Kama kuna pepo hakuna hata mmoja atakayeingia

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Habari zenu Wanajamiiforums.

Nakazia kichwa cha MADA, Kama kweli kuna pepo basi niwahakikishie hakuna binadamu hata mmoja atakayekanyaga.

Wale wote wanaojazana kanisani sijaona,
Wale wa misikitini sijaona.

Wanadamu kama kuna pepo kwa kweli hatutoiona.

Binadamu ni kiumbe dhaifu aliyejaa unafiki. Na nasikia pepo haihitaji unafiki, wala roho mbaya, Wala uchoyo, Wala kuhukumu watu, Wala kuonea watu, Wala kujiona msafi kuliko wengine.

Na kwa utafiti wangu Wanadamu wanafanana tabia Kwa 90%.

Asanteni.
 
Unaongea kwa mihemko mkuu, ukisema hakuna binadamu atakayeiona unakosea na wakat wapo binadamu wawili wawili kama sio watatu wanakula maisha huko, Eliya, Musa, Henoko, Ibrahimu, hao walikuwa malaika?
 
Mi nina uhakika nitaingia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…