Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
ChaiNawasalimu Salam ya wakati huu.
Kiukweli kabisa Mimi hili suala mpaka kesho sijawahi kulielewa,
Kama tunaambiwa kwamba dhambi zetu yesu alizimaliza msalabani sasa kwanini watu wanalia na kusaga meno kila siku wasamehewe dhambi zao?
Je, kuna makundi ya dhambi zilizosamehewa na ambazo bado ama?
Na kwanini kwenye kutubu lazima waanze kusema nisamehe Mimi mwenye dhambi?
Mwenye kunielewesha karibu sana.
Yesu hakuwahi kuteseka kwa dhambi ya mtu yeyote.