Kama Magufuli angekuwepo tusingechezewa hivi na Tigo

Kama Magufuli angekuwepo tusingechezewa hivi na Tigo

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,422
Reaction score
6,108
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.

Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?

Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.

Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.

Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.

Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
 
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka,
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe,
Nashauri :kwa kuwa magu hayupo wa kuwashughulikia basi watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote ttcl angalau tumuenzi magufuli,
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana
Huduma zenu mbovu na hiuo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni
Kambafu zenu wezi wakubwa
Pole..
Kwanza tambua, kuchelewa kupata token mara nyingi husababishwa na failure ya system ya serikali na TANESCO, na ndio maana msg ya token huwa inarudi kwa kutumia namba ya serikali ya jina linaloanzia na G, sikumbuki vizuri spelling zingine.

Siku nyingi ukipata changamoto ya kupokea token kwa wakati, unashauriwa kuwapigiq TENESCO moja kwa moja na utapata token zako papo hapo.

Pole kwa changamoto!
 
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.

Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?

Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.

Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.

Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.

Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Punguza Jazba
 
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.

Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?

Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.

Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.

Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.

Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Kwanza kwann usubir mpka umeme uishe Wote Ndio ununue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kwann usubir mpka umeme uishe Wote Ndio ununue

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kujisahau tu
Pole..
Kwanza tambua, kuchelewa kupata token mara nyingi husababishwa na failure ya system ya serikali na TANESCO, na ndio maana msg ya token huwa inarudi kwa kutumia namba ya serikali ya jina linaloanzia na G, sikumbuki vizuri spelling zingine.

Siku nyingi ukipata changamoto ya kupokea token kwa wakati, unashauriwa kuwapigiq TENESCO moja kwa moja na utapata token zako papo hapo.

Pole kwa changamoto!
Hela wachukue tigo simu upige tanesco?
Halafu hao si ndio watakutusi kabisa?
 
Sina hamu nao TIGO kadi Yao ninafanya yakupokelea tu simu nilisha achana nao 50k harafu wanajibu subir masaa 72.lakini ikafika miezi mi wili.
 
Back
Top Bottom