Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Sema ccm mfanyiwe utafiti maana mnasema serikali ni ya ccm na hilo kama unaloona ni upuuzi basi ni lenu ccm. Wapinzani wanadai katiba ili rais awajibike nyie mnasema katiba haileti ugali mezani. Sasa kama unasema mpinge treni ya diesel mtapinga wapi? MtaandamanaKuna haja kubwa sana ya sisi ngozi nyeusi kufanyiwa utafiti wa bongo zetu. Nakubaliana na wewe mkuu
Mawazo tunduizi kabisa....Pia hajui hiyo reli walijenga wachina sio tanzania ...bure bure kabisa sasa nae kujitia ana uchungu mwaka 2024.......wakati wachina waliona huruma tu mwaka 1970.....na kutoa aid bila riba bila mashart yeyote yale
Sasa leo wanataka kutoa msaada tena mnajifanya wakali
Reli hiyo baadae tu kumaliza kujenga wachina wakakabidhi tanzania na zambia 1980 reli ikaaanza kusua sua mikopo kila siku wachina wakawa wanashangaaa 2010 reli karibu ife kabisa ndo wakatoa pesa tena
Tuwaache waiboreshe kwakuwa ndio wao walioijenga piaNi Mao Tse Tung aliyetoa FEDHA yao BILA MASHARTI ya kiuchumi kuijenga hiyo TAZARA....
Sijui tunafeli wapi kufikiri ?!! [emoji1787]
Umemtumana bure tu, alichokuambia kuhusu Kenya ni sahihi japo siungi mkono wazo lake kuhusu Tazara🚮🚮 Weka ushahidi wewe mjinga
Ni kweli unachosemaAcha ujuha wewe. Kenya saivi anafanya vitu viwili. Kuipeleka iyo reli to Malabo mpakani na Uganda na pia kutafuta fedha za kui upgrade to umeme.
Weka ushahidi,Umemtumana bure tu, alichokuambia kuhusu Kenya ni sahihi japo siungi mkono wazo lake kuhusu Tazara
Huenda hujaelewa madaTanzania Zambia Railway (Tazara)
Top Leaders Wamesha Weka Saini Maana Yake Imeisha Hiyo
Ushahidi wa Kenya kuchukua mkopo Exim bank China ili kupgrade reli yao?Weka ushahidi,
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Tueleze kwanza faida na hasara ya RELI ya dizeliKuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie us ifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Kenya wana extend Reli yao ya SGR from Nairobi Naivasha to Malaba Uganda. Ndicho walichosaini Ruto uko China sio Ku updrade ulichosema. Hiyo TAZARA ilijengwa na China kwa mkopo wa nchi 2 TZ na Zambia na mkopo bado haujaisha kulipwa, kwahiyo China kutoa ela ya marekebisho mnalalamika, tumieni ela zenu kujenga mnachokitaka mnashindwa. Bongo shida sanaUshahidi wa Kenya kuchukua mkopo Exim bank China ili kupgrade reli yao?
Hakika komredi wangu [emoji7]Tuwaache waiboreshe kwakuwa ndio wao walioijenga pia
Hapa jiulizie mwenyewe na hao viongozi wako. Usituhusishe na sisi tusio kubaliana na udhaifu wenu huo.Bado najiuliza kama sisi Waafrika weusi ni binadamu halisi au ni viumbe tunaofanana sana na binadamu.
Ujinga ni janga kubwa sana la nchi hii.Kapimwe akili
Kwa hiyo unaona sawa reli ya kati iwe ya umeme na reli ya TAZARA iwe ya dizeli?
Hujajifunza kwa Kenya ambao walijengewa ya dizeli sasaivi wanaomba tena mkopo ili wajenge ya umeme kama sie?
🚮🚮 Weka ushahidi wewe mjinga