Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kama hujui chama anacheza nbc premier league hilo ni tatizo lingine kubwa sana ambalo unaloCHAMA ANACHEZA NBC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujui chama anacheza nbc premier league hilo ni tatizo lingine kubwa sana ambalo unaloCHAMA ANACHEZA NBC.
sema wewe ni genius kimtindo ila huko ukolonizdad kutakuchelewesha kufikia levo za akina eisteinTusubiri tu hiyo wiki ijayo tarehe 12 tupangiwe na Mamelodi Sundowns FC katika Robo Fainali ya CAFCL tuje kupigwa 4 kwa 0 kwa Mkapa na tukapigwa Kipigo kitakatifu cha Goli 8 kwao ili Akili zitukae sawa na tujue kuwa hatuna Wachezaji wala Uongozi thabiti.
Nimemaliza.
Tatizo unalo wewe.Kama hujui chama anacheza nbc premier league hilo ni tatizo lingine kubwa sana ambalo unalo
kwa Neema na Baraka za Mungu yote yanawezekana 🐒Tusubiri tu hiyo wiki ijayo tarehe 12 tupangiwe na Mamelodi Sundowns FC katika Robo Fainali ya CAFCL tuje kupigwa 4 kwa 0 kwa Mkapa na tukapigwa Kipigo kitakatifu cha Goli 8 kwao ili Akili zitukae sawa na tujue kuwa hatuna Wachezaji wala Uongozi thabiti.
Nimemaliza.
AahaaaTuna Chama.
Chama alipewa shah ngapi?Prisons wamewapa bahasha baadhi ya wachezaji hatukubali 😀😀😀
🤣🤣Ni kama umesema kweli hiviSasa hivi tutahamia kumshabikia fei toto awe mfungaji bora dhidi ya aziz k kama tulivyofanya kwa George Mpole
Huu ndio uhalisiaUna tatizo. Kwani tuliposhinda kupitia chama goli 6 tukapita robo hatukuwahi kufungwa?
Kwanini unakataa Chama kutajwa kwa mechi za mbeleni baada ya kufungwa na prison?
Haya ingia kwenye matokeo ya ligi tulizoshinda ujipe reference ya uwepo wa Chama.
Na huyu anafanya niniKennedy Juma sijui anafanya nini pale Unyamani
Bora hata kingekua ccmTuna Chama.
Hivi hapa inonga aliumia kweli au ilikua zugaNa huyu anafanya nini
Alitaka kuinuka akachungulia alivyoona mpira upo nyavuni akaendelea kulala.Hivi hapa inonga aliumia kweli au ilikua zuga
Refa alimpotezea na baadae akaita mpira katikati
Alifanya utoto sanaAlitaka kuinuka akachungulia alivyoona mpira upo nyavuni akaendelea kulala.
Sawa NYBOMA.Tusubiri tu hiyo wiki ijayo tarehe 12 tupangiwe na Mamelodi Sundowns FC katika Robo Fainali ya CAFCL tuje kupigwa 4 kwa 0 kwa Mkapa na tukapigwa Kipigo kitakatifu cha Goli 8 kwao ili Akili zitukae sawa na tujue kuwa hatuna Wachezaji wala Uongozi thabiti.
Nimemaliza.
Huyo ni kocha wa wapi?Huu ndio uhalisia
Na alivo mnafiki anachungulia goli linavoingia.Na huyu anafanya nini
Walipewa timu nzima ila kwenye mgao Inonga,Chama,Kennedy na Manula walipewa mgao kidogo 😀😀Chama alipewa shah ngapi?
Hata CWT ni Chama 🤣🤣Tuna chama mkuu.
Hata umoja wa vyura dimbwini ni chama mkuu.Hata CWT ni Chama 🤣🤣