Kama kweli tunahitaji kufanyia marekebisho Katiba Mpya, tuanze na tume Huru ya Uchaguzi na kupunguza madaraka ya Rais

Kama kweli tunahitaji kufanyia marekebisho Katiba Mpya, tuanze na tume Huru ya Uchaguzi na kupunguza madaraka ya Rais

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri.

Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote.

Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
umesema vema na tena ukweli wa mungu.

Hakika kama uyasemayo yakifanyika kama upendendekezavyo basi Tanzania itakuwa mbali saaana kimaendeleo kupita dernmark na Uafransa.

neno mchakato wa katiba lisitumike ila tukopi tuu katiba ya Israel, India,Brazil na Ukraine ili kuokoa fedha nyingi za kutafuta maoni.

kitendo cha kutafuta maoni kwa wananchi utakuta wengi wao hawajui kuwa katiba ndo ijengao Taifa imara ukijumulisha na utashi wa raisi.India ina katiba nzuri sana kupita nchi zote za Asia ,

Hivyo nani alibuni katiba yao nzuri? utakuta watu wachache tuu walioona mbele kimaslahi ya Taifa lao.

hata USA wao George washing ton na wapambe wake wachache alitunga katiba imara ilowapa usafu mwamba wa dunia mpaka leo.
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Usiturudishe nyuma tunataka KATIBAAA MPYAAAA
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Naamini hivyo 'vipengele' ulivyovitaja ndiyo mwiba mchungu kwa watawala wa CCM, na hili litakuwa gumu sana kwao kulitekeleza.
 
Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!

Maana Tanzania uchaguzi ni mfumo sio tume tu.Nguvu ya Rais na wateule wake, polisi, TISS, Jeshi, Tume, Tamisemi na wengineo lazima viangaliwe kwa pamoja kupitia katiba mpya kwa sababu vyote hivi huwa vinahusika na chaguzi zetu.

Hiki kinachoitwa ni Tume huru ya uchaguzi ni changa la macho kwa wajinga ambao ndiyo wengi kwenye hii nchi.

ACT wazalendo ambao ndiyo vinara wa kudai tume huru ya uchaguzi badala ya katiba mpya ni chama pandikizi cha CCM kwa ajili ya kuvuruga maslahi mapana ya demokrasia kwenye nchi hii kwa maslahi ya kuhakikisha kuwa CCM inaendelea kutawala.
16476927225580.jpg
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Kuanza na time huru ya uchaguzi ni maono ya wanaogombania madaraka sio malengo ya watanzania katiba isimame Kam katiba kwanz then vyama binafs na malengo yao yafate
 
Yanabana lakini yataachia.Katiba mpya ni lazima,huwezi kuzuia hitaji la wenye nchi yao🐒🐒🐒
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Katiba naona kama tunashawishiwa tu na wanasiasa.

Ziko nchi zina Katiba nzuri sana kwa macho lakini hazina amani, ustawi, maendeleo kutuzidi sisi wenye Katiba "mbovu".

Wanasiasa walio nje ya Serikali wanataka Katiba mpya ili waweze kuingia kwenye madaraka.

Wanasiasa walio ndani ya Serikali hawataki Katiba mpya kwa vile itawatoa madarakani.

Hapa wananchi wanatumiwa tu kama conduit ya kukidhi mahitaji ya wanasiasa wote walio ndani na walio nje.

Yasemekana matakwa ya Katiba mpya yalionekana tangu mwanzoni mwa 1990 kupitia tume mbalimbali kama ya Jaji Nyalali na ya Jaji Kisanga. Ni miaka 32 sasa tumeishi na Katiba "mbovu".

Ina maana toka tupate uhuru mwaka 1991 ilituchukua miaka 29 kujua kuwa tuna Katiba "mbovu". Lakini tumekaa miaka 32 na Katiba "mbovu" na maisha yanasonga.

Tutafakari sana tunachohitaji tunaweza kupata kitu cha ajabu tukaijutia tunayoiita Katiba "mbovu". Mkataa pazuri pabaya panamsubiri
 
Katiba naona kama tunashawishiwa tu na wanasiasa.

Ziko nchi zina Katiba nzuri sana kwa macho lakini hazina amani, ustawi, maendeleo kutuzidi sisi wenye Katiba "mbovu".

Wanasiasa walio nje ya Serikali wanataka Katiba mpya ili waweze kuingia kwenye madaraka.

Wanasiasa walio ndani ya Serikali hawataki Katiba mpya kwa vile itawatoa madarakani.

Hapa wananchi wanatumiwa tu kama conduit ya kukidhi mahitaji ya wanasiasa wote walio ndani na walio nje.

Yasemekana matakwa ya Katiba mpya yalionekana tangu mwanzoni mwa 1990 kupitia tume mbalimbali kama ya Jaji Nyalali na ya Jaji Kisanga. Ni miaka 32 sasa tumeishi na Katiba "mbovu".

Ina maana toka tupate uhuru mwaka 1991 ilituchukua miaka 29 kujua kuwa tuna Katiba "mbovu". Lakini tumekaa miaka 32 na Katiba "mbovu" na maisha yanasonga.

Tutafakari sana tunachohitaji tunaweza kupata kitu cha ajabu tukaijutia tunayoiita Katiba "mbovu". Mkataa pazuri pabaya panamsubiri
Zitaje nchi zilizo na katiba nzuri na bado hazina amani!
 
Katiba ni zao la Maridhiano ya Makundi yote kwny Jamii.na ili kuyafikia Maridhiano hayo lazima kanuni ya GIVE & TAKE itumike..

UKAWA, CCM na sisi wengne tujifunze kanuni ya kuachia na kutoa..

nashauri mara nyngne UKAWA wasipoteze muda kung'ang'ania trivial issues kama kura ya siri/wazi au idadi ya serikali za Tanzania..

let it go, lakn na wao wakupe yako..ni jambo la kufanya clever bargaining tu.
 
Rais Samia asisitiza - " Uongozi wa kufoka hautakiwi, watu wafanye kazi kwa utashi wa sheria siyo kwa kufuata unavyofokewa"



Leo tarehe 21 March 2022, RAIS Samia Hassan ampa makavu IGP Simon Sirro "Ukisema, mtu anasema hauviamini vyombo vyetu, Hawafanyi vizuri"...PCCB pia kuna tatizo....

Tusifanye wajibu wetu wa kazi kwa nidhamu woga, kufokewa badala ya kwa uadilifu toka mioyoni mwetu. Pengine elimu ya uraia isomeshwe vizuri, ingie mioyoni mwetu na kufanya kazi siyo kwa kufuata kufokewa bali kwa uadilifu wa kufuata sheria, kanuni, miiko ...
 
Rais Samia Hassan - " Katiba Ifanyiwe Maboresho"




Leo tarehe 21 March 2022, RAIS SAMIA AJIBU KUHUSU KATIBA MPYA, "Pengine kutakuwa na haja sio kuandika mpya KUREKEBISHA BAADHI"
 
Baadhi ya maneno ya kuangaliwa ni kupunguza madaraka ya rais juu ya teuzi hasa za mawaziri. Ili kujenga taifa la kiwajibikaji lazima mawaziri wawe na mkataba wa ajira na wakivurunda wanatimuliwa.

Tume ya uchaguzi iwe huru na matokeo ya Urais yaweze kupingwa mahakamani.

Mahakama ziwe huru na watu wawe na uhuru wa kudai haki zao bila kuwa na kikwazo cha aina yu yoyote. Majaji wawe wanaomba kazi kama waajiriwa wengine.

"Katiba ni jambo la muda mrefu, katika kipindi cha kati tukayafanyie maboresho yote tuliyoyasema, halafu huko mbeleni tuone kuna haja ya kurekebisha katiba yetu, pengine kutakuwa na haja tu ya kurekebisha baadhi ya maeneo na si kuandika katiba mpya" Mhe. Rais
Tume ya uchaguzi na madaraka ya Urais viko kwenye katiba, hakuna marekebisho yoyote makubwa yanaweza kufanyika hapo bila kuigusa katiba.
 
Back
Top Bottom