rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Waumbuke Mara ngapi Sasa hata kwenye draw hawapi ya michuano ya Afrika.Ni kati ya mechi za hovyo sana kuwahi kushuhudia kwenye ligi yetu. Timu inaongozwa 2:1, dakika zimeisha, mnapata faulo mnapoteza muda nyie wenyewe?
Pale wangekuwa wanacheza na Simba Singida wote wangejazana golini kwa Simba ile faulo apige Golikipa, tena wangekuwa na haraka ya hatari, lakini ndio kwanza wanasubiri refa amalize mpira.
Anyways ipo siku mtaunbuka tu.