adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Habari za muda huu wana JF.
Kumekuwa na mtizamo kuhusu Taifa la Israel watu wakisema ni Taifa la Mungu yaani limeshindikana ulianzishwa nao vita hautashinda sawa unashindana na Mungu ,baadhi ya hoja zinazotumika;
Amezungukwa na maadui pande zote lakini hawamuwezi kila mipango yao kuisambaratisha Israel inafeli vibaya
Mandeleo yao makubwa kisanyansi ,teknolojia na kushikiria sekta nyingi muhimu hapa duniani.
Kushinda vita vyao mara kea mara dhidi ya maadui zao mfano ile vita ya siku sita dhidi ya mataifa mengi ya kiarabu waliyoungana.
Nk
Tukija kihistoria;
Kutokana na mapitio yangu inaonyesha waisrael wanaweza kuwa ni watu waliodhalilishwa na kupitia mateso zaidi katika ulimwengu huu kutokana na matukio matukio mbalimbali yaliyowapitia mfano.
1.Utumwani nchini Misri kuteswa ,kunyanyaswa na kuuliwa watoto wao japo utawala wa Firauni walikuwa mbali zaidi na Mungu kuliko Wana Israeli lakini wao walikuwa watu wa chini
2.Kuna mwamba wa kuitwa Nebuchadnezzar aliwatesa sana ,alivunja mji ,nyumba za ibada ,kufanya mauaji na kuwapeleka utumwani yeye alikuwa hamjui Mungu kama mpagani tu lakini aliwatekeza watu ambao wamewahi kupita Manabii na Mitume wakubwa katika vizazi vyao na kipindi hiko walikuwa na Nabii kama sikosei.
3.Kuvamiwa na kuwa chini ya utawala wa Roman Empire
4.Manyanyaso waliyopitia sehemu walizohamia mfano Ulaya wamepitia udhalili mkubwa na mateso na huko uarabuni waliwahi kuwepo Madina wakafurumushwa .
5.Nk
Swali langu ?
Hawa jamaa na ujiniazi kama tunavyoaminishwa wameshindwa vipi kujiorganize na kuwa na mipango bora kuepukana na mateso yote hayo mpaka kudhalilishwa vibaya na maadui kuwatoa mpaka kwenye makazi yao na kutangatanga ?
Maoni yangu :
Kufanikiwa katika jambo fulani au kushinda sio ishara ya moja kwa moja kuwa wewe unapendwa na Mungu maana watu wanaweza hata kufanya biashara haramu na kuwa mkana Mungu ila akawa na mafanikio makubwa kuliko yule ambaye msafi anayejibidiisha kwa Mungu kwani wakati mwengine inaweza kuwa na mtihani .
#UziTayari
Kumekuwa na mtizamo kuhusu Taifa la Israel watu wakisema ni Taifa la Mungu yaani limeshindikana ulianzishwa nao vita hautashinda sawa unashindana na Mungu ,baadhi ya hoja zinazotumika;
Amezungukwa na maadui pande zote lakini hawamuwezi kila mipango yao kuisambaratisha Israel inafeli vibaya
Mandeleo yao makubwa kisanyansi ,teknolojia na kushikiria sekta nyingi muhimu hapa duniani.
Kushinda vita vyao mara kea mara dhidi ya maadui zao mfano ile vita ya siku sita dhidi ya mataifa mengi ya kiarabu waliyoungana.
Nk
Tukija kihistoria;
Kutokana na mapitio yangu inaonyesha waisrael wanaweza kuwa ni watu waliodhalilishwa na kupitia mateso zaidi katika ulimwengu huu kutokana na matukio matukio mbalimbali yaliyowapitia mfano.
1.Utumwani nchini Misri kuteswa ,kunyanyaswa na kuuliwa watoto wao japo utawala wa Firauni walikuwa mbali zaidi na Mungu kuliko Wana Israeli lakini wao walikuwa watu wa chini
2.Kuna mwamba wa kuitwa Nebuchadnezzar aliwatesa sana ,alivunja mji ,nyumba za ibada ,kufanya mauaji na kuwapeleka utumwani yeye alikuwa hamjui Mungu kama mpagani tu lakini aliwatekeza watu ambao wamewahi kupita Manabii na Mitume wakubwa katika vizazi vyao na kipindi hiko walikuwa na Nabii kama sikosei.
3.Kuvamiwa na kuwa chini ya utawala wa Roman Empire
4.Manyanyaso waliyopitia sehemu walizohamia mfano Ulaya wamepitia udhalili mkubwa na mateso na huko uarabuni waliwahi kuwepo Madina wakafurumushwa .
5.Nk
Swali langu ?
Hawa jamaa na ujiniazi kama tunavyoaminishwa wameshindwa vipi kujiorganize na kuwa na mipango bora kuepukana na mateso yote hayo mpaka kudhalilishwa vibaya na maadui kuwatoa mpaka kwenye makazi yao na kutangatanga ?
Maoni yangu :
Kufanikiwa katika jambo fulani au kushinda sio ishara ya moja kwa moja kuwa wewe unapendwa na Mungu maana watu wanaweza hata kufanya biashara haramu na kuwa mkana Mungu ila akawa na mafanikio makubwa kuliko yule ambaye msafi anayejibidiisha kwa Mungu kwani wakati mwengine inaweza kuwa na mtihani .
#UziTayari