[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe umemsikia wapi kocha Nabi akisema hayo?Huyu kocha naye jau tu kwani mgogoro wa Fei toto na Viongozi wake inamhusu nn?
Hata kipindi tetesi za fei kuondoka Yanga zilipo kuwa zina fukuta chinichini mlikuwa mna sema hivyo hivyo lakini mwisho ukweli umejulikana.Wewe umemsikia wapi kocha Nabi akisema hayo?
Nabi anaongea Kifaransa na kiarabu, achana na haya mazezeta ya Mwamedi Yanasumbuliwa na mhaho.
Mkuu hakuna anayekataa kuwa Fei Toto ni mchezaji mzuri.Tunajidanganya sababu ya ushindi wa Azam wa juz
Fei Bado n muhimu kikosini subiri majeruhi yaanze ndio watajua FEI mtoto au mkubwa
Umesoma vizuri kweli concern ya Nabi? Yeye kasema tena kiufundi kuwa kuondoka kwake ghafla kulimvurugia match plan zake na kulazimisha kufanya technical changes. Yeye habri za ugomvi haongolei. Yule yuko smart sanaHuyu kocha naye jau tu kwani mgogoro wa Fei toto na Viongozi wake inamhusu nn?
Kocha ana uwezo wa kumuwajibisha mchezaji iwapo ataonesha utovu wa nidhamu tofauti na hapo anaingilia mambo yasiyo muhusu.
Vip majeruhi akiwa Feisal???Tunajidanganya sababu ya ushindi wa Azam wa juz
Fei Bado n muhimu kikosini subiri majeruhi yaanze ndio watajua FEI mtoto au mkubwa
BM3 aliwafanyia vituko zaidi ya Fei lkn mpo nae kambini, why Fei!!!???Mkuu hakuna anayekataa kuwa Fei Toto ni mchezaji mzuri.
Lakini pia majeruhi hata yeye anaweza kupata akiwa Yanga au Azam. Ninachoongea mimi ni kuwa mchezaji ambaye nafsi yake iko upande mwingine utamlazimisha...
Kumbe na wewe ni wale wale mazezeta wa Mohamed.Hata kipindi tetesi za fei kuondoka Yanga zilipo kuwa zina fukuta chinichini mlikuwa mna sema hivyo hivyo lakini mwisho ukweli umejulikana.