Hapa sasa ndio utajua uto hamnazo,
Washabiki: Zanzibar finnest ni zaidi ya Cloutus Chama mzee wa loco faint
FEI : Nafurahi kuwa hapa kwa muda wote ila muda umefika kwenda kupata changamoto nyingine sehemu nyingine,kwaherini[emoji857][emoji857][emoji857]
VIONGOZI : fei ni mchezaji wetu mpaka 2024[emoji849][emoji849]
WASHABIKI : aende ,hatumtaki..no fei no problem
VIONGOZI: Tupo chini ya miguu yako,usitudhalilishe rudi nyumbani tutakupa kila unachotaka fei,wewe ndio yanga [emoji24]
FEI : sawa kama mtanitimizia hivyo basi nimekubali kurudi[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]
VIONGOZI : [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
WASHABIKI : oyooooo aibu yao waliokuwa wanasema fei kahama,wanaona aibu sasa,hii ndio utopolo og fei ahame weeeeh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
KOCHA : hayupo katika program zangu,akae pembeni simtaki [emoji45][emoji848]
WASHABIKI: [emoji856][emoji856][emoji31][emoji31][emoji1781] mbona alimpokea morrison!!!!!!
???????????