Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #21
Kwa unafiki ulionao kama kuna pepo HUTOBOI trust me.Hata kwa kuvunja geti nitaingia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa unafiki ulionao kama kuna pepo HUTOBOI trust me.Hata kwa kuvunja geti nitaingia
Kwa unafiki huo kama kuna pepo haufiki TRUST me.Mi nina uhakika nitaingia huko
Niwe niwavyo ila kaa ujue huko kutakuwa nyumbani kwetu...Kwa unafiki ulionao kama kuna pepo HUTOBOI trust me.
Wanadamu wote tunafanana .Mungu wetu ni wa Neema. Hatutaenda mbinguni kwa sababu tunastahili bali ni kwa Neema Tu.
Hata kama tuna dhambi. Yeye ni Mungu wa Rehema, anaturehemu kila wakati.
Haya usiku mwema.
Wakristo hawana matusi mengi, Ila wanaongoza kwa unafiki.Na kama ipo, wakristo ndiyo wataenda wengi.
Waislamu wengi kwao matusi ndiyo ibada takatifu.
Hiyo pepo yenyewe ndonini??Unaongea kwa mihemko mkuu, ukisema hakuna binadamu atakayeiona unakosea na wakat wapo binadamu wawili wawili kama sio watatu wanakula maisha huko, Eliya, Musa, Henoko, Ibrahimu, hao walikuwa malaika?
Ni mara ngapi umemsemea mwenzako uongo? Ni mara ngapi mara ngapi umemhukumu mwenzako bila kujua chanzo cha anguko lake au matatizo yake?Hiyo 10% iliyobaki niwe miongoni tafadhali.
Sun is Sun
Sawa mkuu.Ni mara ngapi umemsemea mwenzako uongo? Ni mara ngapi mara ngapi umemhukumu mwenzako bila kujua chanzo cha anguko lake au matatizo yake?
Trust me asilimia 90% ya Wanadamu tunafanana tabia, Na kama kweli kuna pepo hakuna hata mmoja atakayetoboa.
Upi huo looser?Kwa unafiki huo kama kuna pepo haufiki TRUST me.
Labda upo sahihi. Fikiria na upande wa pili; kabla hujazaliwa, hukuwepo (mfano wake ndo tuseme ulikua mfu), kisha ukazaliwa kupitia hatua za ajabu - mbegu za uzazi (mfano wake ndo kufufuka).Ivi Bado Kuna mtu anawaza akifa atafufuka Tena😂😂😂 UFE harafu ufufuke seriously...! Pepo IPO hapa hapa Duniani na moto upo hapa hapa Duniani believe it or not...!
Kwa sababu yeye mshenzi anataka watu wote wawe washenzi,watakatifi wapi WALIKUWEPO na wataendelea kuwepo.Unaongea kwa mihemko mkuu, ukisema hakuna binadamu atakayeiona unakosea na wakat wapo binadamu wawili wawili kama sio watatu wanakula maisha huko, Eliya, Musa, Henoko, Ibrahimu, hao walikuwa malaika?
Sukule la makanisani hili👆🙄🙄🙄Tutaingia kwa rehema za Mungu pia nakufanya kitubio.
Labda upo sahihi. Fikiria na upande wa pili; kabla hujazaliwa, hukuwepo (mfano wake ndo tuseme ulikua mfu), kisha ukazaliwa kupitia hatua za ajabu - mbegu za uzazi (mfano wake ndo kufufuka).
Mfano mwingine, usiku unalala, hujitambui (mfu), asubuhi unaamka (unafufuka).
Hapo vipi?
😂😂 Hii Dunia inavihojaHata kwa kuvunja geti nitaingia
Kakudanganya mpumbavu gani ...neema ya mungu ni katika kusamehewa dhambi kwenye toba ya kweli...kwa sababu haki ya dhambi siyo kusamehewa bali ni kuadhibiwa.Mungu wetu ni wa Neema. Hatutaenda mbinguni kwa sababu tunastahili bali ni kwa Neema Tu.
Hata kama tuna dhambi. Yeye ni Mungu wa Rehema, anaturehemu kila wakati.
Haya usiku mwema.
Yaani wewe na Hitler wote muende pepo moja?Kama pepo ipo tutaenda wote
Ndio mkuu, Mungu hana upendeleoYaani wewe na Hitler wote muende pepo moja?