Kama kuna pepo hakuna hata mmoja atakayeingia

Wana wa Mungu wote tutaenda peponi, mimi nimeumbwa na Mungu why nisiende? Nyie walimwengu tumalizane hapahapa duniani nikikuibia nami pia naibiwa, nikikunafikia mm pia nanafikiwa wakuu.

Njia ya peponi haipiti nyumbani kwenu walimwengu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…