Kama kweli Mungu yupo, basi hana nguvu

Kama kweli Mungu yupo, basi hana nguvu

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.

Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).

Am done.
 
Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, Nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.

Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).

Am done.
Ndio shida ya kufanya jambo huku ukiwa na uhakika wa kwamba plan B yake ipo, huwezi kukifanya kwa ufanisi yaani kuingia miguu yote kwa maana unajua ukifeli huko huna pengine pa kukimbilia so uko na option moja tu.

Mambo ya kiroho yanahitaji maandalizi kwanza lakini pia inawezekana unachokiombea tayari kipo kwahiyo ni wewe tu kukifuata.
 
Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.

Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).

Am done.
Mungu anafanya kazi sana bila masharti Wala usumbufu wowote,tatizo ni njia unazozitumia mkkuu
 
Watu wa dini kwa kujifariji hawajambo.
Eti Mungu hawahi wala hakawii, eti anakuja kwa "wakati wake"
Fikiria hivi, uko jangwani unahitaji msaada wa Mungu, ila hakusaidii kwa kisingizio cha kwamba atakuja kwa wakati wake, sasa huyu Mungu ana msaada gani?
Yaani mpaka ajisikie ndiyo akusaidie?
Kwamba hata uombe mwaka mzima hawezi kukusaidia kama muda aliopanga haujafika?
Kwahiyo tayari alishapanga maisha yetu yatakuwaje?
Sasa kama alishapanga maisha yetu kuna ulazima gani wa kumuomba?
 
Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.

Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).

Am done.
Nguvu ya Mungu iko katika bidii na uaminifu wako, kinyume chake yupo yupo uvivu, laumu na ushirikina 🐒
 
Watu wa dini kwa kujifariji hawajambo.
Eti Mungu hawahi wala hakawii, eti anakuja kwa "wakati wake"
Fikiria hivi, uko jangwani unahitaji msaada wa Mungu, ila hakusaidii kwa kisingizio cha kwamba atakuja kwa wakati wake, sasa huyu Mungu ana msaada gani?
Yaani mpaka ajisikie ndiyo akusaidie?
Kwamba hata uombe mwaka mzima hawezi kukusaidia kama muda aliopanga haujafika?
Kwahiyo tayari alishapanga maisha yetu yatakuwaje?
Sasa kama alishapanga maisha yetu kuna ulazima gani wa kumuomba?
Huna akili
 
Watu wa dini kwa kujifariji hawajambo.
Eti Mungu hawahi wala hakawii, eti anakuja kwa "wakati wake"
Fikiria hivi, uko jangwani unahitaji msaada wa Mungu, ila hakusaidii kwa kisingizio cha kwamba atakuja kwa wakati wake, sasa huyu Mungu ana msaada gani?
Yaani mpaka ajisikie ndiyo akusaidie?
Kwamba hata uombe mwaka mzima hawezi kukusaidia kama muda aliopanga haujafika?
Kwahiyo tayari alishapanga maisha yetu yatakuwaje?
Sasa kama alishapanga maisha yetu kuna ulazima gani wa kumuomba?
Inafikirisha..
 
Back
Top Bottom