Hata Nduli Idd Amin Dadaa, aliijenga Uganda!Shida nini mkuu siku hizi reasoning yako ina plummet? Ni sawa na kusema kwakuwa Nyerere alipinga wakoloni basi akavunje Reli ya kati, akavunje UDSM, akavunje bandari n.k? Ubaya wa JPM ni leadership style sio barabara.
Kwani Mandela kipindi anakataa makaburu hawakuwa wamejenga barabara nchi nzima? Very poor reasoning.
JPM anapingwa kwa udikteta wake kama ambavyo Hitler licha ya maendeleo makubwa aliyowaachia ujerumani, anakumbukwa kwa udikteta wake.
We akili huna,vile viru si vya maghu,ni pesa yetu, kwanza kilichojengwa, sio, tulicholipia, pesa nyingi imetumika, plan ilikuwa overhead way, sio, lile daraja mgongo,halitembei hata km 10!,
Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
View attachment 3019558
Mtu bogus kama nduli kipi amejengaHata Nduli Idd Amin Dadaa, aliijenga Uganda!
Chura ndio nani tena?Mfano yule chura nimuheshimu kwa lipi hasa? Labda kwa kunipita umri, ana kera sana.
SIYO ZAKE .LAKINI ANGEAMUA KUZIFISADI DARAJA LINGEJENGWA?Kwani Magufuli alijenga kwa pesa zake?
KUSEMA UJAJIFANYA KAMA CHURA NAFIKIRI HAIKUWA SAHIHI .MAANA WATU WANAWEZA KUKUITA KWA JINA HILO😀😀Chura ndio nani tena?