Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Nawe ni mmoja wa watu walioshikishwa ukuta..? Ushakalia dyudu umelipwa elfu5 ya bando uje kuandika upuuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani alijenga kwa hela yake??? Ilitumika ni kodi yetu, Ala! Wewe vipi?? usitupangie!! Kaanike mahindi huko kwenye uwanja wa ndege Chato!!!
Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
View attachment 3019558
hizo Kodi zilianza kukusanywa na MAGU zilikuwapo siku zote.Kwani Magufuli alijenga kwa pesa zake?
Mkuu wengi wao akina nani??? Wataje kwa ushahidi ulioona wakinenepesha matumbo yao kwa mshahara wako?!!!Alijenga kwa pesa zetu!
Kwa Tanzania Rais/kiongozi akitumia pesa zetu kwenye maendeleo hiyo ni big step ni bahati kubwa sana
kwasababu wengi wao wanatumia pesa zetu kunenepesha matumbo yao tu!
🙋♂️✍️📝👍👌👏👊🤝🙏🔊🎁🛡️Magufuli ndio alijenga kwa pesa zake ??
Yaani kijana mdogo na msomi umeamua kuwa Lumumba buku 7??
NAME UBUNGO INTERCHANGE LENGTH (km) SIGNING DATE 22/02/2017 CONTRACT SUM (Bil) 177.42 CONTRACTOR CCECC CONSULTANT DASAN FINANCIER WORLD BANK STAGE Design
Yaani achilia mbali Magufuli mnayemsifia hata sio watanzania waliojenga!
![]()
Infrastructure: Construction of Ubungo Interchange complete by 25 per cent
Construction of the Ubungo Interchange has reached 25 per cent of construction and is expected to be completed by December 2020, the Parliamentary Public Accounts Committee was told today by...www.thecitizen.co.tz
🙋♂️✍️📝👍👌👏👊🤝🙏🎁🛡️Shida nini mkuu siku hizi reasoning yako ina plummet? Ni sawa na kusema kwakuwa Nyerere alipinga wakoloni basi akavunje Reli ya kati, akavunje UDSM, akavunje bandari n.k? Ubaya wa JPM ni leadership style sio barabara.
Kwani Mandela kipindi anakataa makaburu hawakuwa wamejenga barabara nchi nzima? Very poor reasoning.
JPM anapingwa kwa udikteta wake kama ambavyo Hitler licha ya maendeleo makubwa aliyowaachia ujerumani, anakumbukwa kwa udikteta wake.
🤣 🤣 🤣Wajinga ni wengi sanaView attachment 3019467
Mkuu si ungesoma hiyo document hapo kabla ya kuhoroja hapa!!! Kwani hapo world bank hela yake ni ya sadaka!!!Kuwa kiongozi imara mwenye mawazo chanya kwa taifa lako hilo ni jambo kubwa sana. Magufuli hapo ndio alikonga nyoyo za Watanzania wengi, na wengi wameona thamani yake baada ya kuondoka, na asilimia kubwa huwa iko hivyo.
Fedha alizo tumia ni za Watanzania kwa ujumla tena nilimsikia akisema fedha zote za mradi huo zimetoka kwa watanzania bila ya kukopa ata shilingi mia moja. Kwahiyo unaona kabisa alisimamia vizuri kuweza kuleta mambo chanya kwenye taifa letu.
🙋♂️✍️📝👍👌👏👊🤝🙏🎁🛡️Jiwe ndiyo mtu wa hovyo kuliko wote waliowahi kupewa madaraka ya urais nchi hii:-
1. Alikuwa mporaji, mtekaji, muuaji na mpiga watu risasi.
2. Aliunda kundi la watu wasiojulikana lililokuwa linaua na kuteka watu.
3. Alikuwa muuaji wa uchumi wa nchi kwani alikuwa anapigana kufa kupona ili kuua sekta binafsi
4. Hivyo vidaraja unavyoviita flyover ni ushubwada tu ukilinganisha na mauaji ya watu
5. Alikuwa hapendi demokrasia. Alizima internet siku ya uchaguzi, aliwachukia wapinzani na upinzani na akawafukuza nchini wapinzani. Mshenzi sana yule.
Usinichoshe yanatosha kwa sasa
Mkuu kama kweli alikuwa na anawapenda masikini hela ya vitambulisho vya machinga masikini wa Mungu alikula ya nini??? Jizi tu lilikuwa!!! Fisadi la kizilankende!!!"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Binafsi nilikosa raha kabisa ila nilikua kwenye haki maana baada ya kifo chake sijawahi kuguswa na serikali isipokua kwenye kunitia hasara tuMagufuli nilimpenda sana, ilivyotangazwa amefariki nilishindwa kula na kulala
🤔🤔🤔Kuwa kiongozi imara mwenye mawazo chanya kwa taifa lako hilo ni jambo kubwa sana. Magufuli hapo ndio alikonga nyoyo za Watanzania wengi, na wengi wameona thamani yake baada ya kuondoka, na asilimia kubwa huwa iko hivyo.
Fedha alizo tumia ni za Watanzania kwa ujumla tena nilimsikia akisema fedha zote za mradi huo zimetoka kwa watanzania bila ya kukopa ata shilingi mia moja. Kwahiyo unaona kabisa alisimamia vizuri kuweza kuleta mambo chanya kwenye taifa letu.
🙋♂️✍️📝👍👌👏👊🤝🙏🎁🛡️Kwahiyo kipindi tunamkejeli kuwa JK alikua fisadi je hakuwa amejenga barabara nchi nzima, hakuwa amejenga terminal 3? Hakuwa ameleta umeme wa gesi au hakuwa amesambaza maji ya ziwa Victoria? Hakuwa amejenga UDOM na mloganzila?
Ubaya wa uongozi hauna uhusiano na miundombinu uliyojenga. Leadership is software rather than hardware
Eti to yeye, kweli Mkuu! Atupangie kwa hela yetu!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👊
👏👏👏🛡️Watu kama nyie ndio matatizo ya hili Taifa..., Hakuna Mradi wa JPM wala Samia kwahio yoyote aliyefanya vitu kwa Kodi zetu ni kwamba aliwajibika wala hakuna sababu ya kumsifia na anayelaumu analaumu kwa mapungufu aliyofanya sababu ni haki yake kama mlipa Kodi....
Kwahio muda wa kusifia tungekuwa tunautumia kulaumu wasiofanya huenda wangefanya..., By the way sikubaliani na wanaopambana na marehemu wakati kinachoendelea sasa kinawapita....
Uko kama Mimi tuMagufuli nilimpenda sana, ilivyotangazwa amefariki nilishindwa kula na kulala
🙋♂️✍️📝👍👌👊🤝👏🙏🎁🛡️Aliyejenga mlima Kilimanjaro, aliyechimba bahari ya Hindi, aliyechimba ziwa Victoria, nyasa na Tanganyika, na kuyakabidhi Kwa wanadamu wa TANGANYIKA, awekwe kundi gani? Acha kusujudia binaadamu, Magufuli hana tofauti yeyote Ile nawewe.
🙋♂️✍️📝👍👌👊🤝👏🙏🎁🛡️Aliyejenga mlima Kilimanjaro, aliyechimba bahari ya Hindi, aliyechimba ziwa Victoria, nyasa na Tanganyika, na kuyakabidhi Kwa wanadamu wa TANGANYIKA, awekwe kundi gani? Acha kusujudia binaadamu, Magufuli hana tofauti yeyote Ile nawewe.
Mkuu safi sana!!!Nipo nafanya jogging Kijazi Interchange juu kabisa
Alijenga kwa fedha zake? Acha kulazimisha mambo kama unampenda shauri Yako mfuate
Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.
View attachment 3019558