Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
Mkuu pole sana, shida ulikuwa unafurahia maumivu ya wengine, ikawa zamu yako kuonja machungu yao!!! Mtafute ndugai mnaweza kufarijiana!!Nililia muda wote tangu alipotangazwa amefariki mpaka kuzikwa kwake, na hata leo ninaporudia kuangalia matukio ya msiba wake, wale wajeda na kina mama, wazee kwa vijana walivyokuwa wakishindwa kujizuia, huwa inanitoa machozi
Nilimkubali sana yule mzee, na hakika yangu, haijatokea kiongozi niliyewahi kumkubali na sijui kama atatokea tena kama yule mzee
Ila Mungu ni mwema, asikie kilio cha wote wanaonyanyasika na mabwanyeye ya CCM
Na sasa Somo limeeleweka, hakosei mtu hapa!!! Mwendo ni huu wa kizimkazi!!