Kama Lissu anapinga serikali isiweke Kodi yoyote ile kwa wananchi, yeye atatoa hela mfukoni kuendesha nchi?

Kama Lissu anapinga serikali isiweke Kodi yoyote ile kwa wananchi, yeye atatoa hela mfukoni kuendesha nchi?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Msipoteze muda na wachumia tumbo hawa yeye alisema amekuja kudai million 100 ya bunge so siasa ni ziada tu


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Kwani kabla ya hizo kodi anazopinga Lissu, nchi iliendeswaje? Au nchi zisizo na hizo kodi, zinaendweshaje? Jibu haya maswali ili tuone kama una akili au la.
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Weka na hiyo clip akipinga serikali isikusanye kodi!!
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Mjadala unaendelea
 
Kwani kabla ya hizo kodi anazopinga Lissu, nchi iliendeswaje? Au nchi zisizo na hizo kodi, zinaendweshaje? Jibu haya maswali ili tuone kama una akili au la.
Serikali haina shamba, inaendeshwa kwa Kodi.
 
Bado maliasili zetu hazijatunufaisha kabisa.....
-Madini
-Mazao ya misitu
-Mazao ya Baharini,Maziwa na mito
-Virgin Land
-Wanyama Pori
-Rasilimali watu nk

Hivyo vyote vikitumika Kwa weledi,hatuna haja ya kukopa na kuomba omba kama Matonya
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Hata Mrema alipokuwa anasema kwenye kampeni za 1995 kuwa sisi NCCR tukishinda uchaguzi tutaondoa Kodi ya Kichwa Na Ushuru wa baiskeli na mifugo,CCM wengi waliponda na kusema atatoa hela wapi ya kuendesha Serikali?Cha ajabu Mkapa alivyoshinda Urais alikuja kuondoa kodi ya kichwa na ushuru wa baiskeli,na ndio wakati nchi ilipaa kiuchumi na Tanzania ikajulikana ulimwenguni.Kwa hiyo usibeze hoja,bali ifanyie kazi uone kama inalipa au hailipi,kupanga ni kuchagua.
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Nchi itaendeshwa kwa TOZO
 
Hata Mrema alipokuwa anasema kwenye kampeni za 1995 kuwa sisi NCCR tukishinda uchaguzi tutaondoa Kodi ya Kichwa Na Ushuru wa baiskeli na mifugo,CCM wengi waliponda na kusema atatoa hela wapi ya kuendesha Serikali?Cha ajabu Mkapa alivyoshinda Urais alikuja kuondoa kodi ya kichwa na ushuru wa baiskeli,na ndio wakati nchi ilipaa kiuchumi na Tanzania ikajulikana ulimwenguni.Kwa hiyo usibeze hoja,bali ifanyie kazi uone kama inalipa au hailipi,kupanga ni kuchagua.
Maendeleo hayashuki kama mana jangwani
 
Maendeleo hayashuki kama mana jangwani
Kwa walioshudia mfumo wa chama kimoja Tanzania maendeleo yake na tulioshuhudia maendeleo katika mfumo wa Vyama vingi tunakuona tu wewe ni mchawi na kama siyo mchawi umetoka katika familia ya Wanyonyaji.
 
Weka na hiyo clip akipinga serikali isikusanye kodi!!
Badala ya kufanya hayo bora ungeenda kuupokea mwaili wa kamanda
FncvnuIXgAAeUwk
 
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.

Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Ni jinga linalojiamini. Na hii ndio maana manyumbu kibao yanalifuata🚶🚶🚶
 
Back
Top Bottom