Kama kweli Nabi kakataa Fei Toto kurudi kambini, yuko sahihi

Kama kweli Nabi kakataa Fei Toto kurudi kambini, yuko sahihi

Mm nadhani ungenijibu swali langu kwanza badala ya ww kuniuliza swali? Kocha na masuala ya mkataba kati ya wachezaji na Viongozi wake inamhusu nn?

Kocha ni kiongozi sawa ila uongozi wake una mipaka , kuingilia migogoro ya kimaslahi kati wachezaji na Viongozi wao huko ni kuvuka mipaka ya mamlaka yake.

Kwani hata huyo Nabi akipata timu ikampa milioni 100 kwa mwezi ataendelea kukaa hapo utopoloni eti kisa ana mkataba au anaogopa kuitwa masariti?
.
Jaribu kufikiri hivi labda itakusaidia. Mchezaji haruhusiwi kuondoka kambini pasi na kocha kupewa taarifa. Inawezekana mkataba wa Feisal kocha haumhusu lakini huoni mchezaji kuondoka kambini bila ruhusa kunamhusu?!

Usiniambie ulishindwa kufikiria kitu kidogo kama hiki.
 
Hapa sasa ndio utajua uto hamnazo,

Washabiki: Zanzibar finnest ni zaidi ya Cloutus Chama mzee wa loco faint

FEI : Nafurahi kuwa hapa kwa muda wote ila muda umefika kwenda kupata changamoto nyingine sehemu nyingine,kwaherini[emoji857][emoji857][emoji857]

VIONGOZI : fei ni mchezaji wetu mpaka 2024[emoji849][emoji849]

WASHABIKI : aende ,hatumtaki..no fei no problem

VIONGOZI: Tupo chini ya miguu yako,usitudhalilishe rudi nyumbani tutakupa kila unachotaka fei,wewe ndio yanga [emoji24]

FEI : sawa kama mtanitimizia hivyo basi nimekubali kurudi[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]

VIONGOZI : [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

WASHABIKI : oyooooo aibu yao waliokuwa wanasema fei kahama,wanaona aibu sasa,hii ndio utopolo og fei ahame weeeeh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

KOCHA : hayupo katika program zangu,akae pembeni simtaki [emoji45][emoji848]

WASHABIKI: [emoji856][emoji856][emoji31][emoji31][emoji1781] mbona alimpokea morrison!!!!!!

???????????View attachment 2460740
Sisi tunachojua ni kuongoza ligi na kuchukua kombe hizo habari za comparison endeleeni nazo nyie

N:b Mda wa kutetea kombe la mapinduzi umefika msituangushe
 
Feisali akirudi yanga ataigawa yanga ni bora angekaa nje hata mwezi mmoja ili akili imkae sawa
 
Huyu kocha naye jau tu kwani mgogoro wa Fei toto na Viongozi wake inamhusu nn?

Kocha ana uwezo wa kumuwajibisha mchezaji iwapo ataonesha utovu wa nidhamu tofauti na hapo anaingilia mambo yasiyo muhusu.
Kwani kuondoka kambini huo sio utovu wa nidhamu?
 
Huyu kocha naye jau tu kwani mgogoro wa Fei toto na Viongozi wake inamhusu nn?

Kocha ana uwezo wa kumuwajibisha mchezaji iwapo ataonesha utovu wa nidhamu tofauti na hapo anaingilia mambo yasiyo muhusu.
umeandika usichokijua? ni aidha hujui maana ya nidhamu au unaleta ushabiki wa bongo.
 
Back
Top Bottom