kwahiyo ndugu wewe nawe ni kati ya wale manabii?

"si ajabu watu bado ni vipofu wanafikra za kitoto kuzani kuwa dunia ni mahala salama" kama dunia si mahala salama wewe unayeona, na mkubwa mwenzetu hapa unaongea ukiwa mbinguni au sayari ipi hiyo? Dunia si mahala salama ndio. Je, wewe ndio umehatarisha huo usalama? Kingine kwanini bado unaendelea kukaa mahala ambapo si salama, hii sio kwamba ni hatari kwa afya yako ndugu?

Lakini,mbona yanaulizwa maswali mepesi sema majibu yanatoka ndio kazi kweli kweli.Kwa mfano,niliuliza Marekani akimaliza kuangamiza dunia yeye ataenda wapi? Jibu lake sasa," wewe sio target".Kwahiyo nyie wajuzi wa mambo mnajibu hivi siku hizi?
Yes,link hii uliyoitaja hapa haitoki Jeshi Marekani,lakini mbona ina prove kwamba Jeshi la Anga la Marekani linafanya geo-engineering.Ni mjinga tu na mwenye nia ovu anayeweza ku-deny this obvious truth.Na mbona thread iliyoko kwenye main thread inaonyesha they are doing it.

Finally,I am sorry I can't answer your many questions kwa kuwa si ya mtu anayetaka kujifunza.
 
Yes,link hii uliyoitaja hapa haitoki Jeshi Marekani,lakini mbona ina prove prove kwamba Jeshi la Anga la Marekani linafanya geo-engineering.In mjinga tu na mwenye nia ovu anayeweza ku-deny this obvious truth.

We we kwa utetezi huu unaofanya inaonyesha wazi kwamba you are working for an evil entity.
Evil entity?.
 
Utateteaje evil,if you are not evil.Kilichotolewa ni unrefutable evidence,that the American Air force wanaharibu mazingira,mtawateteaje.Very stupid of you.
Napuuza huo ujinga wako wa kuita watu stupid.
BTW,kwanini tuiamini iyo source yako?,wanaharibu mazingira ili iweje?.
 
Napuuza huo ujinga wako wa kuita watu stupid.
BTW,kwanini tuiamini iyo source yako?,wanaharibu mazingira ili iweje?.
Mnapaswa kuiamini kwa kuwa inatoka jikoni au wahusika wakuu,the USAF.What else can you believe,if you can't believe this link,it means none.
 
This question proves that you are extremely ignorant,na at the onset ulitakiwa kukiri kwamba uko ignorant ili uelimishwe.Umeshaniudhi,kaa na ignorance yako.
Ewe mbumbumbu hii ni public forum,watu wanajadili kwa hoja sio wanameza tu kila kitu. Kama umeudhiwa wapelekee familia yako huu upuuzi.
 
Ndugu hii high moral stand unaitoa wapi?.Kama kuna mtu mbumbavu na mjinga hapa ni wewe unaeokota vi Conspiracies mtandao na kuvibandika hapa hata bila kutafakari.
Aisee,bado unaendelea na kiburi chako cha ujinga na umbumbumbu.Ujue wewe ni mbumbumbu, hebu Google maana ya Geoengineering.
 
Hamna kitu kama hicho, mvua zitaanza kumwagika soon. Mungu ni mwema sana
 
Aliyekwambia ECONOMIC TIMES ni official page ya USARMY ni nani....?? Hilo ni gazeti tuu kama magazeti mengineyo. Kinacho-publishiwa hapo hakiafikiani kabisa na kile ulichopost hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother,hivi unajua wewe ni mjinga per se,sijakuambia Economic Times ni official site ya the US Army,tafadhali usiniwekee maneno mdomoni.Naomba
nirudie,PDF document iliyopo mwisho wa bandiko langu inajieleza wazi,inatoka USAF,naomba usipotoshe.Economic Times link ni alternative link tu. Halafu sijui mna akili gani,hata European Union wako concerned kuhusu the US Air force and NASA manipulating weather,who are you to deny it.Soma hii⏬


 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo hiyo ndo Official page ya USARMY..??

Sent using Jamii Forums mobile app
You are very good at distortion,nadhani NWO wamefanya kazi kubwa.Brother ni mjinga tu anayeweza kusema hiyo ni official page ya US Army.Soma bandiko langu vizuri mpaka mwisho,utaona document ya USAF.
Halafu sijui mna akili gani,hata European Union wako concerned about the USAF , the US Navy and the Geophysical Institute of the University of Alaska manipulating the weather through the High Frequency Auroral Research Programme (HAARP),who are you to deny it.You look so stupid,eh!


 
Hamna kitu kama hicho, mvua zitaanza kumwagika soon. Mungu ni mwema sana
Mbona ni wázi kwamba kuna Climate Change mkuu,hiyo sio point of discussion.Na hata Biblia inasema wazi kwamba siku za mwisho kutakuwa na njaa,sasa njaa itakujaje kama hakuna mvua,it's common sense.
 
Brother,hivi unajua wewe ni mjinga per se,sijakuambia Economic Times ni official site ya the US Army,tafadhali usiniwekee maneno mdomoni.Naomba
nirudie,PDF document iliyopo mwisho wa bandiko langu inajieleza wazi,inatoka USAF,naomba usipotoshe.Economic Times link ni alternative link tu. Halafu sijui mna akili gani,hata European Union wako concerned kuhusu the US Air force and NASA manipulating weather,who are you to deny it.Soma hii[emoji675]


Sawa mimi ni mjinga ila mjinga ana nafasi ya kujifunza kuliko yule mwerevu ambae haelewi anachofanya.

Nilikuwambia hivi Nipe link ( yaani official link ) ya USARMY ambapo hiyo Document yako umeipata na kama hiyo link hauna basi hiyo taarifa yako sio sahihi maana si kila kinachopatikana online ni cha kuaminika, huwezi lata taarifa hapa kuhusu Jeshi la Marekani wakati hata wao wenyewe hawaitambui.

Kwanza kwa akili yako ni mjinga gani anayeweza kuweka rehani kuwa anamiliki mtambo hatari ambao unaiangamiza Dunia taratibu..?? Kama kweli wangekuwa wanamiliki basi hapo ingekuwa ni Top Secret Info labda tuu ingevuja... mbali na hapo ni story zilezile tuu kama za UFO & Aliens.

Na uhakika kwa 100% kuwa hata USARMY wemyewe wataikana hiyo Document maana yeyorte anaweza fanya forgery na kuweka info atakazo yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]

What the hell did i distort there..?? Asking the link..??

Sawa tuyaache hayo., hebu nenda na hapa [emoji117] ( High-frequency Active Auroral Research Program - Wikipedia ) ukasome kuhusu hiyo H.A.A.R.P Tech na usisahau kupitia kwenye kipengele cha Conspiracy Theories juu ya hii kitu maana hapo ndipo ulipopumbazwa.

Too many conspiracies with 0000 Scientific evidence.

By: Stupid.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema huyu mleta mada sijui ni kitu gani anafikiri anacho zaidi ya wenzake.Anaulizwa maswali mepesi tu lakini majibu yake sasa.Hivi kuna shida yoyote mtu akisema kwamba jambo hili silifahamu basi naomba kufahamishwa?

Anaulizwa Marekani akiangamiza dunia yeye ataenda wapi? Swali jingine kaulizwa, hao wanasukumwa na nini mpaka wafikie hatua ya kuharibu mazingira?anaulizwa,official page ya USA army ni hipi hakuna anachojibu? Majibu yake yamekuwa ni kuwaita watu wajinga,kwamba wao sio targeted audience and blah! blah! Sasa habari kama hii kama anajua kuna walengwa wake alikuwa nao kichwani kwanini kupublish hiki kitu hapa?

Nachojua JF haina functionality ya kulimit who will view your post na kama ipo kwanini mleta mada akutumia hicho kibutton kutarget hao member ambao wanatakiwa kurespond kwenye hii post yake?

Anyway,huyu jamaa ni kama anapitia kipindi kigumu kichwani
 
Sema huyu mleta mada sijui ni kitu gani anafikiri anacho zaidi ya wenzake.Anaulizwa maswali mepesi tu lakini majibu yake sasa.Hivi kuna shida yoyote mtu akisema kwamba jambo hili silifahamu basi naomba kufahamishwa?

Anaulizwa Marekani akiangamiza dunia yeye ataenda wapi? Swali jingine kaulizwa, hao wanasukumwa na nini mpaka wafikie hatua ya kuharibu mazingira?anaulizwa,official page ya USA army ni hipi hakuna anachojibu? Majibu yake yamekuwa ni kuwaita watu wajinga,kwamba wao sio targeted audience and blah! blah! Sasa habari kama hii kama anajua kuna walengwa wake alikuwa nao kichwani kwanini kupublish hiki kitu hapa?

Nachojua JF haina functionality ya kulimit who will view your post na kama ipo kwanini mleta mada akutumia hicho kibutton kutarget hao member ambao wanatakiwa kurespond kwenye hii post yake?

Anyway,huyu jamaa ni kama anapitia kipindi kigumu kichwani
Shida ni evidences tuu ndo hana... pia refferences zake hazina ushawishi.

Mie nimempa link ya WIKIPEDIA hapo juu akasome kuhusu hiyo H.A.A.R.P Technology maana kule wameelezea kila kitu ikiwepo hizo Conspiracy Theories anazozitetea... tena hata hazina Evidences.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then watu wa aina yako hua muda wote mnakua na hasira hahaaha..mkiwa challenged kidogo mnakua provoked, mnataka watanzania wote waamini huu ukichaa wenu
Sina hasira yeyote,inategemea unakujaje,kama unakuja na kebehi,of course tegemea kebehi.
 
Ukiyafunua ndio hao wamarekani wataacha kufanya tuhuma unazowatuhumu kuzifanya? One niggah from bongo kwamba atawanyamazisha wamarekani, yan wewe ni kama punje ya mchele kwao, ndio mana nasema unapoteza muda ..unless kama hauna familia ya kuitunza unapoteza muda kwenye conspiracy theories ,i know 1 niggah like u, now ni kama amerukwa na akili , alianza hivi hivi..
Soma vizuri mada usikurupuke,nimesema may be kwa kufunua siri zao,wanadamu watazinduka na kuwageukia.
 
Back
Top Bottom