Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

Jzui nimeangalia muvi Moja(ni animation) inatwa sausage Party,KAtika hii muvi sausage zilizokuwa zinaishi supermarket,pamoja na bidhaa nyingine....huku zilijiona kuwa ni spesho na zinapendelewa Kwa kuishi vyema bila kulipia pumzi.Ila wakawa wanaona Wenzao now and then wanaondoka na hawarudi wakawa wanajiuliza huwa wanaenda wapi?Sasa kwenye ile supermarket Kuna wazoefu ambao walikuwa muda mrefu na wameona mengi wakaanza kuwapanga wale madogo kuwa wanavyochukuliwa wanapelekwa sehemu yenye Bata zaidi ambapo huko ni full Body massage na kusip shampeni.Basi madogo wakawa excited pale wakisubiri kuja kuchukuliwa.

Siku imefika wakaona mtu kaingia na kapu kaanza kuwapakia tayari kuondoka nao.

Wakiwa wanadhani wanaenda kupewa Bata la maisha Yao mambo yalibadilika baada ya like kapu kushushwa jikoni.

Kwa kilichotokea tafuta muvi.
 
Huyo Mungu alifanywa na nani?

Unalazimisha ulimwengu uwe umetengenezwa halafu una amini huyo Mungu alitokea tu from no where.

Kama haiwezekani ulimwengu kujiumba wenyewe, Pia hata huyo Mungu haiwezekani awepo tu mwenyewe pasipo muumbaji.

Kwa hiyo lazima uthibitishe huyo Mungu alikuwa wapi kabla ya kuumba mbingu na dunia.

Na huko alikokuwa kulitoka wapi na kuumbwa na nani?
unaweza kuona kua umefikiri na kuoata jibu kumbe ndo limit ya ufikiri ya binadamu inapoishia

ukiangalia anga unaona rangi ya blue ila actually hamna rangi ya blue Bali ni limit ya kuona

ndo hivyo ukifikiri hivyo unakuja na conclusion yako kumbe ndo limit ya kufikiri
 
Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu mambo mema ambayo wametendewa na Mungu, cha kushangaza wengi walianza kushukuru kwa kupewa uhai.

Mimi kwa mtazamo wangu sidhani kama uhai una faida yeyote kwa aliyeumbwa na kupewa kinachoitwa uhai. Hata ingetokea asingepewa huo uhai hakuna hasara yeyote angepata. Hivyo basi makusudi na faida za uhai anazijua mwenyewe aliyetoa huo uhai. Mbaya zaidi hakuna hata aliyeulizwa ikiwa anahitaji huo uhai ama lah!

Hii dunia inabidi turelax tu, ila hakuna anayejua makusudi ya kuumba binadamu, huu unaoitwa uhai kushukuru ni wendawazimu maana hata usipokufa leo utakufa kesho!
Kuna mwanafalsafa mmoja aliwahi kuniambia kama ambavyo sisi binadam tunafuga wanyama ili tuwale, au tunapanda mazao ili tuyatumie kama chakula, viwandan etc.... basi vivyo hivyo alieumba binadamu nae ana lengo lake ambalo linataka kufanana na hilo.

Akaendelea kusema, kwamba sisi binadam ni kama storage tu ya kitu fln.

Kuweka ujumbe wake hapa haimaanishi nakubaliana au napingana na maoni yake
 
Mipango ya mungu
Kwamba Mungu alipanga baadhi ya wanandoa wachepuke ili wazae nje ya ndoa ili azaliwe fulani? Na huyo Mungu kakataza zinaa? Kwani hakukuws na njia ya halali ya kuzaliwa bila zinaa nje ya ndoa? Pia Mungu huyo huyo alipanga baadhi ya wanawake wabakwe ili azaliwe fulani?

Acheni uzushi wenu wa kumsingizia Mungu kila jambo, Mungu hapangi jambo lolote isipokuwa mambo yanatokea duniani kupitia matendo na mienendo ya watu, na sio hiyo mipango mnayozusha
 
Nakwambia hivi Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

What you have is fear of unknown.
Leviticus 24:16 the punishment for blasphemy is death.

Jeremiah 32:27 Behold, I am the LORD, the God of all flesh: is there any thing too hard for me?
 
Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu mambo mema ambayo wametendewa na Mungu, cha kushangaza wengi walianza kushukuru kwa kupewa uhai.

Mimi kwa mtazamo wangu sidhani kama uhai una faida yeyote kwa aliyeumbwa na kupewa kinachoitwa uhai. Hata ingetokea asingepewa huo uhai hakuna hasara yeyote angepata. Hivyo basi makusudi na faida za uhai anazijua mwenyewe aliyetoa huo uhai. Mbaya zaidi hakuna hata aliyeulizwa ikiwa anahitaji huo uhai ama lah!

Hii dunia inabidi turelax tu, ila hakuna anayejua makusudi ya kuumba binadamu, huu unaoitwa uhai kushukuru ni wendawazimu maana hata usipokufa leo utakufa kesho!
Kama hujui faida ya uhai ebu shika puwa na mdomo kwa dakika tano tuone. Kinacho kufa ni mwili ila uhai haufi . Uhai ni pumuzi. Pumzi ni upepo, upepo hauwezi kufa. Tire ya gari i inapo Pata pacha haimanishi upepo ulio kuwa ndani ya Tyre ume kufa . Huo upepo umehama tu .. hata uhai uko Kama upepo. Mwili ukipoteza uhai uhai haufi kinacho kufa ni mwili ,uhai unahamia kwingine . Hivyo kinacho faidi uhai ni mwili .. hivyo kazi yako ni kuutumia mwili ili ukihamia kwenye nwili mwigine uweze kuutumia vizuri zaidi bila kuutesa.
 
Tupo duniani ili tumjue muumba, tumtumikie yeye na baadae tuonane nae kule alipo mbinguni tuishi maisha ya milele yasio na mateso, chuki, dhiki, magonjwa n.k
 
Leviticus 24:16 the punishment for blasphemy is death.
Ndivyo mlivyo pumbazwa na maandiko uchwara kama haya.

Nakwambia hivi, Huyo Mungu hajawahi kuwepo hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Jeremiah 32:27 Behold, I am the LORD, the God of all flesh: is there any thing too hard for me?
I am hard to that God and he cannot prove himself that he exists.

You are the one trying to prove a fictional character.
 
Tupo duniani ili tumjue muumba, tumtumikie yeye na baadae tuonane nae kule alipo mbinguni tuishi maisha ya milele yasio na mateso, chuki, dhiki, magonjwa n.k
Inawezekana ila yote ni kwa manufaa na faida zake mwenyewe!
 
Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu mambo mema ambayo wametendewa na Mungu, cha kushangaza wengi walianza kushukuru kwa kupewa uhai.

Mimi kwa mtazamo wangu sidhani kama uhai una faida yeyote kwa aliyeumbwa na kupewa kinachoitwa uhai. Hata ingetokea asingepewa huo uhai hakuna hasara yeyote angepata. Hivyo basi makusudi na faida za uhai anazijua mwenyewe aliyetoa huo uhai. Mbaya zaidi hakuna hata aliyeulizwa ikiwa anahitaji huo uhai ama lah!

Hii dunia inabidi turelax tu, ila hakuna anayejua makusudi ya kuumba binadamu, huu unaoitwa uhai kushukuru ni wendawazimu maana hata usipokufa leo utakufa kesho!
Suala la kuishi ni mwaliko tu waweza kupokea au kukataa.
 
Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu mambo mema ambayo wametendewa na Mungu, cha kushangaza wengi walianza kushukuru kwa kupewa uhai.

Mimi kwa mtazamo wangu sidhani kama uhai una faida yeyote kwa aliyeumbwa na kupewa kinachoitwa uhai. Hata ingetokea asingepewa huo uhai hakuna hasara yeyote angepata. Hivyo basi makusudi na faida za uhai anazijua mwenyewe aliyetoa huo uhai. Mbaya zaidi hakuna hata aliyeulizwa ikiwa anahitaji huo uhai ama lah!

Hii dunia inabidi turelax tu, ila hakuna anayejua makusudi ya kuumba binadamu, huu unaoitwa uhai kushukuru ni wendawazimu maana hata usipokufa leo utakufa kesho!
Just relax
 
Jzui nimeangalia muvi Moja(ni animation) inatwa sausage Party,KAtika hii muvi sausage zilizokuwa zinaishi supermarket,pamoja na bidhaa nyingine....huku zilijiona kuwa ni spesho na zinapendelewa Kwa kuishi vyema bila kulipia pumzi.Ila wakawa wanaona Wenzao now and then wanaondoka na hawarudi wakawa wanajiuliza huwa wanaenda wapi?Sasa kwenye ile supermarket Kuna wazoefu ambao walikuwa muda mrefu na wameona mengi wakaanza kuwapanga wale madogo kuwa wanavyochukuliwa wanapelekwa sehemu yenye Bata zaidi ambapo huko ni full Body massage na kusip shampeni.Basi madogo wakawa excited pale wakisubiri kuja kuchukuliwa.

Siku imefika wakaona mtu kaingia na kapu kaanza kuwapakia tayari kuondoka nao.

Wakiwa wanadhani wanaenda kupewa Bata la maisha Yao mambo yalibadilika baada ya like kapu kushushwa jikoni.

Kwa kilichotokea tafuta muvi.
Something imaginary can't be compared with reality.
 
Kinachonishangaza ikitokea mtu ambaye si wa kusali sana akapata changamoto fulani za kimaisha watasema ni vile kajitenga na Mungu hivyo Mungu na yeye kajitenga nae. Lakini akiwa ni mcha Mungu sana akipata changamoto hizo hizo watasema ni Mungu anamjaribu imani yake. Total confusion.
 
Lavit huu uzi unaweza kukuusaidia kupata majibu.

 
Back
Top Bottom