nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Ngoma ya watoto haikeshiMsitoe matamko ambayo hamuwezi kuisimamia. Katika matamko ya Chadema walisema watafanya Kongamano la Katiba Mwanza polisi wakitaka wawaue wote au wawakamate wote na hawatoomba dhamana kuachiwa
Je, kongamano lilifanyika?