Kama kweli Nabi kakataa Fei Toto kurudi kambini, yuko sahihi

Kama kweli Nabi kakataa Fei Toto kurudi kambini, yuko sahihi

Kwa kweli fei aondoke tu tulivyokua tunampenda na njia aliyotumia. Kudai maslahi ni ya usaliti mno imetuvunja moyo. Ila kama tumeweza mrudisha morison fei kwanini iwe tatizo
 
Mpira wa bongo ni upumbavu mtupu japobsina ushabiki wa timu yoyote ila nilikua najua kwa mchezaji kama fei mkwanja wake utakua safi tu mbona wakuja wanalipwa njema iweje wazawa waminywe kimtindo ndio maana utakuta timu hazifiki mbali figisu nyingi.........
Halafu utakuta mtu kama huyu anaafanyakazi kwa wahindi analipwa laki mbili kwa mwezi na wahindi wanalipana mishahara mkubwa lakini halioni.
 
Wazee wa connection utopolo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Safi kama ni kweli, hakuna mchezaji kujifanya mkubwa zaidi kocha na club.
Fei hajajifanya mkubwa bali alikuwa anadai maslahi yake ,kwa hiyo huyo Nabi akipata timu nyingine ikampa milioni 100 kila mwezi atabakia hapo utopoloni kisa tu ana mkataba? Acheni ufala Fei ana haki ya kutafuta kesho yake iliyo bora.

Na huyo Nabi asipo kuwa makini hili suala litamrudisha kwao Tunisia yaani wenye timu wameufyata yeye ninani ndani ya yanga?
 
Mkuu hakuna anayekataa kuwa Fei Toto ni mchezaji mzuri.

Lakini pia majeruhi hata yeye anaweza kupata akiwa Yanga au Azam. Ninachoongea mimi ni kuwa mchezaji ambaye nafsi yake iko upande mwingine utamlazimisha?

Kwa vyoyote vile hawezi kuwa huru tena, fikiria tayari coach kapoteza imani nae hapo hata wachezaji wenzake usikute nao wamegawanyika. Unaweza kukuta timu inavurugika zaidi.

Ni heri akubaliwe kuhama
Fei hakuondoka yanga kwa sababu haipendi bali kaondoka kwa ajili ya maslahi na kama yanga wamempa alicho kuwa amekifuata Azam basi haina shida.
 
Tunajidanganya sababu ya ushindi wa Azam wa juz

Fei Bado n muhimu kikosini subiri majeruhi yaanze ndio watajua FEI mtoto au mkubwa
Ni muhimu ila kaikosea sana Yanga pamoja na kudai haki yake ya kuongezewa malipo lakini sio kwa ghafla vile tena kwenye mechi muhimu vile unaleta tafrani. Dogo kakosea Nabi yupo sahihi hata mimi namsapoti
 
Nimeona taarifa ya kuwa Nabi kakataa Fei Toto kurejea kambini hata baada ya mgogoro wake na club kusuluhishwa.

Kama ni kweli basi huyu kweli ni Professor haswaa.

Viongozi wa Yanga hawakupaswa kabisa kukomaa na mchezaji ambaye tayari saikolojia yake haiko kwenye timu. Nawahakikishia itasumbua sana. Wangemuacha tu kwa amani

View attachment 2460216
Kwa hili tukio Niko pamoja na kocha. Hata vitani mwanajeshi akihasi kambi zawadi yake Ni kutoweshwa kambini ili hasije kuwa kirusi kwa wenzie
 
Fei hajajifanya mkubwa bali alikuwa anadai maslahi yake ,kwa hiyo huyo Nabi akipata timu nyingine ikampa milioni 100 kila mwezi atabakia hapo utopoloni kisa tu ana mkataba? Acheni ufala Fei ana haki ya kutafuta kesho yake iliyo bora.

Na huyo Nabi asipo kuwa makini hili suala litamrudisha kwao Tunisia yaani wenye timu wameufyata yeye ninani ndani ya yanga?
Hiki kiherehere mngekielekeza kwenye timu yenu mngefanya jambo la maana
 
Fei hajajifanya mkubwa bali alikuwa anadai maslahi yake ,kwa hiyo huyo Nabi akipata timu nyingine ikampa milioni 100 kila mwezi atabakia hapo utopoloni kisa tu ana mkataba? Acheni ufala Fei ana haki ya kutafuta kesho yake iliyo bora.

Na huyo Nabi asipo kuwa makini hili suala litamrudisha kwao Tunisia yaani wenye timu wameufyata yeye ninani ndani ya yanga?
Hiki kiherehere mngekielekeza kwenye timu yenu mngefanya jambo la maana
 
Fei hajajifanya mkubwa bali alikuwa anadai maslahi yake ,kwa hiyo huyo Nabi akipata timu nyingine ikampa milioni 100 kila mwezi atabakia hapo utopoloni kisa tu ana mkataba? Acheni ufala Fei ana haki ya kutafuta kesho yake iliyo bora.

Na huyo Nabi asipo kuwa makini hili suala litamrudisha kwao Tunisia yaani wenye timu wameufyata yeye ninani ndani ya yanga?
Anadai kwa nani mbwa wewe? Yy ana mkataba na walishakubaliana sasa hayo madai kayatoa wapi??
Mbumbumbu
 
Wewe Mbumbumbu haujui kama coach nae ni kiongozi?
Ww ndio mbumbu mbumbu , kocha ni kiongozi lakini uongozi wake una mipaka na mipaka yake inaishia uwanjani na kwenye nidhamu ya wachezaji, suala la mikataba haimuhusu.

Ngoja nikuulize huyo nabi sasa hivi akipata timu na ikaweka dau la million 100 kwa mwezi mezani ataendelea kukaa hapo utopoloni eti kisa tu ana mkataba au kuogopa kuitwa msariti?
 
Mi ni shabiki wa yanga na namkubali feisal as a player anauwezo mkubwa sana, ametusaidia sana na atatusaidia sana

Alikuwa sahihi tu kwenda Azam mwisho wa siku yanga sio timu ya baba ake ye anatafuta maisha, lakin Kam aliamua kwenda Azam hakuwa na sabab yakugeuka nyuma

Kama ni kweli nabi kaweka ngumu yupo sahihi na iwe ni mfano Kwa wengine kwamba ukiamua ku-move on move on kwel watu tuna mambo mengi Kila siku tukuwaze wewe tu we nan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anadai kwa nani mbwa wewe? Yy ana mkataba na walishakubaliana sasa hayo madai kayatoa wapi??
Mbumbumbu
Acha mtusi toa hoja ,fei toto alikuwa ameondoka yanga baada ya kupata maslahi makubwa sehemu nyingine na ndio kawaida ya binadamu yeyote.

Labda nikuulize ww hicho kimshahara chako cha laki300,000 kwa mwezi unacho kipata akitokea mtu akataka kukuajili kwa mashara 1,500,000 utabaki kwenye mshahara wa laki tatu ?
 
Back
Top Bottom