nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Ngoma ya watoto haikeshiMsitoe matamko ambayo hamuwezi kuisimamia. Katika matamko ya Chadema walisema watafanya Kongamano la Katiba Mwanza polisi wakitaka wawaue wote au wawakamate wote na hawatoomba dhamana kuachiwa
Je, kongamano lilifanyika?
Ha ha ha ha ha ni huzun saanaWanaukumbi.
Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.
Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.
Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Yaan mbowe Ni chadema na chadema Ni mbowe!Mwamba wao kahifadhiwa wote baridiii.
Hawathubutu hata kutoka nje ya Nyumba zao. Ila myika yuko smart huwaga hafanyi vurugu kabisa.
Mnyika alishastaafu siasa. Sasa hivi anasindikiza siku tu. Pesa zake zote 90M alizopewa kununua gari la Ubunge 2015 alinunua HISA DSE.Mwamba wao kahifadhiwa wote baridiii.
Hawathubutu hata kutoka nje ya Nyumba zao. Ila myika yuko smart huwaga hafanyi vurugu kabisa.
Hata Jasusi mlima Bamia Yericko Nyerere na Jasusi Kigogo hawajui mwenyekiti aliko 🤣🤣Mnyika bana eti hajui mwenyekiti yupo wapi,anatuma wanachama wakamtafute
Usanii wa kuchochoea wanananchi,mbinu ya kizamani sana hii
Ha ha ha ha ha!Hata Jasusi mlima Bamia Yericko Nyerere na Jasusi Kigogo hawajui mwenyekiti aliko [emoji1787][emoji1787]
Wapambanaji wa kweli hawaogopi kuvunjwa miguu au kufa, wanaoogopa ni makamanda fekiTanzania hii hakuna maandamano, ukiingia barabarani ni vita yani utavunjwa miguu, mikono na hata kupata kilema cha maisha au hata kufa.
Na ndio maana tunahitaji walau mabadiliko, haiwezekani mtu kila unachoamuliwa lazima ukubali na ukihoji unapigwa, hii sio nzuri kwa kweli.
Nawaza tu siku nchi hii ikipata kiongozi ambae ni pandikizi wa nchi nyingine nahizi ndio utakuwa mwisho,
Unaleta uchochezi!!!?Wanaukumbi.
Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.
Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.
Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Alichokisema ni ukweli kabisa, viongozi watoe uoga ndipo wafuasi nao watakuwa majasiri.Be careful for what you wish for ...
Waingie barabarani ili wewe na mke wako mkae ndani.. grow up.
Mimi kama mtumishi wa Mungu na mtoto wa mchugaji najitolea kuwawekea mikono waandamanaji wote watakojitokeza live barabarani bila ya kukusanya sadaka kama mtu akifa apitilize kwa Mungu moja kwa moja.Wanaukumbi.
Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.
Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.
Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Wanaukumbi.
Wafuasi wa Chadema popote pale walipo tuache kutoa matamko kwenye mitandao huku tumejificha mara makongamano ya online kila mmoja yupo chumbani kwake. Tuingie uwanja wa mapambano bila sisi wafuasi wa Chadema kufanya hivyo hamna wakutufanyia.
Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye vita wanataka raia wa kawaida tuandamane tupigwe risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.
Baada ya kuona raia hawana habari na Chadema huko kwenye mitandao silaha kubwa ni matusi hivi mlikuwa mnategemea nini kumtisha Amir Jeshi.
Katiba haijazuiya popote ila nguvu kubwa inatumika kukandamiza hivyo mtandao hauzuiliki na ni zaidi ya hilo kongamano la mtaani nia nikupaza sauti dunia iskie ili Mimi na wewe kama watanzania tupige hatua,
DaaahSo Amani yetu na shughuli zetu ziachwe kwa kuwa mna ujasiri wa kumwaga damu. Ndugu yangu tulipo Ni patamu sana. Mambo ya kuiga somalia. Kenya na kwingineko Sio maendeleo. Kinachowafaa wao sio kinachotufaa Sisi. Watanzania tuna Shida gani ambayo Leo akiwa mbowe Rais ndo zitaisha. Amani ya Leo Ni Bora kuliko majaliwa ya kupata nyie vitambi kwa damu. Nenda Somalia.
niko police central tangu usikuHuu ujumbe umfikie Erythrocyte popote alipo.
LEO KAJIFICHA HATAKI HATA KU COMMET MALAYA MKUBWA YULE BINTIHuu ujumbe umfikie Erythrocyte popote alipo.
muongo mkubwa wewe unafanya nini hapo kama umeshindwa kumtoa bwana wako mbowe huna uwezo huo kakojoe ulale kwako tuniko police central tangu usiku