Mwanaume anayewaza mambo ya Wanaume wengine hafaiKama kweli anajiamini yeye ni kidume asijifiche ajichanganye hadharani kama zamani. Aende sokoni kama kariako. Asitumie sana usafiri binafsi. Asijifiche jifiche. Hapo nitamuamini jamaa kweli mwanaume.
Ila kwa wabongo wanavyokera utasikia huyooo huyoooo kachapiwaaa huyooo huyoo kagongewa. Yani mkono unaweza kutembezwa balaa.
Mwanaume anayewaza mambo ya Wanaume wengine hafai
Hatuwezi kukaa kimya wameumiza wengi sana kwa kuabisha kudhihaki kwenye orijino komedi na ze comedyMuacheni kama kutafunwa katafunwa mke wake yeye, nae karidhia, sisi tukae kimya tu.
UMEGONGEWA nini na wewee?Mwanaume anayewaza mambo ya Wanaume wengine hafai
Mm siwaz ngono Kama wewe mjinga mjingaUMEGONGEWA nini na wewee?
KwishaaaaMm siwaz ngono Kama wewe mjinga mjinga
Unamalizia hasira zako za kugongewa kwangu?Jivishe kanga moja utembee mitaani maana umejaa wivu. Unanuka kama dampo la mochwari.
Hiyo hainihusu. Inamhusu dada na shemeji hukoDaah asubuh asubuh yote hii kweli vitu havijapanda bei.
Dah.. Kuna ukweli humo kwa hiyo mnalipiza.?Hatuwezi kukaa kimya wameumiza wengi sana kwa kuabisha kudhihaki kwenye orijino komedi na ze comedy
Noma kweli.Kuchapiwa ni siri ya ndani... Hayanga muongozo...