rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Waumbuke Mara ngapi Sasa hata kwenye draw hawapi ya michuano ya Afrika.Ni kati ya mechi za hovyo sana kuwahi kushuhudia kwenye ligi yetu. Timu inaongozwa 2:1, dakika zimeisha, mnapata faulo mnapoteza muda nyie wenyewe?
Pale wangekuwa wanacheza na Simba Singida wote wangejazana golini kwa Simba ile faulo apige Golikipa, tena wangekuwa na haraka ya hatari, lakini ndio kwanza wanasubiri refa amalize mpira.
Anyways ipo siku mtaunbuka tu.
Na wewe leta list ya timu ulizokutana nazo kwenye ilo kombe lenu la vikoba mpaka mmeingia robo na ubora wao tuone ni timu za aina Gani!Sasa unaongea nini unakutana na zalan fc team week nzima ipo njiani mkaja mkakutana na jwaneng galaxy iliyoshuka daraja lete hyo list ya team ngumu mlizokutana nazo mpaka mkafika final mimi nasema mlikutana na vibonde.
Umegeuka sheikh yahya,,uwezekano kwa lipi labda taja sababu zinazoeleweka!Katika mechi zilizobaki, kuna mechi kadhaa uto ana uwezekano mkubwa wa kufungwa msimu huu. Mechi hizo ni pamoja na ya Simba na Azam.
Sawa wifiSawa mamdogo ntafanya hivo.
Sawa mtabiri/mganga wa ligiKatika mechi zilizobaki, kuna mechi kadhaa uto ana uwezekano mkubwa wa kufungwa msimu huu. Mechi hizo ni pamoja na ya Simba na Azam.
Hahahaha, mhasibuWamefunga goli dakika 92 kati ya 94, badala ya kuforce mpira uanze haraka, wao ndio wakageuka wapoteza muda. Wakakusanyana kwenye kona kushangilia na kupiga dua.
Mechi au ushuzi?
Vipi kuhusu Tabora United iliyocheza na Yanga nakuifunga magoli 3 na ile Tabora United iliyocheza na Simba na kufungwa? Je, walikuwa wana hiyo fighting spirit? Au na wenyewe ni tawi lenu?Nimetoa mfano wa tukio hilo moja wapo linaloonesha kasoro kubwa ya kiushindani.kufungwa sio tatizo kama fight spirit itaonekana.Refer mechi ya Simba na Fountain Gate,uliona upambanaji wa Fountain Gate ulinganishe na kilichoonekana leo?.
Tukubaliane hapa! Na hizo mechi zote mbili mkipigwa, tusisikie malalamiko ya aina yoyote. Na uzuri mwamuzi lazima tu atakuwa ni Arajiga.Katika mechi zilizobaki, kuna mechi kadhaa uto ana uwezekano mkubwa wa kufungwa msimu huu. Mechi hizo ni pamoja na ya Simba na Azam.
Kati ya hzo sita mechi ya Simba na yanga itoe hapo mana Hawa washakua wateja sasa.Kaka acha kuwa serious na mpira wa bongo, hakuna chochote kitakachofanyika, hakuna mpira bongo ni blah blah TU...ligi haina ushindani, ligi yote game ambazo mtu anaweza kuangalia labda alapata ushindani ni sita, hapo bado makosa ya refa nk, angalia mpira wa bongo kama unaangalia movie ukiisha endelea na mishe zako acha kuuliza kwanini director kamuweka huyu character n.k
Tunawasubiria mng'oe viti kwa mara ya tatu kwenye mechi ya tarehe 8. Maana mkikosa cha kulalamikia mnakimbilia kung'oa viti vya uwanja wa Taifa.Acha ushabiki sometimes tuongee football haiwajengi hii inawabomoa.
Rivers na marumoSasa unaongea nini unakutana na zalan fc team week nzima ipo njiani mkaja mkakutana na jwaneng galaxy iliyoshuka daraja lete hyo list ya team ngumu mlizokutana nazo mpaka mkafika final mimi nasema mlikutana na vibonde.