Kama kweli tuna uchungu na CHADEMA tuache kuandamana kweye mitandao tuwe mfano

Kama kweli tuna uchungu na CHADEMA tuache kuandamana kweye mitandao tuwe mfano

Msitoe matamko ambayo hamuwezi kuisimamia. Katika matamko ya Chadema walisema watafanya Kongamano la Katiba Mwanza polisi wakitaka wawaue wote au wawakamate wote na hawatoomba dhamana kuachiwa

Je, kongamano lilifanyika?
Ngoma ya watoto haikeshi
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Ha ha ha ha ha ni huzun saana
 
Mwamba wao kahifadhiwa wote baridiii.
Hawathubutu hata kutoka nje ya Nyumba zao. Ila myika yuko smart huwaga hafanyi vurugu kabisa.
Yaan mbowe Ni chadema na chadema Ni mbowe!
 
Mwamba wao kahifadhiwa wote baridiii.
Hawathubutu hata kutoka nje ya Nyumba zao. Ila myika yuko smart huwaga hafanyi vurugu kabisa.
Mnyika alishastaafu siasa. Sasa hivi anasindikiza siku tu. Pesa zake zote 90M alizopewa kununua gari la Ubunge 2015 alinunua HISA DSE.
 
Tanzania hii hakuna maandamano, ukiingia barabarani ni vita yani utavunjwa miguu, mikono na hata kupata kilema cha maisha au hata kufa.

Na ndio maana tunahitaji walau mabadiliko, haiwezekani mtu kila unachoamuliwa lazima ukubali na ukihoji unapigwa, hii sio nzuri kwa kweli.

Nawaza tu siku nchi hii ikipata kiongozi ambae ni pandikizi wa nchi nyingine nahizi ndio utakuwa mwisho,
Wapambanaji wa kweli hawaogopi kuvunjwa miguu au kufa, wanaoogopa ni makamanda feki
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Unaleta uchochezi!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh yote haya ni kutaka kikombe cha chai ikulu. Ninamuomba awaalike kwa chai ya jioni hawa chadema, ili watulie
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Mimi kama mtumishi wa Mungu na mtoto wa mchugaji najitolea kuwawekea mikono waandamanaji wote watakojitokeza live barabarani bila ya kukusanya sadaka kama mtu akifa apitilize kwa Mungu moja kwa moja.
 
Wanaukumbi.

Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.

Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.

Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.

So Amani yetu na shughuli zetu ziachwe kwa kuwa mna ujasiri wa kumwaga damu. Ndugu yangu tulipo Ni patamu sana. Mambo ya kuiga somalia. Kenya na kwingineko Sio maendeleo. Kinachowafaa wao sio kinachotufaa Sisi. Watanzania tuna Shida gani ambayo Leo akiwa mbowe Rais ndo zitaisha. Amani ya Leo Ni Bora kuliko majaliwa ya kupata nyie vitambi kwa damu. Nenda Somalia.
 
Katiba haijazuiya popote ila nguvu kubwa inatumika kukandamiza hivyo mtandao hauzuiliki na ni zaidi ya hilo kongamano la mtaani nia nikupaza sauti dunia iskie ili Mimi na wewe kama watanzania tupige hatua,

Wewe Katiba haiwezi kuwa kwa ajili yako tu. Common Good ndo hufanya tafsiri ya katiba. Sio wewe kusoma kifungu kimoja na kuamua tu eti katiba Leo tunaandamana na kofia nyekundu na fulana nyekundu. What about us. The majority. Amani yetu. Ndo ujue Hapo Katiba inalindwa. Ujinga mtupu kuzani unaweza kunya hadharani kisa katiba inakupa uhuru.
 
Mchezo wa siasa bana 😂...

Na kumbuka mwanasiasa akikwambia toka nje kuna giza jiongeze mwenyewe...
 
So Amani yetu na shughuli zetu ziachwe kwa kuwa mna ujasiri wa kumwaga damu. Ndugu yangu tulipo Ni patamu sana. Mambo ya kuiga somalia. Kenya na kwingineko Sio maendeleo. Kinachowafaa wao sio kinachotufaa Sisi. Watanzania tuna Shida gani ambayo Leo akiwa mbowe Rais ndo zitaisha. Amani ya Leo Ni Bora kuliko majaliwa ya kupata nyie vitambi kwa damu. Nenda Somalia.
Daaah
 
Ni watanzania asilimia ngapi wanatumia mitandao?
Wananchi wa kweli wanaishi kwenye mitandao?

Chama kikubwa kama Chadema kijikite kufanya siasa kwenye Mitandao na sio kuwafikia wananchi Ni watanzania wangapi wanatumia smartphone?
 
Back
Top Bottom