Kama mafanikio ya Taifa la Israel kwa sasa kunasababishwa na utukufu wao, Je kipindi walichokuwa wanafeli tuhesabu vipi?

Kama mafanikio ya Taifa la Israel kwa sasa kunasababishwa na utukufu wao, Je kipindi walichokuwa wanafeli tuhesabu vipi?

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
12,207
Reaction score
26,521
Habari za muda huu wana JF.

Kumekuwa na mtizamo kuhusu Taifa la Israel watu wakisema ni Taifa la Mungu yaani limeshindikana ulianzishwa nao vita hautashinda sawa unashindana na Mungu ,baadhi ya hoja zinazotumika;

Amezungukwa na maadui pande zote lakini hawamuwezi kila mipango yao kuisambaratisha Israel inafeli vibaya

Mandeleo yao makubwa kisanyansi ,teknolojia na kushikiria sekta nyingi muhimu hapa duniani.

Kushinda vita vyao mara kea mara dhidi ya maadui zao mfano ile vita ya siku sita dhidi ya mataifa mengi ya kiarabu waliyoungana.

Nk

Tukija kihistoria;
Kutokana na mapitio yangu inaonyesha waisrael wanaweza kuwa ni watu waliodhalilishwa na kupitia mateso zaidi katika ulimwengu huu kutokana na matukio matukio mbalimbali yaliyowapitia mfano.

1.Utumwani nchini Misri kuteswa ,kunyanyaswa na kuuliwa watoto wao japo utawala wa Firauni walikuwa mbali zaidi na Mungu kuliko Wana Israeli lakini wao walikuwa watu wa chini

2.Kuna mwamba wa kuitwa Nebuchadnezzar aliwatesa sana ,alivunja mji ,nyumba za ibada ,kufanya mauaji na kuwapeleka utumwani yeye alikuwa hamjui Mungu kama mpagani tu lakini aliwatekeza watu ambao wamewahi kupita Manabii na Mitume wakubwa katika vizazi vyao na kipindi hiko walikuwa na Nabii kama sikosei.

3.Kuvamiwa na kuwa chini ya utawala wa Roman Empire

4.Manyanyaso waliyopitia sehemu walizohamia mfano Ulaya wamepitia udhalili mkubwa na mateso na huko uarabuni waliwahi kuwepo Madina wakafurumushwa .

5.Nk

Swali langu ?
Hawa jamaa na ujiniazi kama tunavyoaminishwa wameshindwa vipi kujiorganize na kuwa na mipango bora kuepukana na mateso yote hayo mpaka kudhalilishwa vibaya na maadui kuwatoa mpaka kwenye makazi yao na kutangatanga ?

Maoni yangu :
Kufanikiwa katika jambo fulani au kushinda sio ishara ya moja kwa moja kuwa wewe unapendwa na Mungu maana watu wanaweza hata kufanya biashara haramu na kuwa mkana Mungu ila akawa na mafanikio makubwa kuliko yule ambaye msafi anayejibidiisha kwa Mungu kwani wakati mwengine inaweza kuwa na mtihani .

#UziTayari
 
Hakujawahi tokea taifa teule,mungu siyo mbaguzi,hao waisrael wa Leo ni wazungu tu wa ulaya,ndiyo maana netanyahu Hana tofauti na lewandoski,waisrael orijino walishaisha kwa kuzaliana na wengine,maana pale kila mtu katawala,mrumi,msyria,mturuki,mwarabu,mnubi
 
Kama unataka kuishi wakati kila kona umezungukwa na maadui lazima ujiimarishe na uwe na nguvu hili ndilo walilolitambua wana-israeli mapema.
 
Hayo mambo ya uteule nadhani ni propaganda zaidi.

hila tukiongea kiukweli,taifa la Israeli baada ya kupitia kipindi kigumu sana kwenye vita ya pili ya dunia,waliona waweke mambo ya siasa kando wawekeze kwenye Elimu na maharifa.

Jamaa wanajua kuandaa watoto wakiwa toka wadogo wanawafundisha kujisomea kupenda wao kwa wao kuinuana.

Jamaa mambo ya siasa hawapo wamejikita kwenye maharifa tu na propaganda sana na mambo yamelipa sana.

Anyway Israeli kwa yote anayo fanya nadhani nikujilinda yasije mkuta kama yaliyowai mkuta huko nyuma ni haki yake kugawa dozi ili kwake kuwe na amani, maana usipopiga utapigwa.
 
Israel wanakuwa kwenye mateso pale wanapomkosea Mungu na sio kwasababu maadui zao wanao uwezo dhidi yao.

In fact Mungu ndiye huwa anawapa nguvu hao adui kutekeleza adhabu kwa Israel.
 
Kama mandonga tu, wakipigwa ni sawa wamepiga (Watasema mungu amewapa majaribio) wakipiga ni wamekupiga.

Dini kwa kiwango kikubwa zina uwongo
 
Umelezea vizuri ila cjajua Unawazungumzia Wayahudi wapi! Kama ni Hawa Wayahudi feki wa kizungu basi mie cna la kuchangia.
 
Mafunzo yetu ya Kiiisilamu yanasema Banu Israiil walineemeshwa na Allah.

Which meanz aliwapenda Allah aliwapendelea kuliko jamii zingine za Mashariki ya Kati.
 
Mafunzo yetu ya Kiiisilamu yanasema Banu Israiil walineemeshwa na Allah.

Which meanz aliwapenda Allah aliwapendelea kuliko jamii zingine za Mashariki ya Kati.
Acha kupotosha...Quran inasema Banu israili na makristo ni hadhi ya chini kuliko hata nguruwe...wote hao ni uchafu tu usio na hadhi yoyote na ipo siku watafutwa kwenye uso wa hii dunia
Quran tukufu 9:30
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa! 30


Quran tukufu 98:6
Hakika walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu(mayahudi na wakristo) na washirikina wataingia katika Moto wa Jahannamu wadumu milele humo. Hao ndio viumbe waovu kabisa. 6

Indeed, those who disbelieve from the People of the Book(jews and christians) and the polytheists will be in the Fire of Hell, to stay there forever. They are the worst of ˹all˺ creatures.

-Worst of all creatures yani worse kuliko nguruwe, mbwa na punda.
 
Acha kupotosha...Quran inasema Banu israili
[2.47] O children of Israel! call to mind My favor which I bestowed on you and that I made you excel the nations

يَـٰبَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ ٱذْكُرُوا۟ نِعْمَتِىَ ٱلَّتِىٓ أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّى فَضَّلْتُكُمْ عَلَى ٱلْعَـٰلَمِينَ ٤٧

Suratul Baqarah
 
[2.47] O children of Israel! call to mind My favor which I bestowed on you and that I made you excel the nations

يَـٰبَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ ٱذْكُرُوا۟ نِعْمَتِىَ ٱلَّتِىٓ أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّى فَضَّلْتُكُمْ عَلَى ٱلْعَـٰلَمِينَ ٤٧

Suratul Baqarah
Kwahyo Allah anajipinga kwenye Quran?
 
Habari za muda huu wana JF.

Kumekuwa na mtizamo kuhusu Taifa la Israel watu wakisema ni Taifa la Mungu yaani limeshindikana ulianzishwa nao vita hautashinda sawa unashindana na Mungu ,baadhi ya hoja zinazotumika;

Amezungukwa na maadui pande zote lakini hawamuwezi kila mipango yao kuisambaratisha Israel inafeli vibaya

Mandeleo yao makubwa kisanyansi ,teknolojia na kushikiria sekta nyingi muhimu hapa duniani.

Kushinda vita vyao mara kea mara dhidi ya maadui zao mfano ile vita ya siku sita dhidi ya mataifa mengi ya kiarabu waliyoungana.

Nk

Tukija kihistoria;
Kutokana na mapitio yangu inaonyesha waisrael wanaweza kuwa ni watu waliodhalilishwa na kupitia mateso zaidi katika ulimwengu huu kutokana na matukio matukio mbalimbali yaliyowapitia mfano.

1.Utumwani nchini Misri kuteswa ,kunyanyaswa na kuuliwa watoto wao japo utawala wa Firauni walikuwa mbali zaidi na Mungu kuliko Wana Israeli lakini wao walikuwa watu wa chini

2.Kuna mwamba wa kuitwa Nebuchadnezzar aliwatesa sana ,alivunja mji ,nyumba za ibada ,kufanya mauaji na kuwapeleka utumwani yeye alikuwa hamjui Mungu kama mpagani tu lakini aliwatekeza watu ambao wamewahi kupita Manabii na Mitume wakubwa katika vizazi vyao na kipindi hiko walikuwa na Nabii kama sikosei.

3.Kuvamiwa na kuwa chini ya utawala wa Roman Empire

4.Manyanyaso waliyopitia sehemu walizohamia mfano Ulaya wamepitia udhalili mkubwa na mateso na huko uarabuni waliwahi kuwepo Madina wakafurumushwa .

5.Nk

Swali langu ?
Hawa jamaa na ujiniazi kama tunavyoaminishwa wameshindwa vipi kujiorganize na kuwa na mipango bora kuepukana na mateso yote hayo mpaka kudhalilishwa vibaya na maadui kuwatoa mpaka kwenye makazi yao na kutangatanga ?

Maoni yangu :
Kufanikiwa katika jambo fulani au kushinda sio ishara ya moja kwa moja kuwa wewe unapendwa na Mungu maana watu wanaweza hata kufanya biashara haramu na kuwa mkana Mungu ila akawa na mafanikio makubwa kuliko yule ambaye msafi anayejibidiisha kwa Mungu kwani wakati mwengine inaweza kuwa na mtihani .

#UziTayari
Hawana utukufu wowote wa kujiita taifa la mungu kwa unyama na unyanyasaji wanao ufanya kwa watu wa Palestine
 
Hawana utukufu wowote wa kujiita taifa la mungu kwa unyama na unyanyasaji kwa watu wa Palestine
Wenyewe wanasema hiyo Ardhi na hiyo Miji ni ya kwao kabla ya hao wahamiaji kutia timu.

Na imo kwenye maandiko matakatifu.

Sijui wewe unasemaje?
 
Umelezea vizuri ila cjajua Unawazungumzia Wayahudi wapi! Kama ni Hawa Wayahudi feki wa kizungu basi mie cna la kuchangia.
Nawazungumzia hawa wakina Netanyahu watu wanasema wateule na Taifa lao teule
 
Back
Top Bottom