chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kwa uelewa wangu, serikali inajiendesha kutokana na Kodi zinazolipwa na wananchi wake.
Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.
Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?
Katika hotuba ya Lissu, alipinga Kodi zote ambazo serikali inazikusanya na kuzitumia kulipa polisi waliokuwa wanalinda mikutano yake, kujenga uwanja wa ndege, kulipa mishahara, kujenga lami ambayo wafuasi wake Jana walifika mikutanoni bila kuwa na vumbi.
Je, anatuahidi kufuta Kodi zote, nchi ataiendeshaje? Au Ulaya alikokuwa ana wajomba zake ambao wamemuahidi kumpa trilioni mbili Kila mwezi?