Toka awali Katazo la mikutano ya hadhara mlengwa mkuu alikuwa ni CDM. Hata hapo walipo wanapima upepo, CDM wakianza mikutano na mwitikio ukawa mkubwa Katazo linarejeshwa tena. Lakini naona kabisa CDM wakikutana na vikwazo vikubwa vya mikutano ya hadhara.