Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Sasa kama biashara ndogo tu imemshinda, anajua ugumu wa kuongoza nchi na kulipa mishahara wafanyakazi wote wa umma kwa wakati? au angeifilisi nchi na angeshindwa kuisimamia nchi hata kulipa mishahara kwa umma. Nani kichaa hapo?Sasa kama anafifilisika atalopaje Kofi su mshahara.
Anyway, Diablo alidai kuwa Jamaa ni Psycho ... je ni kweli alikuwa na file Mirembe...?