Kama Lissu Anakubalika CHADEMA Kwanini Sasa Wafuasi Wake Wanalialia Na kupiga Mayowe Baada ya Mwamba Mbowe kutangaza Kugombea?

Kama Lissu Anakubalika CHADEMA Kwanini Sasa Wafuasi Wake Wanalialia Na kupiga Mayowe Baada ya Mwamba Mbowe kutangaza Kugombea?

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kweli Dunia ina maajabu yake,kweli kuna watu wana matatizo sana vichwani Mwao,kweli kuna watu hawajitambui,kweli kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua mambo.

inasikitisha ,kushangaza na kufikirisha sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kama Mimi naposikia makelele na mayowe ya Wafuasi kiduchu wa lissu mitandaoni.

Wafuasi wa Lissu walikuwa wakiongea kwa Madaha na kujibetua midomo kuwa lissu anakubalika na ana ushawishi kwa CHADEMA na wakamtaka agombee Uenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Umakamu Kama alivyokuwa anataka Mwenyewe.

Lakini cha kuchangaza walikuwa hawataki na kuogopa sana kuona au kusikia Mwamba akichukua Fomu ya Uenyekiti kutetea nafasi hiyo. Ambayo hata hivyo ni Kiu ya wengi na mahitaji ya wana CHADEMA wengi ambao ndio wanahitaji Mwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Sasa mwenye akili Timamu unajiuliza maswali machache kati ya mengi kuwa kama Lissu Anakubalika na ana ushawishi na anaaminika na wana CHADEMA.

Sasa kwanini wanaogopa Lissu kupambana na Mwamba kwenye sanduku la Kura? Kwanini walikuwa hawataki Mwamba agombee ilihali wana amini mtu wao atamshinda Mwamba? Kwanini hawataki sanduku la kura liamue Mshindi? Kwanini wanataka mtu wao apite kimserereko kama jiwe lililoanguka kutoka juu? Kwanini wanaogopa mtu wao kushindana kwa hoja na sera na Mwamba Mbowe na hatimaye wajumbe waamue wa kuwaongoza.?

Nini maana ya Demokrasia? Kwanini hawataki demokrasia iamue mshindi? Kwanini wasijivunie kuwa mtu wao lissu atapita kwa kishindo Kikuu badala yake tunaona vilio na kwikwi za majonzi baada ya Mwamba kutangaza Kugombea? Kwanini wanataka vya kunyonga na siyo vya kuchinja? Kwanini wanataka Lissu arithishwe uenyekiti badala ya kuchaguliwa kwa sera na hoja dhidi ya Mwamba?

Kwanini inakuwa hivyo?hofu inatoka wapi? Kiwewe cha nini? Mayowe ya nini? Makelele ya nini? Kwanini wanataka ushindi wa mezani? Kwanini? Jibu ni kuwa Wafuasi wake kiduchu wa Lissu siyo wajinga ,siyo kwamba hawana akili kabisa.

Jibu ni kwa kuwa wao wenyewe kwa ufahamu wao wanatambua ya kuwa lissu hakubaliki ndani ya chama,hana ushawishi,haungwi mkono na wengi,hawezi kuiongoza CHADEMA,hawezi kupata kura za ndio hata robo tu ya wajumbe,hawezi kuungwa mkono na viongozi wenye kujitambua na wenye uchungu na CHADEMA na ustawi wake.

Wafuasi wake wanatambua ya kuwa lissu ni mropokaji, mkurupukaji na mwenye tamaa ,uchu na uroho mkubwa wa madaraka. Ndio maana hata katika nafasi hii ya kuonba Uenyekiti amekurupuka na kukurupushwa tu maana hata awali aliseme hawezi na hana mpango wa kugombea uwenyekiti wa CHADEMA.

Wafuasi wake wanajua ukweli huu na ndio maana hofu imewajaa na kukata tamaa kabisa.ndio maana hakuna mfuasi wake yeyote yule mwenye ujasiri wa kutamka hadharani kuwa Lissu atamshinda Mwamba kwa kura .badala yake utawasikia wakilalamika kuwa kwanini Mwamba Amegombea . Utafikiri kiti cha uenyekiti ni cha mapokezano na kurithishana kama uchifu au mikoba ya uganga wa kienyeji au uchawi.

Kila mtu ashinde mechi zake Mwenyewe na kwa sera zake Mwenyewe na siyo kuanza kupiga mayowe hapa. Lissu Aache kuhangaika na kuongea ongea hovyo hovyo na uzushi na uongo.yeye asubirie Ujumbe wa wajumbe kwenye sanduku la kura ambao wengine tayari wameshaanza kutuma kabisa kuwa wapo upande wa Mwamba na wanasimama na Mwamba mpaka Dakika ya Mwisho.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kweli Dunia ina maajabu yake,kweli kuna watu wana matatizo sana vichwani Mwao,kweli kuna watu hawajitambui,kweli kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua mambo.

inasikitisha ,kushangaza na kufikirisha sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kama Mimi naposikia makelele na mayowe ya Wafuasi kiduchu wa lissu mitandaoni.

Wafuasi wa Lissu walikuwa wakiongea kwa Madaha na kujibetua midomo kuwa lissu anakubalika na ana ushawishi kwa CHADEMA na wakamtaka agombee Uenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Umakamu Kama alivyokuwa anataka Mwenyewe.

Lakini cha kuchangaza walikuwa hawataki na kuogopa sana kuona au kusikia Mwamba akichukua Fomu ya Uenyekiti kutetea nafasi hiyo. Ambayo hata hivyo ni Kiu ya wengi na mahitaji ya wana CHADEMA wengi ambao ndio wanahitaji Mwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Sasa mwenye akili Timamu unajiuliza maswali machache kati ya mengi kuwa kama Lissu Anakubalika na ana ushawishi na anaaminika na wana CHADEMA.

Sasa kwanini wanaogopa Lissu kupambana na Mwamba kwenye sanduku la Kura? Kwanini walikuwa hawataki Mwamba agombee ilihali wana amini mtu wao atamshinda Mwamba? Kwanini hawataki sanduku la kura liamue Mshindi? Kwanini wanataka mtu wao apite kimserereko kama jiwe lililoanguka kutoka juu? Kwanini wanaogopa mtu wao kushindana kwa hoja na sera na Mwamba Mbowe na hatimaye wajumbe waamue wa kuwaongoza.?

Nini maana ya Demokrasia? Kwanini hawataki demokrasia iamue mshindi? Kwanini wasijivunie kuwa mtu wao lissu atapita kwa kishindo Kikuu badala yake tunaona vilio na kwikwi za majonzi baada ya Mwamba kutangaza Kugombea? Kwanini wanataka vya kunyonga na siyo vya kuchinja? Kwanini wanataka Lissu arithishwe uenyekiti badala ya kuchaguliwa kwa sera na hoja dhidi ya Mwamba?

Kwanini inakuwa hivyo?hofu inatoka wapi? Kiwewe cha nini? Mayowe ya nini? Makelele ya nini? Kwanini wanataka ushindi wa mezani? Kwanini? Jibu ni kuwa Wafuasi wake kiduchu wa Lissu siyo wajinga ,siyo kwamba hawana akili kabisa.

Jibu ni kwa kuwa wao wenyewe kwa ufahamu wao wanatambua ya kuwa lissu hakubaliki ndani ya chama,hana ushawishi,haungwi mkono na wengi,hawezi kuiongoza CHADEMA,hawezi kupata kura za ndio hata robo tu ya wajumbe,hawezi kuungwa mkono na viongozi wenye kujitambua na wenye uchungu na CHADEMA na ustawi wake.

Wafuasi wake wanatambua ya kuwa lissu ni mropokaji, mkurupukaji na mwenye tamaa ,uchu na uroho mkubwa wa madaraka. Ndio maana hata katika nafasi hii ya kuonba Uenyekiti amekurupuka na kukurupushwa tu maana hata awali aliseme hawezi na hana mpango wa kugombea uwenyekiti wa CHADEMA.

Wafuasi wake wanajua ukweli huu na ndio maana hofu imewajaa na kukata tamaa kabisa.ndio maana hakuna mfuasi wake yeyote yule mwenye ujasiri wa kutamka hadharani kuwa Lissu atamshinda Mwamba kwa kura .badala yake utawasikia wakilalamika kuwa kwanini Mwamba Amegombea . Utafikiri kiti cha uenyekiti ni cha mapokezano na kurithishana kama uchifu au mikoba ya uganga wa kienyeji au uchawi.

Kila mtu ashinde mechi zake Mwenyewe na kwa sera zake Mwenyewe na siyo kuanza kupiga mayowe hapa. Lissu Aache kuhangaika na kuongea ongea hovyo hovyo na uzushi na uongo.yeye asubirie Ujumbe wa wajumbe kwenye sanduku la kura ambao wengine tayari wameshaanza kutuma kabisa kuwa wapo upande wa Mwamba na wanasimama na Mwamba mpaka Dakika ya Mwisho.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
..peleka uchawa wenu ccm!
 
Ina maana huoni Mbowe anavyotumiwa na CCM kufifisha siasa za uponzani na mageuzi nchini?
Kama anatumiwa na CCM basi mnadini lissu kwa hoja hizo halafu muwaachie wajumbe kazi yao. Sasa mayowe ya nini na kwanini mmechanganyikiwa baada ya Mwamba kutangaza Kugombea?
 
Watu waligwaya Lissu kugombea sababu 'siyo wa kutoka kwetu', ana nyoosha rula hatujazoea hivyo sisi waTZ.

Kwanini unashangaa kuwa bado kuna watu wana gwaya Mbowe kugombea, si kuna demokrasia kura zitafnya kazi?

Sababu watu wanajua kuwa wapiga kura waTZ wakipata rupia ni waaminifu sana. Wana hakika karibu 100% Lissu sio wa kuendekeza rupia.

Wewe unaye shangazwa na watu wenye kuogopa au kusononeka Mbowe kugombea umeamua tu kupotea factors mbalimbali za uchaguzi wa huru na haki.
 
Nani kasema lissu anakubalika?Lissu kashashindwa uchaguzi mapema sana,,uchaguzi ni maaandalizi,,Mbowe alishajiandaa na kuweka watu wake,,rejea kupigwa kwa Msigwa iringa,,ule ni mpango wa mbowe,,Lema alishaona anaenda kupigwa akaamua kutokugombea,,,
 
Nani kasema lissu anakubalika?Lissu kashashindwa uchaguzi mapema sana,,uchaguzi ni maaandalizi,,Mbowe alishajiandaa na kuweka watu wake,,rejea kupigwa kwa Msigwa iringa,,ule ni mpango wa mbowe,,Lema alishaona anaenda kupigwa akaamua kutokugombea,,,
Siasa ni sayansi na ni mchezo wa Namba
 
Wafuasi wake ni sisi. Tumetulia tunawasoma, hatulii lii wala nini. Tupo na Maconfidence ya kutosha. It's a matter of Time.
Ndugu zangu Watanzania,

Kweli Dunia ina maajabu yake,kweli kuna watu wana matatizo sana vichwani Mwao,kweli kuna watu hawajitambui,kweli kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua mambo.

inasikitisha ,kushangaza na kufikirisha sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kama Mimi naposikia makelele na mayowe ya Wafuasi kiduchu wa lissu mitandaoni.

Wafuasi wa Lissu walikuwa wakiongea kwa Madaha na kujibetua midomo kuwa lissu anakubalika na ana ushawishi kwa CHADEMA na wakamtaka agombee Uenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Umakamu Kama alivyokuwa anataka Mwenyewe.

Lakini cha kuchangaza walikuwa hawataki na kuogopa sana kuona au kusikia Mwamba akichukua Fomu ya Uenyekiti kutetea nafasi hiyo. Ambayo hata hivyo ni Kiu ya wengi na mahitaji ya wana CHADEMA wengi ambao ndio wanahitaji Mwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Sasa mwenye akili Timamu unajiuliza maswali machache kati ya mengi kuwa kama Lissu Anakubalika na ana ushawishi na anaaminika na wana CHADEMA.

Sasa kwanini wanaogopa Lissu kupambana na Mwamba kwenye sanduku la Kura? Kwanini walikuwa hawataki Mwamba agombee ilihali wana amini mtu wao atamshinda Mwamba? Kwanini hawataki sanduku la kura liamue Mshindi? Kwanini wanataka mtu wao apite kimserereko kama jiwe lililoanguka kutoka juu? Kwanini wanaogopa mtu wao kushindana kwa hoja na sera na Mwamba Mbowe na hatimaye wajumbe waamue wa kuwaongoza.?

Nini maana ya Demokrasia? Kwanini hawataki demokrasia iamue mshindi? Kwanini wasijivunie kuwa mtu wao lissu atapita kwa kishindo Kikuu badala yake tunaona vilio na kwikwi za majonzi baada ya Mwamba kutangaza Kugombea? Kwanini wanataka vya kunyonga na siyo vya kuchinja? Kwanini wanataka Lissu arithishwe uenyekiti badala ya kuchaguliwa kwa sera na hoja dhidi ya Mwamba?

Kwanini inakuwa hivyo?hofu inatoka wapi? Kiwewe cha nini? Mayowe ya nini? Makelele ya nini? Kwanini wanataka ushindi wa mezani? Kwanini? Jibu ni kuwa Wafuasi wake kiduchu wa Lissu siyo wajinga ,siyo kwamba hawana akili kabisa.

Jibu ni kwa kuwa wao wenyewe kwa ufahamu wao wanatambua ya kuwa lissu hakubaliki ndani ya chama,hana ushawishi,haungwi mkono na wengi,hawezi kuiongoza CHADEMA,hawezi kupata kura za ndio hata robo tu ya wajumbe,hawezi kuungwa mkono na viongozi wenye kujitambua na wenye uchungu na CHADEMA na ustawi wake.

Wafuasi wake wanatambua ya kuwa lissu ni mropokaji, mkurupukaji na mwenye tamaa ,uchu na uroho mkubwa wa madaraka. Ndio maana hata katika nafasi hii ya kuonba Uenyekiti amekurupuka na kukurupushwa tu maana hata awali aliseme hawezi na hana mpango wa kugombea uwenyekiti wa CHADEMA.

Wafuasi wake wanajua ukweli huu na ndio maana hofu imewajaa na kukata tamaa kabisa.ndio maana hakuna mfuasi wake yeyote yule mwenye ujasiri wa kutamka hadharani kuwa Lissu atamshinda Mwamba kwa kura .badala yake utawasikia wakilalamika kuwa kwanini Mwamba Amegombea . Utafikiri kiti cha uenyekiti ni cha mapokezano na kurithishana kama uchifu au mikoba ya uganga wa kienyeji au uchawi.

Kila mtu ashinde mechi zake Mwenyewe na kwa sera zake Mwenyewe na siyo kuanza kupiga mayowe hapa. Lissu Aache kuhangaika na kuongea ongea hovyo hovyo na uzushi na uongo.yeye asubirie Ujumbe wa wajumbe kwenye sanduku la kura ambao wengine tayari wameshaanza kutuma kabisa kuwa wapo upande wa Mwamba na wanasimama na Mwamba mpaka Dakika ya Mwisho.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Tuanzie huko CCM kama Samia anakubalika kwanini anatafutiwa viproject uchwara vingi kumpa coverage.

○Goli la mama

○ Madaktari wa mama

○ Bond za mama

○ Chawa wa mama

○ Bodaboda za mama

○ Mikopo ya mama

○ Wahandisi na wakandarasi wa mama
IMG_20240819_200007.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kweli Dunia ina maajabu yake,kweli kuna watu wana matatizo sana vichwani Mwao,kweli kuna watu hawajitambui,kweli kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua mambo.

inasikitisha ,kushangaza na kufikirisha sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kama Mimi naposikia makelele na mayowe ya Wafuasi kiduchu wa lissu mitandaoni.

Wafuasi wa Lissu walikuwa wakiongea kwa Madaha na kujibetua midomo kuwa lissu anakubalika na ana ushawishi kwa CHADEMA na wakamtaka agombee Uenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Umakamu Kama alivyokuwa anataka Mwenyewe.

Lakini cha kuchangaza walikuwa hawataki na kuogopa sana kuona au kusikia Mwamba akichukua Fomu ya Uenyekiti kutetea nafasi hiyo. Ambayo hata hivyo ni Kiu ya wengi na mahitaji ya wana CHADEMA wengi ambao ndio wanahitaji Mwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Sasa mwenye akili Timamu unajiuliza maswali machache kati ya mengi kuwa kama Lissu Anakubalika na ana ushawishi na anaaminika na wana CHADEMA.

Sasa kwanini wanaogopa Lissu kupambana na Mwamba kwenye sanduku la Kura? Kwanini walikuwa hawataki Mwamba agombee ilihali wana amini mtu wao atamshinda Mwamba? Kwanini hawataki sanduku la kura liamue Mshindi? Kwanini wanataka mtu wao apite kimserereko kama jiwe lililoanguka kutoka juu? Kwanini wanaogopa mtu wao kushindana kwa hoja na sera na Mwamba Mbowe na hatimaye wajumbe waamue wa kuwaongoza.?

Nini maana ya Demokrasia? Kwanini hawataki demokrasia iamue mshindi? Kwanini wasijivunie kuwa mtu wao lissu atapita kwa kishindo Kikuu badala yake tunaona vilio na kwikwi za majonzi baada ya Mwamba kutangaza Kugombea? Kwanini wanataka vya kunyonga na siyo vya kuchinja? Kwanini wanataka Lissu arithishwe uenyekiti badala ya kuchaguliwa kwa sera na hoja dhidi ya Mwamba?

Kwanini inakuwa hivyo?hofu inatoka wapi? Kiwewe cha nini? Mayowe ya nini? Makelele ya nini? Kwanini wanataka ushindi wa mezani? Kwanini? Jibu ni kuwa Wafuasi wake kiduchu wa Lissu siyo wajinga ,siyo kwamba hawana akili kabisa.

Jibu ni kwa kuwa wao wenyewe kwa ufahamu wao wanatambua ya kuwa lissu hakubaliki ndani ya chama,hana ushawishi,haungwi mkono na wengi,hawezi kuiongoza CHADEMA,hawezi kupata kura za ndio hata robo tu ya wajumbe,hawezi kuungwa mkono na viongozi wenye kujitambua na wenye uchungu na CHADEMA na ustawi wake.

Wafuasi wake wanatambua ya kuwa lissu ni mropokaji, mkurupukaji na mwenye tamaa ,uchu na uroho mkubwa wa madaraka. Ndio maana hata katika nafasi hii ya kuonba Uenyekiti amekurupuka na kukurupushwa tu maana hata awali aliseme hawezi na hana mpango wa kugombea uwenyekiti wa CHADEMA.

Wafuasi wake wanajua ukweli huu na ndio maana hofu imewajaa na kukata tamaa kabisa.ndio maana hakuna mfuasi wake yeyote yule mwenye ujasiri wa kutamka hadharani kuwa Lissu atamshinda Mwamba kwa kura .badala yake utawasikia wakilalamika kuwa kwanini Mwamba Amegombea . Utafikiri kiti cha uenyekiti ni cha mapokezano na kurithishana kama uchifu au mikoba ya uganga wa kienyeji au uchawi.

Kila mtu ashinde mechi zake Mwenyewe na kwa sera zake Mwenyewe na siyo kuanza kupiga mayowe hapa. Lissu Aache kuhangaika na kuongea ongea hovyo hovyo na uzushi na uongo.yeye asubirie Ujumbe wa wajumbe kwenye sanduku la kura ambao wengine tayari wameshaanza kutuma kabisa kuwa wapo upande wa Mwamba na wanasimama na Mwamba mpaka Dakika ya Mwisho.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Achana na Lissu siyo level Yako. Wewe ni ng'ombe anayekamuliwa huku akisema mitano tena kwa mama. Shetani na chizi wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kweli Dunia ina maajabu yake,kweli kuna watu wana matatizo sana vichwani Mwao,kweli kuna watu hawajitambui,kweli kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua mambo.

inasikitisha ,kushangaza na kufikirisha sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kama Mimi naposikia makelele na mayowe ya Wafuasi kiduchu wa lissu mitandaoni.

Wafuasi wa Lissu walikuwa wakiongea kwa Madaha na kujibetua midomo kuwa lissu anakubalika na ana ushawishi kwa CHADEMA na wakamtaka agombee Uenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Umakamu Kama alivyokuwa anataka Mwenyewe.

Lakini cha kuchangaza walikuwa hawataki na kuogopa sana kuona au kusikia Mwamba akichukua Fomu ya Uenyekiti kutetea nafasi hiyo. Ambayo hata hivyo ni Kiu ya wengi na mahitaji ya wana CHADEMA wengi ambao ndio wanahitaji Mwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Sasa mwenye akili Timamu unajiuliza maswali machache kati ya mengi kuwa kama Lissu Anakubalika na ana ushawishi na anaaminika na wana CHADEMA.

Sasa kwanini wanaogopa Lissu kupambana na Mwamba kwenye sanduku la Kura? Kwanini walikuwa hawataki Mwamba agombee ilihali wana amini mtu wao atamshinda Mwamba? Kwanini hawataki sanduku la kura liamue Mshindi? Kwanini wanataka mtu wao apite kimserereko kama jiwe lililoanguka kutoka juu? Kwanini wanaogopa mtu wao kushindana kwa hoja na sera na Mwamba Mbowe na hatimaye wajumbe waamue wa kuwaongoza.?

Nini maana ya Demokrasia? Kwanini hawataki demokrasia iamue mshindi? Kwanini wasijivunie kuwa mtu wao lissu atapita kwa kishindo Kikuu badala yake tunaona vilio na kwikwi za majonzi baada ya Mwamba kutangaza Kugombea? Kwanini wanataka vya kunyonga na siyo vya kuchinja? Kwanini wanataka Lissu arithishwe uenyekiti badala ya kuchaguliwa kwa sera na hoja dhidi ya Mwamba?

Kwanini inakuwa hivyo?hofu inatoka wapi? Kiwewe cha nini? Mayowe ya nini? Makelele ya nini? Kwanini wanataka ushindi wa mezani? Kwanini? Jibu ni kuwa Wafuasi wake kiduchu wa Lissu siyo wajinga ,siyo kwamba hawana akili kabisa.

Jibu ni kwa kuwa wao wenyewe kwa ufahamu wao wanatambua ya kuwa lissu hakubaliki ndani ya chama,hana ushawishi,haungwi mkono na wengi,hawezi kuiongoza CHADEMA,hawezi kupata kura za ndio hata robo tu ya wajumbe,hawezi kuungwa mkono na viongozi wenye kujitambua na wenye uchungu na CHADEMA na ustawi wake.

Wafuasi wake wanatambua ya kuwa lissu ni mropokaji, mkurupukaji na mwenye tamaa ,uchu na uroho mkubwa wa madaraka. Ndio maana hata katika nafasi hii ya kuonba Uenyekiti amekurupuka na kukurupushwa tu maana hata awali aliseme hawezi na hana mpango wa kugombea uwenyekiti wa CHADEMA.

Wafuasi wake wanajua ukweli huu na ndio maana hofu imewajaa na kukata tamaa kabisa.ndio maana hakuna mfuasi wake yeyote yule mwenye ujasiri wa kutamka hadharani kuwa Lissu atamshinda Mwamba kwa kura .badala yake utawasikia wakilalamika kuwa kwanini Mwamba Amegombea . Utafikiri kiti cha uenyekiti ni cha mapokezano na kurithishana kama uchifu au mikoba ya uganga wa kienyeji au uchawi.

Kila mtu ashinde mechi zake Mwenyewe na kwa sera zake Mwenyewe na siyo kuanza kupiga mayowe hapa. Lissu Aache kuhangaika na kuongea ongea hovyo hovyo na uzushi na uongo.yeye asubirie Ujumbe wa wajumbe kwenye sanduku la kura ambao wengine tayari wameshaanza kutuma kabisa kuwa wapo upande wa Mwamba na wanasimama na Mwamba mpaka Dakika ya Mwisho.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe pambana na CCM Yako,ya vyama vingine tuachie wenyewe,mbona mlafi?!!
 
Back
Top Bottom