Nawe kama unampenda kazikwe naye kule Kanda pendwa tuache tusiompenda tuendelee kuishi.Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
Yeye mwenyewe Magufuli alikuwa na PhD Feki na baada ya Ben Saanane kumhoji akapotezwa. Njoo na hoja nyingineUmeandika upumbuvu tupu kama wewe ulivyo?
Ni lini umkubali mtu aliyekutoa ofisini kwa vyeti feki?
Weka evidence ya unachokisema kama hun evidence were ni sawasawa na mtu mropokaji tu.Magufuli hakupenda wanasiasa uchwara mfano waangalie wapinzani hawana faida yoyote ya kuitoa CCM madarakani.Jiwe ndiyo mtu wa hovyo kuliko wote waliowahi kupewa madaraka ya urais nchi hii:-
1. Alikuwa mporaji, mtekaji, muuaji na mpiga watu risasi.
2. Aliunda kundi la watu wasiojulikana lililokuwa linaua na kuteka watu.
3. Alikuwa muuaji wa uchumi wa nchi kwani alikuwa anapigana kufa kupona ili kuua sekta binafsi
4. Hivyo vidaraja unavyoviita flyover ni ushubwada tu ukilinganisha na mauaji ya watu
5. Alikuwa hapendi demokrasia. Alizima internet siku ya uchaguzi, aliwachukia wapinzani na upinzani na akawafukuza nchini wapinzani. Mshenzi sana yule.
Usinichoshe yanatosha kwa sasa
Tukiwa wakweli hii ni kazi ya upinzani hasa bunge la 9 chini ya Samuel sitta ndio wapinzani na wabunge wazalendo waliwafungua sana wananchi kuhusu madudu serikalini. Nadhani unakumbuka masakata ya Dowans, Kagoda, Deep green, Gesi mtwara, Richmond, Tegeta Escrow n.k. so tuseme by the time JPM anachukua urais tayari elimu ya uraia ilikua juu sana.nafikiri kwenye awamu yake watu wengi ndio walianza kufuatilia kwa ukaribu nini kinaendelea kwenye rasilimali zetu, huko nyuma ni kama vile wabongo walikuwa wameshaisusa nchi yao na hawataki hata kujua ni nini kinaendelea
Typical JPM follower, unashindwa kusoma unabaki kujibu kwa hisia.Akili hii ni ndogo kabisa!
Unaweza kutuambia udikiteta wa Hitila hapa na mapana yake, halafu ukatwambia udikiteta wa Magufuli unahistoria na kukubalika hivi katika nchi ngapi duniani?
Inapotajwa orodha ya madikiteta Duniani, Magufuli yupo au chuki za kijinga tu?
Udikiteta unaozuia maliasili za nchi kuibiwa, huo ni udikiteta mzuri na unafaa sana
Udikiteta unaowaondoa kazini wajinga na waliokuwa wakifanya operations za kichwa badala ya mguu huo ni udikitea bora sana
Magufuli ndiyo kasimamia yote hayo tangu akiwa waziriWewe ni mpumbavu tu. Barabara ya hapo Ubungo ipo toka wakati wa Mkoloni Mjerumani. Mwingereza kafanya maboresho kidogo na hatimaye naye Nyerere alifanya ya kwake kwa kuweka njia 2 kutokea Ubungo kwenda Buguruni kadri ya mahitaji ya wakati ule.
Mkapa naye akaja akaweweka njia 2 kutoka Manzese kwenda Kimara.
Nyie mliozaliwa 1990 na mlipopata akili mkamkuta Rais ni JK halafu mkabalehe kipindi cha Magufuli ndiyo mnaona kujenga barabara ya juu ni kitu kikubwa sana kuliko yaliyofanywa na akina Nyerere??
Kumtukuza muuaji Magufuli kwa vile ameejenga daraja la Ubungo ni UDWANZI
Weka evidence ya unachokisema kama hun evidence were ni sawasawa na mtu mropokaji tu.Magufuli hakupenda wanasiasa uchwara mfano waangalie wapinzani hawana faida yoyote ya kuitoa CCM madarakani.
Wanasiasa uchwara? Mbona alikumbatia mafisadi yaliyotajwa na ripoti ya makinikia? Vipi ripoti ya Bashiru kuhusu majizi wa mali za CCM kuna aliyekamatwa hadi leo?Weka evidence ya unachokisema kama hun evidence were ni sawasawa na mtu mropokaji tu.Magufuli hakupenda wanasiasa uchwara mfano waangalie wapinzani hawana faida yoyote ya kuitoa CCM madarakani.
Usitufokee JF! Magufuli ni mtu moja kati ya wananchi milioni 60 plus nchi hii. Tusichoshane.Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
Na Magufuli alivyokuwa Rais hapakiwa na mawaziri?Magufuli ndiyo kasimamia yote hayo tangu akiwa waziri
Ameonesha matumizi mazuri ya hela ya watanzania vitu vilification vinajengwa wakati sasa hivi watu wanapiha hela ovyovyoKama alitoa hela yake mfukoni sawa
Hela zetu dogo na bado halikujengwa flyovet tuliyotaka , ameiba hela yetu kaenda kujenga bridge tuUsipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
Ndiyo aliwasimamia vizuri na hela zilitumika vizuri kufanya kazi.angalia sasa hivi kila waziri ni wapigaji na miradi zinadoda na watu wanapiga hela ovyoovyo alafu mnacheka tu.Magufuli alikuwa msimamizi mzuri sanaNa Magufuli alivyokuwa Rais hapakiwa na mawaziri?
Hizi ni akili za wapi?
Kwahiyo Magufuli alipokuwa waziri hakusimamiwa?Ndiyo aliwasimamia vizuri na hela zilitumika vizuri kufanya kazi.angalia sasa hivi kila waziri ni wapigaji na miradi zinadoda na watu wanapiga hela ovyoovyo alafu mnacheka tu.Magufuli alikuwa msimamizi mzuri sana
Aisee 😯 alikuwa Rais wa DarUsipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
Wajinga kama nyie na wenye vyeti feki na mafisadi lazima muone hivyo mkiambiwa wekeni evidence ya hela iliyoibiwa hamuwezi.aliwabana sana mafisadi na wapenda Magendo ndo maana mambo yalikuwa yanaenda.Hela zetu dogo na bado halikujengwa flyovet tuliyotaka , ameiba hela yetu kaenda kujenga bridge tu
Mwendazake alikuwa mwizi na sheitwan mkubwa
Hiyo miundombinu sio mali ya magufuli. Imejengwa na kodi za watanzania. Yeye kuwa rais haifanyi hizo ziwe mali yake, halihalalishi ukatili uliotendeka yeye akiwa kiranja mkuu na akafumbia macho, na wala sio kigezo cha kupendwa. Kumbuka akiwa kwenye hiyo ajira ya urais tulimlipa mshahara, na hakuna chochote alichofanya kinaweza kuwa hisani. Yeye mwenyewe hakuwa na upendo. Pia tofautisha kati ya kutukana na kuelezea tabia/ubinadamu wa magufuli.Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
Unawaza kwa kutumia shingo.Kila anayempinga Joni tu akili zako zimeegemea kwamba alitolewa ofisini?Huko ni kumiliki uwezo mdogo wa kufikiri na kuishia kubuni na kuhisihisi vitu.Umeandika upumbuvu tupu kama wewe ulivyo?
Ni lini umkubali mtu aliyekutoa ofisini kwa vyeti feki?
Binafisi huwa naamini ni heri ufanye jambo hata kama hautalifanya kwa usahihi kuliko kutokulifanya kabisa...kikubwa na cha muhimu uwe umeonesha nia ya dhati kabisa kwenye jambo hilo.namnukuu rais wa awamu ya pili alikubali mapigo mwenyewe akasema wewe ni kichwa wote tulishindwa lakini wewe umeweza kwa muda mfupi sana bip up sana JPM utabaki mioyoni mwa watanganyika kwa muda wote hakuna kama JPM.
Ukitaka kuulizia kama yeye na maswahiba wake waliiba au la, kamuulize ex-CAG professor Assad. Usiulizie evidence jamii forum.Wajinga kama nyie na wenye vyeti feki na mafisadi lazima muone hivyo mkiambiwa wekeni evidence ya hela iliyoibiwa hamuwezi.aliwabana sana mafisadi na wapenda Magendo ndo maana mambo yalikuwa yanaenda.