Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Na tunaoamini Miungu yetu iliyokuwepo kabla yale majahazi hayajatia nanga pale Unguja tufanyeje?Aliletwa na Mungu ili vijana tujifunze namna ya kuenenda tunapokuwa na madaraka.
Vijana tumefunzwa kuwa yatupasa kumtegemea MUNGU wa mbinguni tu na sio mwanadamu
Dot com vijana. Mungu magufuliNa tunaoamini Miungu yetu iliyokuwepo kabla yale majahazi hayajatia nanga pale Unguja tufanyeje?
Acha chuki kijana za kijinga,jifunze kuwa na kiasi .Dot com vijana. Mungu magufuli
sio kweli ,mwal.jk aliondoka tukiwa tunamhitaji still tuli prosper vyema tu,don't be stupid !!Hofu yangu kama kikwete akifa Leo ndo itakuwa horrible
Waliomtegemea mungu wa chato badala ya Mungu mwenyezi sasa hivi wanalia na kusaga meno, wameachwa yatima na wajane ni vilio visivyo na mwisho.Aliletwa na Mungu ili vijana tujifunze namna ya kuenenda tunapokuwa na madaraka.
Vijana tumefunzwa kuwa yatupasa kumtegemea MUNGU wa mbinguni tu na sio mwanadamu
Kama alivyojaribu Babu yenu Nyerere(mnayetamani kumuabudu) kuifanya Tanzania iwe jamhuri ya kikatoliki lakini akashindwa japo alijaribu kwa mara ya pili kwa kumtumia kibaraka wake Mkapa naye akashindwa na yule mwingine akapaishwa mawinguni kabla hajainajisi kabisa Tanzania yetu.Mullah Samia ana Vision ya kuifanya Tanzania kuwa Emirate islamiyaah
Khodhafis.
ππππππ hili dongo linahitaji lamination na kuwekwa ikulu IdodomyaWaliomtegemea mungu wa chato badala ya Mungu mwenyezi sasa hivi wanalia na kusaga meno, wameachwa yatima na wajane ni vilio visivyo na mwisho.
Jiandae kisaikolojia, Samia anamalizia miaka minne aliyoicha Magufuli, then anapiga ya kwake 10, halafu tunamuongeza mitano ya shukrani.Uchaguzi utakuwa rahisi sana huu.Kuna chama kikimpitisha kikamsimika huyu, kitapigwa vibaya sana hata wakiiba kura hazitatosha. [emoji23][emoji23]