Kama kweli unamchukia Hayati Magufuli fanya haya utuachie tunaompenda

Hata Nduli Idd Amin Dadaa, aliijenga Uganda!
 
We akili huna,vile viru si vya maghu,ni pesa yetu, kwanza kilichojengwa, sio, tulicholipia, pesa nyingi imetumika, plan ilikuwa overhead way, sio, lile daraja mgongo,halitembei hata km 10!,
Fika Nairobi uone maana ya flyover, kitu inatembea km 30 juu kwa juu, sio huu upuuzi,
Umuite fundi akuwekee madirisha ya aluminium, umlipe pesa yake ya ufundi(salary), nyumba iwe nzuri, kila kitu umegharamia wewe! Harafu majirani wasifie fundi kwa uzuri wa, nyumba sio wewe uliyetoa pesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…