Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Actually, hata TFF ni chombo huru..kwa maana kwamba haiwajibiki wala haiingiliwi na Mamlaka za Ndani..kuanzia chaguzi zake na uendeshaji....My Tip;
Hakuna YEYOTE anayeishi juu ya ardhi ya Tanzania yupo huru mbele ya RAIS..
Hayupo na hatakuwepo.iwe kwa katiba hii au yeyote ijayo.
Hakuna YEYOTE anayeishi juu ya ardhi ya Tanzania yupo huru mbele ya RAIS..
Hayupo na hatakuwepo.iwe kwa katiba hii au yeyote ijayo.