Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hahah nimecheka lolKitaalam Kabisa Inaitwa Kiburi Cha Uzima
"Tunaomba" au unaomba? Mfumuko wa bei upo dunia nzima na haukwepeki. Kaburu hapa mafuta ya kula 2L yametoka R49 hadi R100 (sawa na sh elfu 14 na ushee) . Hapo sijazungumzia lita ya petrol, sukari, unga wa ngano, bei ya nyama nk, lakini hukuti watu kumtupia lawama raisi maana kila mtu hapa anaelewa hali halisi ya kinachoendelea duniani sasa hivi.Mimi kama mwananchi mwenye uhuru wa kutoa maoni nchi hii, naomba niseme kama kweli CCM mko serious kwaajili ya maendeleo ya wananchi tafadhali tunaomba mtuangalizie mtu atakaetufaa 2025
au basi kama mmeamua 2025 ni zamu ya mwanamke basi tunaomba mtuletee jina lingine,
sioni la maana sasaivi zaidi ya vitu kupanda bei, mi sijawai kuona Rais anatoa kauli zinazochochea mfumuko wa bei,
Rais anasema tujiandae kwa mgumuko wa bei haoni kwamba anawapa mianya mafisadi wa kuficha sukari na mafuta wafanye yao?
hivi kweli vita ya ukraine imesababisha hadi sabuni kupanda bei au kuna watu wanamshauri vibaya Raisi? Sera za ovyo kulinda viwanda vya ndani leo hii lita ya mafuta ya kula inauzwa 8000 na Rais haonekani kabisa kujali hilo
aisee hatulaumu sana kwasababu katiba imemlazimu awe hapo alipo lakini naona dalili kabisa kua ameshatamani sipati picha izo kampeni za 2025 atatwambia nn sisi?
Hatutaki sasa
Sana mpaka leo hii.Kwani dhalimu alikuwa anapendwa
Sawa kabisa, CCM ni shida kamili ya nchi hii, ila ikiwa ni lazima iwepo, bora Mama kuliko mwendazakeMimi siikubali kabisa ccm kwa lolote, lakini kati ya Magufuli na Samia ni bora Samia mara mia. Ccm haileti rais bali ccm ni rubber stamp tu ya rais anayechaguliwa na genge lijiitalo system. Tunataka katiba mpya ili kuondoa huu uhuni wa viongozi.
Sana mpaka leo hii.
CocochanelMama hapendwi mitaani mpaka namuonea huruma.