Kama maendeleo ya kiteknorojia kwa nchi zilizoendelea yamechagizwa na Wayahudi, Tanzania tunakwama wapi kuwakaribisha na kuoana nao?

Kama maendeleo ya kiteknorojia kwa nchi zilizoendelea yamechagizwa na Wayahudi, Tanzania tunakwama wapi kuwakaribisha na kuoana nao?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Iran, USA, Russia, Ujeruman, UK, Korea zote, Japan, mkono wa Myahudi upo!

Kazi za kubuni na kutengeneza, hao jamaa Mungu amewabariki

Imefika wakati kwamba, kila nchi ambayo inawayahudi walipewa nafasi serikalin

Nchi hiyo inakuwa hatari kwenye nyanja zote za kijeshi n.k

Sehemu hakuna myahudi, kuna siraha fek kama China

Ifike wakati nchi yetu ione namna ya kuwakaribisha hawa watu nchini kwetu na ama kuchanganya damu nao

Tumekuwa na warabu na hadi tumeoana nao lakini wapi, wahindi, hakuna kitu

Africa na Tanzania tunakwama wapi?

Kama kukaa na ama kuoana na Wayahudi ni furusa' basi tumecheleweshwa sana na hizi rangi zingine
 
Nyie endeeeleni kuoana wenyewe wandendeule + wangindo.
Then end product ni
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Teknolojia kubwa zinamilikiwa na Jews, sio kutengenezwa au kubuniwa na Jews.

Ukiwa na pesa unaweza kumiliki wataalam wakubwa, wanasayansi na wagunduzi mbalimbali.

Jews wana pesa nyingi, mfano Rothschild's dynasty, wamiliki wa WB, IMF na washirika wa Central banks za mataifa mengi hapa ulimwenguni.
 
Kuna uongo mwingi sana kuhusu hao watu!

Maendeleo ya sayansi na teknolojia ni mchango wa watu wa jamii mbalimbali, wakiwemo kwa kiasi kikubwa Wagiriki wa kale waliojenga misingi ambayo mpaka leo inatumiwa katika kuvumbua na kugundua vitu mbalimbali.

Nashangaa mpaka sasa hamjadai Elon Musk
Mukesh Ambani, na Jeff Bezos kuwa ni Wayahudi.

Hata Aliko Dangote ni Myahudi 🤣.
 
Nakubaliana na wewe kwa yote but hapo kwa hao watu uliowataja hapo chini nje ya Elon Musk, hao wengine wamegundua nini brother? Sema ndio matajiri, but nini walicho kigundua? Nakubaliana na wewe, best scientists katika history Wagiriki ni No 1 wakafatiwa na wengine including Jews. Newton, Archimedes, Oppenheimer, Galileo Galilee nk ni baadhi ya watu waliosababisha vifaa vingi vya kisasa kutengenezwa kupitia ugunduzi wao.
Kuna uongo mwingi sana kuhusu hao watu!

Maendeleo ya sayansi na teknolojia ni mchango wa watu wa jamii mbalimbali, wakiwemo kwa kiasi kikubwa Wagiriki wa kale waliojenga misingi ambayo mpaka leo inatumiwa katika kuvumbua na kugundua vitu mbalimbali.

Nashangaa mpaka sasa hamjadai Elon Musk
Mukesh Ambani, na Jeff Bezos kuwa ni Wayahudi.

Hata Aliko Dangote ni Myahudi 🤣.
 
Iran, USA, Russia, Ujeruman, UK, Korea zote, hao jamaa wapo

Kazi za kubuni na kutengeneza, hao jamaa Mungu amewabariki

Imefika wakati kwamba, kila nchi ambayo inawayahudi walipewa nafasi serikalin

Nchi hiyo inakuwa hatari kwenye nyanja zote za kijeshi n.k

Sehemu hakuna myahudi, kuna siraha fek kama China

Ifike wakati nchi yetu ione namna ya kuwakaribisha hawa watu nchini kwetu na ama kuchanganya damu nao

Tumekuwa na warabu na hadi tumeoana nao lakini wapi, wahindi, hakuna kitu
Tukiwakaribisha Waisrael kuna watu watakuja na hoja za kwanini tunawakaribisha watu waliomuua Mohammed.
 
Kuna uongo mwingi sana kuhusu hao watu!

Maendeleo ya sayansi na teknolojia ni mchango wa watu wa jamii mbalimbali, wakiwemo kwa kiasi kikubwa Wagiriki wa kale waliojenga misingi ambayo mpaka leo inatumiwa katika kuvumbua na kugundua vitu mbalimbali.

Nashangaa mpaka sasa hamjadai Elon Musk
Mukesh Ambani, na Jeff Bezos kuwa ni Wayahudi.

Hata Aliko Dangote ni Myahudi 🤣.
Samia suluhu hasaan ni myahudi wa Lamu.
 
Kati ya vitu vinavyodumaza kizazi ni ukosefu wa mchanganyiko wa damu wa kutosha. Mtu kamwoa binamu; wameona ndugu, majirani, etc. Nchi iwe na sera ya kuchanganya damu ikibidi mayahudi wanaotaka kuhamia wapewe incentives.
 
Iran, USA, Russia, Ujeruman, UK, Korea zote, hao jamaa wapo

Kazi za kubuni na kutengeneza, hao jamaa Mungu amewabariki

Imefika wakati kwamba, kila nchi ambayo inawayahudi walipewa nafasi serikalin

Nchi hiyo inakuwa hatari kwenye nyanja zote za kijeshi n.k

Sehemu hakuna myahudi, kuna siraha fek kama China

Ifike wakati nchi yetu ione namna ya kuwakaribisha hawa watu nchini kwetu na ama kuchanganya damu nao

Tumekuwa na warabu na hadi tumeoana nao lakini wapi, wahindi, hakuna kitu
Mbona walihishi miaka nying sana hapa Tz kwanzia miaka 1939 walikuwa ni wakmbz mlishndwa nn kuwatumia
 
Mnamahaba na Jews kwa sababu za kidini zaidi na kuwa brainwashed kuliko uhalisia. Mchango wao wa kawaida kama jamii zingine.

Mnapotaka kuoana nao mna uhakika wenyewe wanawataka nyie? Duniani kote ni miafrika tu inaona sifa kuona nje ya race yao ila race zingine zote zinaona kuoa nje ya race yao is a downgrade. Hao waarabu tu na wahindi wapo Hapo hapa bongo hawataki kuoana na nyie wamatumbi ndo mtake miyahudi ioane na nyie?
 
Nakubaliana na wewe kwa yote but hapo kwa hao watu uliowataja hapo chini nje ya Elon Musk, hao wengine wamegundua nini brother? Sema ndio matajiri, but nini walicho kigundua? Nakubaliana na wewe, best scientists katika history Wagiriki ni No 1 wakafatiwa na wengine including Jews. Newton, Archimedes, Oppenheimer, Galileo Galilee nk ni baadhi ya watu waliosababisha vifaa vingi vya kisasa kutengenezwa kupitia ugunduzi wao.
Swali zuri!

Watu wanapenda sana kulitaja jina la Rothschild, kwa mfano, ili kuonyesha ushahidi wa mafanikio ya Wayahudi.

Hao akina Rothschild wamevumbua au kugundua nini zaidi ya wao kuwa wajasiriamali tu kama akina Mukesh Ambani na Elon Musk?

Hao akina Rothschild wamerithishana tu mali. Halafu ni familia nzima. Hivyo, hata utajiri wao ni wa kifamilia zaidi na sidhani wana utajiri mkubwa kivile.

Haya, tuje hata kwa Albert Einstein, huyu alivumbua kitu gani kilichoboresha maisha ya mwanadamu?

Thomas Edison, Alexander Graham Bell, na Guglielmo Marconi, hawa uvumbuzi wao mpaka leo hii bado tunafaidika nao katika maisha yetu ya kila siku na hakuna mmoja wao kati yao ambaye ni Myahudi.
 
Iran, USA, Russia, Ujeruman, UK, Korea zote, hao jamaa wapo

Kazi za kubuni na kutengeneza, hao jamaa Mungu amewabariki

Imefika wakati kwamba, kila nchi ambayo inawayahudi walipewa nafasi serikalin

Nchi hiyo inakuwa hatari kwenye nyanja zote za kijeshi n.k

Sehemu hakuna myahudi, kuna siraha fek kama China

Ifike wakati nchi yetu ione namna ya kuwakaribisha hawa watu nchini kwetu na ama kuchanganya damu nao

Tumekuwa na warabu na hadi tumeoana nao lakini wapi, wahindi, hakuna kitu
Hivi hizi story za kahawa huwa mnazitoa wapi?
Maendeleo ya nchi zilizoendelea yameletwa na mipango bora na kuchukua talents kutoka mataifa mbalimbali na wala si wayahudi pekee.
Brain washing at its peak...
China inatengeneza vitu fake? Wewe ndiye wanatumia bidhaa za bei nafuu za china ila huyo huyo mchina anauza bidhaa grade A huko huko kwa hao kiasi kwamba wameshindwa pambana nazo wanazipiga ban au kuongeza kodi mara 100.
 
Mnamahaba na Jews kwa sababu za kidini zaidi na kuwa brainwashed kuliko uhalisia. Mchango wao wa kawaida kama jamii zingine.

Mnapotaka kuoana nao mna uhakika wenyewe wanawataka nyie? Duniani kote ni miafrika tu inaona sifa kuona nje ya race yao ila race zingine zote zinaona kuoa nje ya race yao is a downgrade. Hao waarabu tu na wahindi wapo Hapo hapa bongo hawataki kuoana na nyie wamatumbi ndo mtake miyahudi ioane na nyie?
Hata wakisoma kitabu chao cha Hadith na kukumbishwa hawa walimuua YESU KRISTO bado yanakomaa na hata kuweka mastika ya flag wayahudi majumbani kwao baiskeli pikipiki na gari!
Bumbuwazi, ujinga, uzuzu, undorobo umewajaa!
Bure kabisa kabisa 🤬
 
Emancipate yourself from Mental Slavery..., kinachokutoa hapa mpaka pale sio genes au umetoka wapi bali ni utamaduni na kama una utamaduni wa imani kwamba fulani kabarikiwa au anaweza mimi siwezi utaendelea kusubiri kufanyiwa mpaka kesho

If I have seen further than others, is by standing on the shoulders of the Giants....

Mwisho kabisa necessity is the mother of all invention ; romour has it hata vaccination (smallpox) iligunduliwa na mtumwa mweusi; In 1716, an African slave named Onesimus (pronounced oh-NESS-see-muss) told his owner, Cotton Mather, an influential Boston minister, that he knew how to prevent smallpox, and that he in fact had it and had been cured of it
 
Iran, USA, Russia, Ujeruman, UK, Korea zote, hao jamaa wapo

Kazi za kubuni na kutengeneza, hao jamaa Mungu amewabariki

Imefika wakati kwamba, kila nchi ambayo inawayahudi walipewa nafasi serikalin

Nchi hiyo inakuwa hatari kwenye nyanja zote za kijeshi n.k

Sehemu hakuna myahudi, kuna siraha fek kama China

Ifike wakati nchi yetu ione namna ya kuwakaribisha hawa watu nchini kwetu na ama kuchanganya damu nao

Tumekuwa na warabu na hadi tumeoana nao lakini wapi, wahindi, hakuna kitu
Mngejua hao mabwana zenu wanavyowqchukia mngepunguza kujiomba.
 
Back
Top Bottom