sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Wanaofanyia kazi zile mashine sio madaktari.Zile mashine? Ultra sounds? Incubators, MRI T scan.
Hujui au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaofanyia kazi zile mashine sio madaktari.Zile mashine? Ultra sounds? Incubators, MRI T scan.
Hujui au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan unahoji CBG inampeleka wapi mwanafunzi?? Swali gani hili? Yaan mtu ana chemistry, biology na geography unauliza baada ya masomo anaenda kuwa nani??. Tanzania nchi yangu mbona unatoa uzao wa watu matahira kiasi hichi? Hivi kila aliesoma PCB anakuwa daktari? Au kila aliesoma PCM anakuwa engineer? combination ya mtu ndio muhimu Au masomo yanayounda combination?.Ni kweli ila nakuambia by experience...
kwasasa ukitaka kusomea kwa mfano Agro business...nenda na ufaulu wako wa CBG umkute Mtu wa CBA atachukuliwa yeye especcially kwny hizi International Organization au taasisi za uma ambazo zipo serious katika selection
Umeuliza kama kuna combination inayomwandaa Mwanafunzi katika Profession flani nakujibu NDIO
Kwa mfano :-
PCM - Inampeleka moja kwa moja katika Uhandisi, otherwise adiverge mwenyewe kwasababu ya kutaka ajira au maslahi
PCB - Inampeleka katika Udaktari moja kwa moja kwa hapa nchini kwetu
ECA - Inampeleka katika Uhasibu na Usimamizi wa fedha na mambo ya ukusanyaji mapato
KLF - Inampelekea kuwa Mtaalamu wa lugha katika kufundisha na kuzungumza, Uandishi n.k
HGL - Inampelekea katika utaalamu wa Kihistoria na Jiografia kwa lugha ya kiingereza
Aidha, hapo wapo wanaoweza kuwa Waalimu au kuingia katika field zingine kimaslahi tu
Je CBG inampeleka wapi Mwanafunzi directly?
[emoji16][emoji16]AiseeWanaingia kupitia ufaulu wa O-Level na wanaanzia Diploma au Certificate hata kama wamemaliza Form VI
hao ni CBN, CBG ni maandalizi ya kusomea fani za bwana shamba au afisa mifugoWatengeneza lishe na washauri wa lishe
Chemistry, biology na geography anakuwa afisa mifugo au bwana shamba[emoji23][emoji23][emoji23]hao ni CBN, CBG ni maandalizi ya kusomea fani za bwana shamba au afisa mifugo
soma vizuri post yanguChemistry, biology na geography anakuwa afisa mifugo au bwana shamba[emoji23][emoji23][emoji23]