Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Ok, pole yako.niko police central tangu usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, pole yako.niko police central tangu usiku
Niko kwa ajili ya Chadema , kuna makaratasi nasainiOk, pole yako.
kama watu wenyewe wa kusaini makaratasi ya chadema ni wewe basi chadema ni kikundi cha kihuni tuNiko kwa ajili ya Chadema , kuna makaratasi nasaini
Hatujawahi kuogopa polisikama watu wenyewe wa kusaini makaratasi ya chadema ni wewe basi chadema ni kikundi cha kihuni tu
Sawa.Niko kwa ajili ya Chadema , kuna makaratasi nasaini
yaani unasema hivyo mwenzio yupo mahabusu kwanini msiandamane tuone ?Hatujawahi kuogopa polisi
yule si aliwaambia mara ya baada ya uchaguzi waingie barabarani atakuwepo akawakimbia?Madai ya cdm ni muhimu sana,ila wanatumia wrong approach........
Niliona Lissu anatweet jana watu waingie Road, nikajiuliza si aje aongoze maandamano mbona anajificha kwenye keyboard tu
Hapo ndiyo huwa siwaelewi wanasiasa wetu, huwa wanahamasisha ila huwezi kuwaonayule si aliwaambia mara ya baada ya uchaguzi waingie barabarani atakuwepo akawakimbia?
Wewe unaandamania wapi mtambuka.Ok, pole yako.
Unatakaje, kwa mfano?Wewe unaandamania wapi mtambuka.
umeibuka kijanaSasa kama kubwa kwa nini mnatoa matamko watu waingie barabarani?
Risasi gani tena za kupiga waandamanaji.."si Magu dikteta uchwara hayupo na tunae sasa mama mrudisha tabasamu kwa watz"?Wanaukumbi.
Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.
Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.
Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Nilitaka nijue unakoendelea na sherehe hivi sasa.Unatakaje, kwa mfano?
Halafu ukijuwa?Nilitaka nijue unakoendelea na sherehe hivi sasa.
Nijue kiwango cha furaha yenu,hatimae wapo mliofanikiwa kuwa bambikia.Halafu ukijuwa?
Zikitokeaga hizi ishu polisi huwa wanawasubiria tu barabarani ila mnazingua, unaikumbuka hii baada ya kukataa matokeo ya uchaguzi ? 👇Hatujawahi kuogopa polisi
Na ukishajua?Nijue kiwango cha furaha yenu,hatimae wapo mliofanikiwa kuwa bambikia.