Kama kweli tuna uchungu na CHADEMA tuache kuandamana kweye mitandao tuwe mfano

Kama kweli tuna uchungu na CHADEMA tuache kuandamana kweye mitandao tuwe mfano

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
 
Tanzania hii hakuna maandamano, ukiingia barabarani ni vita yani utavunjwa miguu, mikono na hata kupata kilema cha maisha au hata kufa.

Na ndio maana tunahitaji walau mabadiliko, haiwezekani mtu kila unachoamuliwa lazima ukubali na ukihoji unapigwa, hii sio nzuri kwa kweli.

Nawaza tu siku nchi hii ikipata kiongozi ambae ni pandikizi wa nchi nyingine nahizi ndio utakuwa mwisho,
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa CHADEMA popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa CHADEMA kufanya hivyo hamna wakutufanyia...
Kongamano La kimtandao ni kubwa kuliko unavyodhani ,waulize mbona walifungia Twitter, jf,WhatsApp
 
Sasa kama kubwa kwa nini mnatoa matamko watu waingie barabarani?
Katiba haijazuiya popote ila nguvu kubwa inatumika kukandamiza hivyo mtandao hauzuiliki na ni zaidi ya hilo kongamano la mtaani nia nikupaza sauti dunia iskie ili Mimi na wewe kama watanzania tupige hatua,
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Kwa kuwa unaridhika na hali ya mambo kwanini,ujisumbue,kaa tulia endelea na mipango yako,pia usisahau kuendelea kuwaimbia mapamboo ya sifa,watesi wa ndugu zako.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwa kuwa unaridhika na hali ya mambo kwanini,ujisumbue,kaa tulia endelea na mipango yako,pia usisahau kuendelea kuwaimbia mapamboo ya sifa,watesi wa ndugu zako.
Hali ya mambo yapi kumwambia Rais tutatumia wembe ule ul
 
Msitoe matamko ambayo hamuwezi kuisimamia. Katika matamko ya Chadema walisema watafanya Kongamano la Katiba Mwanza polisi wakitaka wawaue wote au wawakamate wote na hawatoomba dhamana kuachiwa

Je, kongamano lilifanyika?
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Kuna njia nyingi za kufikia lengo usikaririshe watu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mwamba wao kahifadhiwa wote baridiii.
Hawathubutu hata kutoka nje ya Nyumba zao. Ila myika yuko smart huwaga hafanyi vurugu kabisa.
Mnyika bana eti hajui mwenyekiti yupo wapi,anatuma wanachama wakamtafute
Usanii wa kuchochoea wanananchi,mbinu ya kizamani sana hii
 
Back
Top Bottom