Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

Mk
Wakenya siwaelewi mnashangilia nini wakati hamjafanya total lockdown na maambukizi ndani ya Nairobi, Mombasa na county nyingine zilizokumbwa na ugonjwa yanaendelea kuongezeka.

Hivi kuzuia watu wasitembee usiku ina maanisha mchana watu hawawezi kuambukizana?

Endeleeni kujifariji tu.
Mimi naona Uganda na Rwanda ndio wanaweza kuwa na moral authority ya kutucheka au kutubeza watanzania sababu wao wamefanya total lockdown, na Uganda kwa taarifa zao hakuna maambukizi mapaya ya ndani kwa ndani (no local transmission of the disease).
Mkuu mbona unalia? Mimi nilitoa maoni yangu tu.
 
Kilichonishangaza Mimi mpaka Leo ni kwanini toka vifaa vya upimaji vya msaada toka China (Jack MA) vifike ndio maambukizi yakalipuka tuu ghafla.

Mmhh kuna kitu hatukijui nahisi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kimenifanya nikose kuamini Mapadlocks anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?
Wewe unashangaza sana, Geza Ulole amekuwekea "links" nyingi sana zenye kuonyesha nchi nyingi tena nchi zenye maendeleo makubwa ya sayansi zikisema kwamba hizo "test kits" sio nzuri, bado unasema ni nchi moja pekee inalalamika, unataka tukupime mkojo ili kichwa chako kiwe sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc tumekataa lockdown tunakula Bata tu na ninyi mliofata njia kwa kuiga wazungu muna afadhal gani?
Kitu kimenifanya nikose kuamini Mapadlocks anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kimenifanya nikose kuamini anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?
Mkuu hata darasani wenye akili huwa ni wachache, unashangaa nchi nyingine kutocomplain?
 
Ingetokea Kenya mngesifia na kusema Kenya kuna Uhuru wa habari na uwazi.
Kampira uhuru wa habari ni upi na kwanani akisema ndio uhuru wa habari?

hao wenye ndugu wanaotuletea na picha za ndugu zao wakizikwa wanakataliwa kuongezwa katika Idadi ya waliokumbwa ndi Uhuru, leo tasema BBC asitafute au kupewa Habari watu wakiozikwa ndugu zao?
 
This is ludacris!
You shouldn't discredit your institutions in public like that before a comprehensive and conclusive investigation.
Tatizo hili si la nchi moja ni la Dunia, hivyo kiongozi mwenye mapenzi mema na wanadamu wenzake anapugundua tatizo au suluhu anatangaza kwa ajili ya kuwanusuru na wengine.Rais wa Madagasca katangaza dawa ya Cov19,kwa hiyo kajishusha kwa sababu hajapitia WHO.

Kwa hii hotuba Kila nchi itajarbu vifaa vyake haswa hizi za Kiafrika utaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli has messed up. Anatafuta pa kutokea lakini this time mtego wa panya umenasa panya. Hamna pa kutokea. Hata WHO wamekashifu magufuli for lacklustre performance.

Inawezekana unachosema kikawa kweli maana Brazil walikaidi kama Tanzania, imewatokea puani rais wao ameshindwa hajui la kufanya, hivyo Tanzania ikidunda kama Brazil, Magufuli anaweza akalaumiwa sana na ikawa anguko la CCM rasmi.
Kwa hivyo lazima mlango wa kutokea utafutwe kwa nguvu zote, hawa jamaa online wataikimbiza sana mpaka WHO ilaumiwe kwa hujuma.
 
Kampira uhuru wa habari ni upi na kwanani akisema ndio uhuru wa habari?

hao wenye ndugu wanaotuletea na picha za ndugu zao wakizikwa wanakataliwa kuongezwa katika Idadi ya waliokumbwa ndi Uhuru, leo ,tasema BBC asitafute au kupewa Habari watu wakiozikwa ndugu zao?
Hivi nani aliyekuambia kwamba hao waliozikwa sio miongoni mwa hao 16 walioripotiwa na Serikali? Hivi ni wangapi waliozikwa huko Kenya na tumeonyeshwa video zao wakizikwa?, acha kulazimisha mambo yafanyike vile upendavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana unachosema kikawa kweli maana Brazil walikaidi kama Tanzania, imewatokea puani rais wao ameshindwa hajui la kufanya, hivyo Tanzania ikidunda kama Brazil, Magufuli anaweza akalaumiwa sana na ikawa anguko la CCM rasmi.
Kwa hivyo lazima mlango wa kutokea utafutwe kwa nguvu zote, hawa jamaa online wataikimbiza sana mpaka WHO ilaumiwe kwa hujuma.
Ndio. Usisahau uchaguzi mkuu Tanzania ni mwaka huu. Kwa hivyo Magufuli lazima aonyeshe kuwa Corona sio tishio ili achaguliwe tena. Trump pia uchaguzi wake ni mwaka huu ndio maana hata yeye ana underplay the seriousness of corona ili achaguliwe tena. Hawa wanasiasa lazima waonyeshe kuwa corona sio tatizo for their own political survival.
 
Ndio. Usisahau uchaguzi mkuu Tanzania ni mwaka huu. Kwa hivyo Magufuli lazima aonyeshe kuwa Corona sio tishio ili achaguliwe tena. Trump pia uchaguzi wake ni mwaka huu ndio maana hata yeye ana underplay the seriousness of corona ili achaguliwe tena. Hawa wanasiasa lazima waonyeshe kuwa corona sio tatizo for their own political survival.
Hadi India wana uchaguzi mwaka huu?
 
Back
Top Bottom