Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Itakuwa furaha kubwa utatapo ona wapendwa
Tutaimbaa hallelujah Yesu asifiwe Amen
Tutaimbaa hallelujah Yesu asifiwe Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝Ivi Bado Kuna mtu anawaza akifa atafufuka Tena😂😂😂 UFE harafu ufufuke seriously...! Pepo IPO hapa hapa Duniani na moto upo hapa hapa Duniani believe it or not...!
mtu wa namna hiyo haelewi kufa ni nini na mtu akifa ni vitu gani vinakuwa vimeacha kufanya kazi.Ivi Bado Kuna mtu anawaza akifa atafufuka Tena😂😂😂 UFE harafu ufufuke seriously...! Pepo IPO hapa hapa Duniani na moto upo hapa hapa Duniani believe it or not...!
Kumbe unaongelea “mungu”? Mimi nilimaanisha “Mungu”.Kakudanganya mpumbavu gani ...neema ya mungu ni katika kusamehewa dhambi kwenye toba ya kweli...kwa sababu haki ya dhambi siyo kusamehewa bali ni kuadhibiwa.
Sukule🤡🤡🤡 la makanisani hili 👆😁😁😁😁😁😁Kumbe unaongelea “mungu”? Mimi nilimaanisha “Mungu”.
Habari zenu Wanajamiiforums.
Nakazia kichwa cha MADA, Kama kweli kuna pepo basi niwahakikishie hakuna binadamu hata mmoja atakayekanyaga.
Wale wote wanaojazana kanisani sijaona,
Wale wa misikitini sijaona.
Wanadamu kama kuna pepo kwa kweli hatutoiona.
Binadamu ni kiumbe dhaifu aliyejaa unafiki. Na nasikia pepo haihitaji unafiki, wala roho mbaya, Wala uchoyo, Wala kuhukumu watu, Wala kuonea watu, Wala kujiona msafi kuliko wengine.
Na kwa utafiti wangu Wanadamu wanafanana tabia Kwa 90%
Usiogope...Vitabu Vya Dini Vimesema Mwenyezi Mungu Upendo Wake Ni Infinity Kwahiyo Usije Shangaa Pia Siku Ya Mwisho Watu Wote Wakiongozwa Na Hitler Wako peponiHabari zenu Wanajamiiforums.
Nakazia kichwa cha MADA, Kama kweli kuna pepo basi niwahakikishie hakuna binadamu hata mmoja atakayekanyaga.
Wale wote wanaojazana kanisani sijaona,
Wale wa misikitini sijaona.
Wanadamu kama kuna pepo kwa kweli hatutoiona.
Binadamu ni kiumbe dhaifu aliyejaa unafiki. Na nasikia pepo haihitaji unafiki, wala roho mbaya, Wala uchoyo, Wala kuhukumu watu, Wala kuonea watu, Wala kujiona msafi kuliko wengine.
Na kwa utafiti wangu Wanadamu wanafanana tabia Kwa 90%.
Asanteni.
Basi hapo ndugu yangu itakuwa na kijumba au viwil na kausafir Kako unajiona umejipaaataaa mpaka unaanza kumkufuru Mwenyez Mungu.Kwenda peponi ili iweje? Kuimba tu na kumsifu Mungu?
Huo utakuwa ni utumwa
Mtu akiwa tajiri ndiyo anaacha kuamini uwepo wa Mungu?Basi hapo ndugu yangu itakuwa na kijumba au viwil na kausafir Kako unajiona umejipaaataaa mpaka unaanza kumkufuru Mwenyez Mungu.
Haya bana.
Na baada ya mm kuandika haya nasubiria kejel na matus...
Kila la heri
Habari zenu Wanajamiiforums.
Nakazia kichwa cha MADA, Kama kweli kuna pepo basi niwahakikishie hakuna binadamu hata mmoja atakayekanyaga.
Wale wote wanaojazana kanisani sijaona,
Wale wa misikitini sijaona.
Wanadamu kama kuna pepo kwa kweli hatutoiona.
Binadamu ni kiumbe dhaifu aliyejaa unafiki. Na nasikia pepo haihitaji unafiki, wala roho mbaya, Wala uchoyo, Wala kuhukumu watu, Wala kuonea watu, Wala kujiona msafi kuliko wengine.
Na kwa utafiti wangu Wanadamu wanafanana tabia Kwa 90%.
Asanteni.
NA MUHAMMAD MBONA UMEMSAHAU KWANI YEYE ALIKUWA MALAIKA.Unaongea kwa mihemko mkuu, ukisema hakuna binadamu atakayeiona unakosea na wakat wapo binadamu wawili wawili kama sio watatu wanakula maisha huko, Eliya, Musa, Henoko, Ibrahimu, hao walikuwa malaika?
naungana nawewe ila sio wa kizazi hiki ni kizazi cha miaka ya 60 kuludi nyuma.Binadamu wema wenye roho nzur na wasio wanafiki walionyooka wapo ila ni wachache sana narudia tena ni wachache sana wenye karama hiyo.
Ila key word 'wapo' na tunaishi nao dunia hii
Very good.Habari zenu Wanajamiiforums.
Nakazia kichwa cha MADA, Kama kweli kuna pepo basi niwahakikishie hakuna binadamu hata mmoja atakayekanyaga.
Wale wote wanaojazana kanisani sijaona,
Wale wa misikitini sijaona.
Wanadamu kama kuna pepo kwa kweli hatutoiona.
Binadamu ni kiumbe dhaifu aliyejaa unafiki. Na nasikia pepo haihitaji unafiki, wala roho mbaya, Wala uchoyo, Wala kuhukumu watu, Wala kuonea watu, Wala kujiona msafi kuliko wengine.
Na kwa utafiti wangu Wanadamu wanafanana tabia Kwa 90%.
Asanteni.
Kama lijinga vile😏😏Sukule🤡🤡🤡 la makanisani hili 👆😁😁😁😁😁😁
Haya ndiyo yale mapumbavu yanayo waambia watotowao kuwa mzazi ni mungu wa pili😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Kama lijinga vile😏😏
Lione, lucifer wewe.Haya ndiyo yale mapumbavu yanayo waambia watotowao kuwa mzazi ni mungu wa pili😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁