Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nimeskliza hotuba ya Magufuli kwamba kwa mbinu za kisiri walipeleka sampuli za mananasi, mafenesi, oil ya gari na vitu vingine vingi vikakaguliwe kwenye maabara ili kubaini hizi positives zinazotajwa, hizo sampuli zikaonekana kuwa na corona.

Hii inatisha sasa kama ni kweli, aidha

- Watanzania waliopo kwenye maabara ni wazembe wa kufa mtu, hivyo watasema negative au positive kwa chochote bila kuwa makini.
- Hivi vifaa vya kupima Corona vimehujumiwa na kuna kitu kinasukwa cha kutumaliza Afrika.
- Hao waliosema wamepeleka mananasi iwe wanamdaganya rais

Hiyo hotuba itaibua mengi sana, na inaweza ikajadiliwa mpaka Ulaya, maana leo hii tunaambiwa na kuona watu wanakufa kona zote za dunia, so kwa kifupi hawa watu kitu gani kinawaua jameni. Duh! hili lijadiliwe duniani.

 
Mkuu ameibua mjadala mkubwa sana, nina amini asemacho ni kweli.

Hisia zangu zinaniambia sample zinakuwa contaminated wakati wa kuchukua, kusafirisha, au huko maabara.
Au reagent zina tatizo na hii ilitokea hata marekani walitupa na kuagiza mpya.

Mwisho inaweza kuwa kweli kuna hujuma ya ndani au toka nje ya nchi.

Mjadala mzuri sana huu maana mimi nimewahi kuambiwa nina damu group flani na kukapita miaka nikaenda kupima Hifadhi (bank) ya Taifa ya damu salama nikaambiwa nina group jingine tofauti na la mwazo na zote ni taasisi kubwa za serikali.
 
May 3, 2020
Chato, Geita
Tanzania

RAISI MAGUFULI ASHANGAZWA NA VIPIMO VYA CORONAVIRUS VILIVYOFANYIKA"NI MAMBO YA AJABU"

Hii National Covid-19 Referral Laboratory jijini Dar es Salaam - Tujiulize hofu ya wataalamu wa maabara Kuu kufanyia kazi sampuli za kushukiwa za COVID-19 ni kutokana na mazingingira hatarishi ya maabara kukosa vifaa kinga, vifaa kazi, vifaa batili / feki toka nje au ni uzembe wa wakuu wa Maabara ya Taifa
 
ufiche ili iweje lazima uuweke ukweli wazi ili wahusika wajitafakari


Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema ufiche. Nimesema ufanye uchunguzi ujue ukweli unavokuja kutangaza uwe na suluhu.

Kuja kutulalamikia sisi wananchi kuhusu failures za taasisi zako zinasaidia nini kama huji na suluhisho?

Kama vifaa vinaingia tayari vina wadudu na TBS wanapitisha coz labda hawana uwezo (vifaa, nguvu kazi n.k) wa kupima, njoo utuambie hatua ulizochukua, i.e ulivyowawezesha kuhakikisha haitokei tena.
 
JPM mara zote hua yupo makini na anamisimamo. Dunia nzima ilikimbilia lockdown yeye hakuona kama ni lazima..chukua tahadhari endelea na kazi maana alijua lockdown hatuwezani nayo.

Haya ya kuangalia ufanisi wa maabara na vipimo vyake hapo hata mimi sikua nimewaza kabisa. Ni kweli kila mtu anadhaifu yake lakini JPM Ni kiongozi makini ambae husimamamia sana anachokiamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ameibua mjadala mkubwa sana, nina amini asemacho ni kweli.

Hisia zangu zinaniambia sample zinakuwa contaminated wakati wa kuchukua, kusafirisha, au huko maabara.
Au reagent zina tatizo na hii ilitokea hata marekani waitupa na kuagiza mpya.

Mwisho inaweza kuwa kweli kuna hujuma ya ndani au toka nje ya nchi.

Mjadala mzuri sana huu maana mimi nimewahi kuambiwa nina dadu group flani na kikapita mika nikaenda kupima benki ya damu salama nikaambiwa nina group jingine tofauti na la mwazo na zote ni taasisi kubwa za serikali.
Zile rapid test kits za Jack Ma tayari zinakataliwa! efficiency yake ni 5%!

India finds Chinese coronavirus testing kits only 5% accurate

Kumbuka nao walitumiwa kama sie!

China dispatches 6.5 lakh medical kits to India to fight coronavirus

Na wakaongezewa

Three lakh more Rapid Antibody Test kits sent to India from China: Envoy
 
MK254,

Nakurai pia jirani upitie pitie habari za kimataifa,India wamepiga marufuku vifaa vyote vinavyohusiana na Corona visiagizwe kutoka China, ukizingatia, Afrika mashariki waliagiza hivi vifaa kutoka China, kuna inshu, wakati Magufuli alipigia kelele hivi vifaa, mlisema humu kwamba hajitambui, je, lndia nayo hawajitambui?
 
Hivi unafurahia hali ilivyo Tanzania? Hebu itazame brazil hali ilivyo kwa sasa, rais wao alikua na misimamo kama ya magufuli ila sasa hali si hali
JPM mara zote hua yupo makini na anamisimamo. Dunia nzima ilikimbilia lockdown yeye hakuona kama ni lazima..chukua tahadhari endelea na kazi maana alijua lockdown hatuwezani nayo.

Haya ya kuangalia ufanisi wa maabara na vipimo vyake hapo hata mimi sikua nimewaza kabisa, ni kweli kila mtu anadhaifu yake lakini JPM Ni kiongozi makini ambae husimamamia sana anachokiamini!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasema ufiche. Nimesema ufanye uchunguzi ujue ukweli unavokuja kutangaza uwe na suluhu.

Kuja kutulalamikia sisi wananchi kuhusu failures za taasisi zako zinasaidia nini kama huji na suluhisho?

Kama vifaa vinaingia tayari vina wadudu na TBS wanapitisha coz labda hawana uwezo (vifaa, nguvu kazi n.k) wa kupima, njoo utuambie hatua ulizochukua, i.e ulivyowawezesha kuhakikisha haitokei tena.
Kama umemsikiliza vizuri Magufuli na ukaweka ushabiki kando, usengeweka hii post.

Magufuli amesema wazi kwamba, kuna uwezekano tatizo lipo kwa wafanyakazi wa maabara na kumtaka Waziri kuchunguza, lakini pia kuna uwezekano tatizo lipo katika vifaa vya upimaji ambavyo vinehidhinishwa na WHO, na kuomba WHO nao wafanye utafiti, pia ameshauri nchi zingine duniani kujaribu kuchunguza kama tatizo kama hilo linatokea katika nchi zao, sasa hapo ulitaka atoe ufumbuzi upi zaidi ya huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unafurahia hali ilivyo Tanzania?hebu itazame brazil hali ilivyo kwa sasa, rais wao alikua na misimamo kama ya magufuli ila sasa hali si hali

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Kenya na Tanzania Luna tofauti gani?. Kenya pamoja na kufunga mipaka na kuweka "curfew" na "Partial lockdown" lakini bado maambukizi yanaongezeka kwa kasi, Kenya na Tanzania hakuna nchi yenye nafuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom