Kama leo kuwa bahati tu, nikakutana na Samia na akanipa nafasi nimpe sababu zangu kwanini aruhusu kupatikana Katiba Mpya, sababu zangu ni hizi

Kama leo kuwa bahati tu, nikakutana na Samia na akanipa nafasi nimpe sababu zangu kwanini aruhusu kupatikana Katiba Mpya, sababu zangu ni hizi

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Sababu mama ni kuwa Katiba mpya ndio Tiba ya matatizo yote ya Tz,kama ilivyoelezwa kwenye rasimu ya Jaji Warioba na mama alikua Mwenyekiti wa Bunge la katiba anajua zaidi yangu faida za katiba mpya.

Ila tatizo lililopo ni CCM kutaka kuendelea kutawala hata kama hawana ridhaa za wananchi, na makada wa CCM wenye ndoto mbalimbali za kugombea nafasi mbalimbali za uongoz wa taifa hili.

CCM na hao makada hawako tayari kwa Katiba mpya kwa sababu za kibinadamu tu,na wala sio kwa maslahi ya Taifa. Hivyo kwa muktadha huo wako tayari kufanya lolote,narudia tena kufanya lolote Ili kukwamisha mpango wa kuleta katiba mpya. Na wako tayari kumfanya mtu yoyote kitu chochote Ili kumzuia asilete katiba mpya. Kwa hali hiyo suala la katiba mpya ni kaa la moto kwa kiongozi yoyote atakae onesha kusudio la kuileta.

Sasa sababu zangu kwa nini asiogope kuruhusu katiba mpya:

Kwa sasa hivi kuna watu ndani ya chama chake wanamawazo mabaya na yeye,wanamfikiria vibaya na inawezekana wakawa wanapanga njama ovu dhidi yake.

Wapo walioanzisha shule ya uongozi na wapo wanaolaumu kukopa,wakati miezi kadhaa tu aliekuwepo alikua anakopa.wapo wengi wa hivi.

Sasa kwa Katiba hii mbovu wakifanikiwa kufanya yao,tutaweza kurudi kulekukue kwa one man show. Na kwa kutumia katiba hii hii mbovu Mama wanaweza kumuweka pabaya.

Kwa sababu tu alikwenda kinyume na baadhi ya mambo ya Bwana yule au genge lake. Hivyo basi Ili kupata Kinga ya hayo,katiba mpya ndio itakua Kinga yake.

Katiba mpya inahitajika na kutamaniwa na vyombo vote vya Ulinzi na Usalama,yaani Jw,polisi,Usalama,magereza nk. Inawafanya wafanye Kazi zao kwa weledi bila kuingiliwa au kutumwa au kushinikizwa na makada. Ikumbukwe hivi vyombo vina wataalamu waliojifunza mambo ya Ulinzi na Usalama na kubobea. Hivyo wanapolazimishwa kutenda mambo fulani kinyume na taaluma zao na wanasiasa au makada inawakera sana.

Katiba inahitajika na Majaji,mahakimu na wanasheria,
Hawa huwa hawapendi kuelekezwa kufanya mambo kinyume na Sheria,

Wanahabari wanaihitaji katiba mpya,Hawa wakikuandika kwa kukulinda utalindwa,
Utawekwa kwenye kumbukumbu kama shujaa wa Taifa.

Katiba mpya inahitajika na wananchi wengi kwa mamilioni wa kila fani,hivyo mama akiruhusu atakua amechagua kuwa upande wa watu wengi,nao watampa Kinga ya hali ya juu mno, nguvu ya uma,maombi na heshima.hakuna mtu atamgusa.

Ukipigania haki utaungwa mkono ndani na nje.
Hapa mama atapata heshima inayoambatana na Ulinzi kutoka ndani na hata Jumuiya ya kimataifa.hakuna atakae jaribu kumfanya kitu.

Viongozi wa dini.
Hapa atakua ana uhakika wa Kinga ya maombi.

Wazee wastaafu watambariki na kumpa heshima. Alieruhusu katiba mpya alikua Kikwete,alieweka mizengwe alikua Mkapa.
Mkapa alikuja kuona umuhimu wa katiba mpya baadae,akatamani angalau tu kwanza waanze kurekebisha Tume ya Uchaguzi lakini ndoto zake zikazimwa na kifo.

Kikwete hana tatizo na katiba,Mzee Ruksa hana tatizo,Jaji Warioba ,Butiku na wazee wengine hawana tatizo na katiba,hivyo Mama atapata Kinga itokanayo na baraka za wazee. Hakuna atakae mfanya kitu.

Mama atakumbukwa kwa miaka nenda miaka rudi,na atatajwa kwa heshima na upendo kuwa aliruhusu jambo ambalo ilikua linaliliwa na makundi ya watu.

Katiba sio hitajio la chadema Katiba ni hitajio la Taifa,ni hitajio la, wakulima, wafanyakazi, dini, vijana, wanawake, wataalamu, wanajeshi, wanausalama, mapolisi, wabunge, madiwani na kila aina ya kada.

Akiruhusu katiba mpya atakua Rais wa pili Tanzania kuheshimika baada ya Nyerere,hivyo atakua ameweka legasi isiyo ya kutafuta.atakumbukwa kama mtu alieleta faraja kwa watanzania.

Mambo ni mengi jamani mama ajilipue tu,aongee kwanza na Mkuu wa Jw,Mkuu Wa TIss na Mkuu wa polisi,awaambie kusudio lake la kujilipua,wampe Ulinzi dhidi ya mahafidhina wa CCm Kisha apulize kipenga.
Baada ya hapo hata akitembea njiani bila mlinzi sisi Raia tutamlinda kila aendapo.
 
Anajua sn sababu za katiba mpya na umuhimu wake, tatizo katiba mpya itaitoa CCM madarakani na wao hicho ndiyo hawakitaki
 
Anajua sn sababu za katiba mpya na umuhimu wake, tatizo katiba mpya itaitoa CCM madarakani na wao hicho ndiyo hawakitaki
Sawa Mkuu Bahati,sasa akiwaogopa ccm inabidi awe very smart kucheza karata zake,akikosea tu wakimtoa watatumia katiba hiihii Ili kumshughulikia.

Kuna watu wanamtazamo kuwa ni mwanamke,kuna watu wanamwona anakwenda kinyume na godfather wao, Kuna watu wanamwona kama Mzenj.

Wengine wameanzisha hata shule ya kujifunza uongozi,maana yake wanamwona kama hajui kuongoza. Hebu fikiria hivi CCm ya leo kuna watu wanaona Sabaya kaonewa.

Au Mbowe afungwe kwa sababu Sabaya kafungwa.hawa wako ndani ya CCm wanaona mama ndio kamfunga sabaya
 
Sawa Mkuu Bahati,sasa akiwaogopa ccm inabidi awe very smart kucheza karata zake,akikosea tu wakimtoa watatumia katiba hiihii Ili kumshughulikia.
Kuna watu wanamtazamo kuwa ni mwanamke,kuna watu wanamwona anakwenda kinyume na godfather wao...
CCM kumejaa takataka tupu
 
Anajua sn sababu za katiba mpya na umuhimu wake, tatizo katiba mpya itaitoa CCM madarakani na wao hicho ndiyo hawakitaki
Ingekuwa hivyo unavyodhani basi J k hasingeruhusu mchakato huo.
 
Sababu mama ni kuwa Katiba mpya ndio Tiba ya matatizo yote ya Tz,kama ilivyoelezwa kwenye rasimu ya Jaji Warioba na mama alikua Mwenyekiti wa Bunge la katiba anajua zaidi yangu faida za katiba mpya.

Ila tatizo lililopo ni CCM kutaka kuendelea kutawala hata kama hawana ridhaa za wananchi, na makada wa CCM wenye ndoto mbalimbali za kugombea nafasi mbalimbali za uongoz wa taifa hili.

CCM na hao makada hawako tayari kwa Katiba mpya kwa sababu za kibinadamu tu,na wala sio kwa maslahi ya Taifa. Hivyo kwa muktadha huo wako tayari kufanya lolote,narudia tena kufanya lolote Ili kukwamisha mpango wa kuleta katiba mpya. Na wako tayari kumfanya mtu yoyote kitu chochote Ili kumzuia asilete katiba mpya. Kwa hali hiyo suala la katiba mpya ni kaa la moto kwa kiongozi yoyote atakae onesha kusudio la kuileta.

Sasa sababu zangu kwa nini asiogope kuruhusu katiba mpya:

Kwa sasa hivi kuna watu ndani ya chama chake wanamawazo mabaya na yeye,wanamfikiria vibaya na inawezekana wakawa wanapanga njama ovu dhidi yake.

Wapo walioanzisha shule ya uongozi na wapo wanaolaumu kukopa,wakati miezi kadhaa tu aliekuwepo alikua anakopa.wapo wengi wa hivi.

Sasa kwa Katiba hii mbovu wakifanikiwa kufanya yao,tutaweza kurudi kulekukue kwa one man show. Na kwa kutumia katiba hii hii mbovu Mama wanaweza kumuweka pabaya.

Kwa sababu tu alikwenda kinyume na baadhi ya mambo ya Bwana yule au genge lake. Hivyo basi Ili kupata Kinga ya hayo,katiba mpya ndio itakua Kinga yake.

Katiba mpya inahitajika na kutamaniwa na vyombo vote vya Ulinzi na Usalama,yaani Jw,polisi,Usalama,magereza nk. Inawafanya wafanye Kazi zao kwa weledi bila kuingiliwa au kutumwa au kushinikizwa na makada. Ikumbukwe hivi vyombo vina wataalamu waliojifunza mambo ya Ulinzi na Usalama na kubobea. Hivyo wanapolazimishwa kutenda mambo fulani kinyume na taaluma zao na wanasiasa au makada inawakera sana.

Katiba inahitajika na Majaji,mahakimu na wanasheria,
Hawa huwa hawapendi kuelekezwa kufanya mambo kinyume na Sheria,

Wanahabari wanaihitaji katiba mpya,Hawa wakikuandika kwa kukulinda utalindwa,
Utawekwa kwenye kumbukumbu kama shujaa wa Taifa.

Katiba mpya inahitajika na wananchi wengi kwa mamilioni wa kila fani,hivyo mama akiruhusu atakua amechagua kuwa upande wa watu wengi,nao watampa Kinga ya hali ya juu mno, nguvu ya uma,maombi na heshima.hakuna mtu atamgusa.

Ukipigania haki utaungwa mkono ndani na nje.
Hapa mama atapata heshima inayoambatana na Ulinzi kutoka ndani na hata Jumuiya ya kimataifa.hakuna atakae jaribu kumfanya kitu.

Viongozi wa dini.
Hapa atakua ana uhakika wa Kinga ya maombi.

Wazee wastaafu watambariki na kumpa heshima. Alieruhusu katiba mpya alikua Kikwete,alieweka mizengwe alikua Mkapa.
Mkapa alikuja kuona umuhimu wa katiba mpya baadae,akatamani angalau tu kwanza waanze kurekebisha Tume ya Uchaguzi lakini ndoto zake zikazimwa na kifo.

Kikwete hana tatizo na katiba,Mzee Ruksa hana tatizo,Jaji Warioba ,Butiku na wazee wengine hawana tatizo na katiba,hivyo Mama atapata Kinga itokanayo na baraka za wazee. Hakuna atakae mfanya kitu.

Mama atakumbukwa kwa miaka nenda miaka rudi,na atatajwa kwa heshima na upendo kuwa aliruhusu jambo ambalo ilikua linaliliwa na makundi ya watu.

Katiba sio hitajio la chadema Katiba ni hitajio la Taifa,ni hitajio la, wakulima, wafanyakazi, dini, vijana, wanawake, wataalamu, wanajeshi, wanausalama, mapolisi, wabunge, madiwani na kila aina ya kada.

Akiruhusu katiba mpya atakua Rais wa pili Tanzania kuheshimika baada ya Nyerere,hivyo atakua ameweka legasi isiyo ya kutafuta.atakumbukwa kama mtu alieleta faraja kwa watanzania.

Mambo ni mengi jamani mama ajilipue tu,aongee kwanza na Mkuu wa Jw,Mkuu Wa TIss na Mkuu wa polisi,awaambie kusudio lake la kujilipua,wampe Ulinzi dhidi ya mahafidhina wa CCm Kisha apulize kipenga.
Baada ya hapo hata akitembea njiani bila mlinzi sisi Raia tutamlinda kila aendapo.
Naamini haki itatamalaki ikiwa katiba iliyopendekezwa na wananchi itaandikwa.Wala siamini kuwa mama ana moyo wa kuizima katiba hii; bali ni ccm iliyomkabidhi uenyekiti.Wanasahau kwamba katiba ni mali ya wananchi na si ya chama hata chadema si yao ila kwa kuwa wanaamini muundo wa katiba iliyopo haitoi haki kwa vyama vingine na wengi wanajua. Mama sikiliza fuata moyo wako unavyokushauri kwa upande wa haki na si Chama
 
But mimi naona mda bado wengi bado awajui ata katiba ni nini. Nashauri ungekomaa kwanza kuelimisha watu wasio ijua katiba na maana yake..alafu ndo umshauri rais...watu wakishakua tu aware basi..amini kuna polis.wajeshi.wabunge.wananchi kwa ujumla 78% awajui katiba na umuhimu wake
 
Hebu Sasa njoo jumuiya za KKKT.
Kama wewe huna hela imekula kwako. Jumuiya ndio mahali wenye pesa wanapojionyesha kwamba wanazo. Especially wanawake.
Hizokasoro mlizoona huko katoliki ongeza Mara mbili huku KKKT.
VITISHO VYA KUTOZIKWA NDIO SERA NAMBA MOJA.
 
Sababu mama ni kuwa Katiba mpya ndio Tiba ya matatizo yote ya Tz,kama ilivyoelezwa kwenye rasimu ya Jaji Warioba na mama alikua Mwenyekiti wa Bunge la katiba anajua zaidi yangu faida za katiba mpya.

Ila tatizo lililopo ni CCM kutaka kuendelea kutawala hata kama hawana ridhaa za wananchi, na makada wa CCM wenye ndoto mbalimbali za kugombea nafasi mbalimbali za uongoz wa taifa hili.

CCM na hao makada hawako tayari kwa Katiba mpya kwa sababu za kibinadamu tu,na wala sio kwa maslahi ya Taifa. Hivyo kwa muktadha huo wako tayari kufanya lolote,narudia tena kufanya lolote Ili kukwamisha mpango wa kuleta katiba mpya. Na wako tayari kumfanya mtu yoyote kitu chochote Ili kumzuia asilete katiba mpya. Kwa hali hiyo suala la katiba mpya ni kaa la moto kwa kiongozi yoyote atakae onesha kusudio la kuileta.

Sasa sababu zangu kwa nini asiogope kuruhusu katiba mpya:

Kwa sasa hivi kuna watu ndani ya chama chake wanamawazo mabaya na yeye,wanamfikiria vibaya na inawezekana wakawa wanapanga njama ovu dhidi yake.

Wapo walioanzisha shule ya uongozi na wapo wanaolaumu kukopa,wakati miezi kadhaa tu aliekuwepo alikua anakopa.wapo wengi wa hivi.

Sasa kwa Katiba hii mbovu wakifanikiwa kufanya yao,tutaweza kurudi kulekukue kwa one man show. Na kwa kutumia katiba hii hii mbovu Mama wanaweza kumuweka pabaya.

Kwa sababu tu alikwenda kinyume na baadhi ya mambo ya Bwana yule au genge lake. Hivyo basi Ili kupata Kinga ya hayo,katiba mpya ndio itakua Kinga yake.

Katiba mpya inahitajika na kutamaniwa na vyombo vote vya Ulinzi na Usalama,yaani Jw,polisi,Usalama,magereza nk. Inawafanya wafanye Kazi zao kwa weledi bila kuingiliwa au kutumwa au kushinikizwa na makada. Ikumbukwe hivi vyombo vina wataalamu waliojifunza mambo ya Ulinzi na Usalama na kubobea. Hivyo wanapolazimishwa kutenda mambo fulani kinyume na taaluma zao na wanasiasa au makada inawakera sana.

Katiba inahitajika na Majaji,mahakimu na wanasheria,
Hawa huwa hawapendi kuelekezwa kufanya mambo kinyume na Sheria,

Wanahabari wanaihitaji katiba mpya,Hawa wakikuandika kwa kukulinda utalindwa,
Utawekwa kwenye kumbukumbu kama shujaa wa Taifa.

Katiba mpya inahitajika na wananchi wengi kwa mamilioni wa kila fani,hivyo mama akiruhusu atakua amechagua kuwa upande wa watu wengi,nao watampa Kinga ya hali ya juu mno, nguvu ya uma,maombi na heshima.hakuna mtu atamgusa.

Ukipigania haki utaungwa mkono ndani na nje.
Hapa mama atapata heshima inayoambatana na Ulinzi kutoka ndani na hata Jumuiya ya kimataifa.hakuna atakae jaribu kumfanya kitu.

Viongozi wa dini.
Hapa atakua ana uhakika wa Kinga ya maombi.

Wazee wastaafu watambariki na kumpa heshima. Alieruhusu katiba mpya alikua Kikwete,alieweka mizengwe alikua Mkapa.
Mkapa alikuja kuona umuhimu wa katiba mpya baadae,akatamani angalau tu kwanza waanze kurekebisha Tume ya Uchaguzi lakini ndoto zake zikazimwa na kifo.

Kikwete hana tatizo na katiba,Mzee Ruksa hana tatizo,Jaji Warioba ,Butiku na wazee wengine hawana tatizo na katiba,hivyo Mama atapata Kinga itokanayo na baraka za wazee. Hakuna atakae mfanya kitu.

Mama atakumbukwa kwa miaka nenda miaka rudi,na atatajwa kwa heshima na upendo kuwa aliruhusu jambo ambalo ilikua linaliliwa na makundi ya watu.

Katiba sio hitajio la chadema Katiba ni hitajio la Taifa,ni hitajio la, wakulima, wafanyakazi, dini, vijana, wanawake, wataalamu, wanajeshi, wanausalama, mapolisi, wabunge, madiwani na kila aina ya kada.

Akiruhusu katiba mpya atakua Rais wa pili Tanzania kuheshimika baada ya Nyerere,hivyo atakua ameweka legasi isiyo ya kutafuta.atakumbukwa kama mtu alieleta faraja kwa watanzania.

Mambo ni mengi jamani mama ajilipue tu,aongee kwanza na Mkuu wa Jw,Mkuu Wa TIss na Mkuu wa polisi,awaambie kusudio lake la kujilipua,wampe Ulinzi dhidi ya mahafidhina wa CCm Kisha apulize kipenga.
Baada ya hapo hata akitembea njiani bila mlinzi sisi Raia tutamlinda kila aendapo.
Kwa tanzania mpaka Yoabu afe ndio nchi itasimama
 
But mimi naona mda bado wengi bado awajui ata katiba ni nini. Nashauri ungekomaa kwanza kuelimisha watu wasio ijua katiba na maana yake..alafu ndo umshauri rais...watu wakishakua tu aware basi..amini kuna polis.wajeshi.wabunge.wananchi kwa ujumla 78% awajui katiba na umuhimu wake
Unasubiri watanzania wote wajue sheria ni nini ndio utunge sheria?
 
Back
Top Bottom