Kama kweli tuna uchungu na CHADEMA tuache kuandamana kweye mitandao tuwe mfano

Kama kweli tuna uchungu na CHADEMA tuache kuandamana kweye mitandao tuwe mfano

Madai ya cdm ni muhimu sana,ila wanatumia wrong approach........

Niliona Lissu anatweet jana watu waingie Road, nikajiuliza si aje aongoze maandamano mbona anajificha kwenye keyboard tu
 
Lisu aliwaomba wafuasi wake waingie barabarani kaibiwa kura alafu yeye akaenda kunyuti ubalozini anaskilizia.
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Risasi gani tena za kupiga waandamanaji.."si Magu dikteta uchwara hayupo na tunae sasa mama mrudisha tabasamu kwa watz"?
 
Hatujawahi kuogopa polisi
Zikitokeaga hizi ishu polisi huwa wanawasubiria tu barabarani ila mnazingua, unaikumbuka hii baada ya kukataa matokeo ya uchaguzi ? 👇
 
Back
Top Bottom