Kama kweli Mungu yupo inabidi aniombe msamaha

Kama kweli Mungu yupo inabidi aniombe msamaha

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo

Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili

Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe

Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
 
Mosi; Mwenyezi Mungu alikuumba wewe, na anajua kila kitu kuhusu wewe ila hajakupangia. Amekupa akili na utashi wa kutambua mema na mabaya na hivyo kufanya maamuzi sahihi.

Ukiona mambo hayaendi ujue huenda hautumii vizuri akili na utashi aliyokujalia. Lakini, kama kuna magumu unapitia, kwa kiasi kikubwa huenda ni matokeo ya dhambi; ukianza na ile ya wazazi wetu wa kwanza, Adam na Eva.

Pili; pole sana kwa kutokwa na mama. Lakini ujue tu kuwa kifo ni safari kutoka maisha ya hapa duniani kwenda maisha ya Milele huko Mbinguni. Hauna haja ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kuhusu hilo. Yeye aliyepanga tuzaliwe kimwili, ndiye aliyepanga pia tufe kimwili, japo roho zetu zitaishi milele.

Tatu; Mwenyezi Mungu hajajificha. Amekuambia umtafute, nawe utamuona. Mwenyezi Mungu anajidhirisha kwetu kila siku. Mtafute, nawe utamuona.

Uwe na wakati mwema mkuu.
 
Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo

Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili

Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe

Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
Quran 2-132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

kama kweli unatafuta dini ya kweli hiyo apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli maisha yamekua magumu,mpaka umeamua kumletea Mungu kwere ,akuombe msamaha!
 
Mosi; Mwenyezi Mungu alikuumba wewe, na anajua kila kitu kuhusu wewe ila hajakupangia. Amekupa akili na utashi wa kutambua mema na mabaya na hivyo kufanya maamuzi sahihi.

Ukiona mambo hayaendi ujue huenda hautumii vizuri akili na utashi aliyokujalia. Lakini, kama kuna magumu unapitia, kwa kiasi kikubwa huenda ni matokeo ya dhambi; ukianza na ile ya wazazi wetu wa kwanza, Adam na Eva.

Pili; pole sana kwa kutokwa na mama. Lakini ujue tu kuwa kifo ni safari kutoka maisha ya hapa duniani kwenda maisha ya Milele huko Mbinguni. Hauna haja ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kuhusu hilo. Yeye aliyepanga tuzaliwe kimwili, ndiye aliyepanga pia tufe kimwili, japo roho zetu zitaishi milele.

Tatu; Mwenyezi Mungu hajajificha. Amekuambia umtafute, nawe utamuona. Mwenyezi Mungu anajidhirisha kwetu kila siku. Mtafute, nawe utamuona.

Uwe na wakati mwema mkuu.
kwa iyo dhambi alotenda Adamu na mwenzake ndo inanihukumu hadi mimi?

uyu Mungu mbona ana kisasi sana
 
Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo

Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili

Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe

Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
Ukishiba usimwonyeshe Mungu tumbo.
We lala huna, unalo.

Ukishikwa utamtaja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mosi; Mwenyezi Mungu alikuumba wewe, na anajua kila kitu kuhusu wewe ila hajakupangia. Amekupa akili na utashi wa kutambua mema na mabaya na hivyo kufanya maamuzi sahihi.

Ukiona mambo hayaendi ujue huenda hautumii vizuri akili na utashi aliyokujalia. Lakini, kama kuna magumu unapitia, kwa kiasi kikubwa huenda ni matokeo ya dhambi; ukianza na ile ya wazazi wetu wa kwanza, Adam na Eva.

Pili; pole sana kwa kutokwa na mama. Lakini ujue tu kuwa kifo ni safari kutoka maisha ya hapa duniani kwenda maisha ya Milele huko Mbinguni. Hauna haja ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kuhusu hilo. Yeye aliyepanga tuzaliwe kimwili, ndiye aliyepanga pia tufe kimwili, japo roho zetu zitaishi milele.

Tatu; Mwenyezi Mungu hajajificha. Amekuambia umtafute, nawe utamuona. Mwenyezi Mungu anajidhirisha kwetu kila siku. Mtafute, nawe utamuona.

Uwe na wakati mwema mkuu.
Ulikua ni mpango wa mungu kuwepo na shetani au Mungu alifeli katika mipango yake ndipo shetani akawepo?

Sent using unknown device
 
1.
Binadamu sisi sio wakamilifu,
2.
Mungu hakukuleta duniani ili ufanikiwe na kuishi kwa furaha.
Amekuleta duniani ili uidhi kua mwaminifu (be faithful).
3.
Ukitaka Mungu awe upande wako kwanza achana na dhambi na kutenda haki.

4. Nikupe somo kidogo kulingana na maandiko ya neno la Mungu....
"...hatuwezi kuishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu..."

Neno la Mungu ni lipi..?? Utaniuliza mbona sijawai kusikia Mungu akinisemesha..
Biblia takatifu ndio maneno peke ya Mungu kwako wew mwanadamu.
Pia Mungu usema nasi kupitia maono.

Kujua yote hayo soma Biblia yako...
Utajua yote yakupasayo kufanya, na utajua kanisa lipi linafundidha na kushiriki ibada kamilifu sawa na maandiko.

"Kumcha bwana ndio chanzo cha maarida"

Chimbuko langu mm ni Mlutheri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimemmaindi tu kutokana na sifa yake yakujua yaliyo mbeleni kabla hayajatokea. Kwa sifa hii inamaana alijua kua kivuko cha nyerere kitakuja kuzama lakini hakuzuia akaacha ndugu zetu wapoteze maisha wakati alikua na uwezo wa kuzuia.

Kwasifa hii bora tu asiwe anajua yajayo maana haina umuhimu, yaani unajua yajayo halafu huwezi kuyaepusha mabaya ambayo uliyaona kabla hata hayajatokea

Mimi ninamashaka sana na huyu mungu. Vitabu vyake vinatuambia hakuna linaloshindikana mbele zake, lakini tunaona ameshindwa kutokomeza dhambi pamoja na kumdhibiti shetani.

Tunaambiwa ombeni lolote nanyi mtapewa. Lakini tunaona wachungaji bila sadaka zetu hawaendi toilet, inamaana mungu kashindwa kuwasaidia watumishi wake kuwapatia hitaji lao mpaka wategemee sadaka za waumini ambao wamekua wakihangaika usiku na mchana kutafuta ridhiki kwa jasho kwa ajili ya familia zao?

Mungu huyu aliyekua hana masihala na watenda dhambi wakipindi icho, mpka kufikia hatua ya kuangamiza kizazi cha sodoma na gomora kwa moto. Leo hii america na nchi nyingi za ulaya zimehalarisha ndoa za jinsia moja lakini katulia tu bila kuchukua hatua yoyote.

Sent using unknown device
 
Back
Top Bottom