Kama kweli Mungu yupo inabidi aniombe msamaha

Wew usiwe kichwa panzi

Upo mji tumeandaliwa, mji mzur huko mbinguni, watu wa Mungu utawakuta huko.

Wew uliye dunian sasa ishi ukiomba na wew uje ufike huko.

Maisha ya duniani hapa ni kibarua tu.

Ila kama ukifa na dhambi zako duu my dear utachomwa moto kuchomwa....
Kufa sio kitu kibaya, ubaya wengi wanao kufa wanaacha mapengo kilofa kutokana na kuwa hawakutimiza wajbu wao dunian ipasavyo, ndio maana wengi wanao achwa wanakaa kulalama.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.
Binadamu sisi sio wakamilifu,
Kwanini alituumba tuwa hatuna ukamilifu? Hii pia nilawana anayo stahili kupewa

2.
Mungu hakukuleta duniani ili ufanikiwe na kuishi kwa furaha.
Amekuleta duniani ili uidhi kua mwaminifu (be faithful)
kama hakutaka tuwe na furaha, kwanini anajiita mungu mwenye upendo wote wakati ametunyima furaha?

3.
Ukitaka Mungu awe upande wako kwanza achana na dhambi na kutenda haki
Hakikadhalika naye mungu akitaka tusitende dhambi angetuumba tukiwa kamilifu, kisicho kamilifu hakiwezi kutenda yaliyo mema tu. Bali kilicho kamilifu hakiwezi kua na kasoro hivyo hakiwezi kufanya maovu yoyote yale.

4. Nikupe somo kidogo kulingana na maandiko ya neno la Mungu....
"...hatuwezi kuishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu..."
kama hatuwezi kuishi kwa njia zetu binafsi mpaka mungu aamue kipi kifanyike na kipi kisifanyike, hapo hata haipaswi kuomba msamaha wowote ukimkosea maana yote hayo ni mapenzi yake hayajatokea kwa bahati mbaya bali ni mpango wake kua yatokee.


Swali ni je maombi yanaweza kubadilisha mawazo ya mungu? Mungu akikuandikia kua hakupi je ukisali kwa kuomba atakupa hitaji lako?

Sent using unknown device
 

Kama maisha ya hapa duniani ni kibarua tu. Mungu aliumba dunia kwa ajili ya nini?

Kwanini nichomwe moto wakati kosa ni lake kaniumba nikiwa sijakamilika?

Sent using unknown device
 
Binadamu mnapenda mitelemko sana, hiyo roho kemea kabisa,
Kuna kitu kibaya kimepandikizwa ndani yako...

Nijibu hili swali kwanza, ndio ntajua kweli unashida ya kutaka kukua au la,

Kwa mafikirio yako
Wew unadhani Mungu kakuleta dunian uje ufanye nn????????
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa sikubaliani na upoyoyo wa eti kuna maisha ya milele Mbinguni so duniani tumeletwa kufanya nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema anajibu maombi lakini kwa maombi yote yale karibu nchi nzima kumuombea ruge apone lakin bado kadanja...huyu mungu changa la macho tumepigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwepo asingeruhusu ujinga huu wa kumuacha ruge afe kizembe, halafu awaache al shabaab na boko haram waendelee kuua watu wasio na hatia

Sent using unknown device
 

Sawa. Usiku huu anahihitaji roho yako.
 
Ukiniambia nitumie mafikirio kukujibu ntakuambia mungu hayupo

Ukifikiria kwa makini utaona habari hizi za mungu ni uzushi, angekuwepo angehakikisha kila mtu anakua na afya njema pasipo kuugua gonjwa lolote kwasababu yeye ni mungu muweza wa yote, mjuzi wa kila kitu, mwenye nguvu zote kusingekua na sababu yoyote kuruhusu mambo mabaya kwa watu wake

Sent using unknown device
 
Taja msimamo wako mm sijakuomba unitolee maelezo.

Rudia tena, unaamini Mungu yupo au hayupo???

Na kama yupo unadhani kakuleta dunian uje ufanye nn?????
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja msimamo wako mm sijakuomba unitolee maelezo.

Rudia tena, unaamini Mungu yupo au hayupo???

Na kama yupo unadhani kakuleta dunian uje ufanye nn?????

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ni je maombi yanaweza kubadilisha mawazo ya mungu? Mungu akikuandikia kua hakupi je ukisali kwa kuomba atakupatia hitaji lako?

Sent using unknown device
 
Na leo alijua utakuja kuandika uzi utakaokera baadhi ya watu. Dah sipati picha nao wakataka awaombe msamaha kwa kukuacha uione leo ili wao wakereke.

Think twice mkuu


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…