Kama kweli unamchukia Hayati Magufuli fanya haya utuachie tunaompenda

Mkuu kwani alijenga kwa hela yake??? Ilitumika ni kodi yetu, Ala! Wewe vipi?? usitupangie!! Kaanike mahindi huko kwenye uwanja wa ndege Chato!!!

Usilolijua ni kuwa watanzania wengi hawakumchukia yeye binafsi isipokuwa matendo yake ya kikatili Mkuu!!!

Wewe ndiye unayeleta mahaba mbuzi hapa!! Unafiki mtupu!!! Kama vipi kazikwe naye in zito's words!!!
 
Alijenga kwa pesa zetu!
Kwa Tanzania Rais/kiongozi akitumia pesa zetu kwenye maendeleo hiyo ni big step ni bahati kubwa sana
kwasababu wengi wao wanatumia pesa zetu kunenepesha matumbo yao tu!
Mkuu wengi wao akina nani??? Wataje kwa ushahidi ulioona wakinenepesha matumbo yao kwa mshahara wako?!!!

Unapanua mdomo hapa kama kiboko apigaye miayo asubuhi!!!

Kwani Magufuli alikuta nchi hii pori na machaka!! Kwenda huko na unafiki wako!!
 
Leo mtasema yote mnatuletea unafiki hapa. Sijawai kupewa pesa na mtu wala rushwa.
Linapokuja swala la kuusema ukweli lazima tuseme.
Kama humpendi kwanini unapita kwenye daraja alilosimamia huoni kama unaumiza moyo wako.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸ”ŠπŸŽπŸ›‘οΈ
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
 
Mkuu si ungesoma hiyo document hapo kabla ya kuhoroja hapa!!! Kwani hapo world bank hela yake ni ya sadaka!!!
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
 
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Mkuu kama kweli alikuwa na anawapenda masikini hela ya vitambulisho vya machinga masikini wa Mungu alikula ya nini??? Jizi tu lilikuwa!!! Fisadi la kizilankende!!!
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ›‘οΈ
 
Aliyejenga mlima Kilimanjaro, aliyechimba bahari ya Hindi, aliyechimba ziwa Victoria, nyasa na Tanganyika, na kuyakabidhi Kwa wanadamu wa TANGANYIKA, awekwe kundi gani? Acha kusujudia binaadamu, Magufuli hana tofauti yeyote Ile nawewe.
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
 
Aliyejenga mlima Kilimanjaro, aliyechimba bahari ya Hindi, aliyechimba ziwa Victoria, nyasa na Tanganyika, na kuyakabidhi Kwa wanadamu wa TANGANYIKA, awekwe kundi gani? Acha kusujudia binaadamu, Magufuli hana tofauti yeyote Ile nawewe.
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
Nipo nafanya jogging Kijazi Interchange juu kabisa
Mkuu safi sana!!!
 
Alijenga kwa fedha zake? Acha kulazimisha mambo kama unampenda shauri Yako mfuate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…