pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
- #41
Saa hii tungekuwa na ttcl tu, hao mafisadi wote wangehama wenyewe🤣🤣 sasa JPM angeenda kuwapga vboko au
Hasa hao tigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa hii tungekuwa na ttcl tu, hao mafisadi wote wangehama wenyewe🤣🤣 sasa JPM angeenda kuwapga vboko au
Acha mbwembwe mkuu, siku nyingine ukipata hii changamoto, fanya kama nilivyo kushauri halafu ulete mrejesho!Ni kujisahau tu
Hela wachukue tigo simu upige tanesco?
Halafu hao si ndio watakutusi kabisa?
Nilinunua Umeme kwenye tiGO Pesa, leo ni zaidi ya Mwezi sijapata hela na sijapata UmemeUmeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Na wala hatutapata kama maguAmtegemeaye binadamu amelaaniwa. Badala utatue changamoto umeanza kulalamika. Endelea kumuwaza
Nipe hiyo namba ya tanescoAcha mbwembwe mkuu, siku nyingine ukipata hii changamoto, fanya kama nilivyo kushauri halafu ulete mrejesho!
Duuh basi ingia kwenye page yao ya Facebook waeleze tatizo,nenda ingia InboxNimefanya hivyo tangia jana hakuna kitu
Ok 👍Duuh basi ingia kwenye page yao ya Facebook waeleze tatizo,nenda ingia Inbox
0657108782Nipe hiyo namba ya tanesco
Nina hakika hawa jamaa wamo humu, yaani baada ya kukuomba namba tu wamerudisha hela zangu, asante sana jamii forum na member wote kwa kupaza sauti, asanteni tigo ila kuhama kuko pale pale,0657108782
Sijawahi kuielewa tigo tangu ilipoanza bongo pamoja na promosheni zao za kutunasa wateja kwenye nyavu.Mimi nilikuwa airtel nikaona miyeyusho hasa kwenye miamala kwenye airtel money ukipoteza line au kukosea kutuma pesa utapata taabu sana, nikaona isiwe shida nikahamia voda huku ni mwendo mserereko, pamoja na mapungufu machache lkn hawa jamaa kwenye miamala wako vizuri sana, nashauri mitandao mingine waige kwao.Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Utoke Tigo uhamie TTCL.?? Ni sawa na kushuka kwenye shabiby upande Alhushoom(dodoma-moro masaa 8)Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Kwani wakati wa huyo Jiwe walikuwa hawafanyi hivyo?Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.
Nakumbuka 100000 wakati flani mwaka 2016 haikurudi mpaka leo, nikifatilia mpaka nikaona ninazopoteza nyingi kuliko hiyo nikaachana naoKwani wakati wa huyo Jiwe walikuwa hawafanyi hivyo?
Idiot ndio nini?Your just an idiot, ukinunua umeme kupitia tigo pesa usipopata token nani kakwambia ni shida ya Tigo?
Shida sio Tigo, mitandao ya simu imekaa kama midlemen tu kurahisisha huduma (mtu wa katikati) anayeku link wewe na Serikali ( Tanesco) anachukua pesa yako anaifikisha kwa Tanesco na ndio maana unapata message kutoka tigo inayoonesha fedha zimepelekwa mahala husika kutokupata Token ni issue nyingine ya sever ya serikali kushindwa kurudisha message so sio tatizo ka Tigo.
Ushawai kuskia mtu anatumiwa token baada ya kununua umeme ila still Token zinagoma kuingia then anaenda mtandao wa simu kuuliza mbona toen azikubali kwa akili ya kawaida mtu uwa anajua mtandao wa simu ndio unatoa token ila sivyo inabid aende au awasiliane na Tanesco
Nooo ttcl wanaenda kubadilika, sanaUtoke Tigo uhamie TTCL.?? Ni sawa na kushuka kwenye shabiby upande Alhushoom(dodoma-moro masaa 8)
Uzi wako ulikuwa mzuri tu na una point yake ila ulipoharibu ni huyo jamaa uliyemtaja !Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku shughuli zimechangamka.
Unajibiwa majibu mepesi sana eti subiri masaa 24 utashughulikiwa, serious?
Hawa ni wezi kuliko wezi wenyewe.
Nashauri kwakuwa Magufuli hayupo wa kuwashughulikia basi Watanzania tuungane kwa umoja wetu tujitoe soooote kwenye kampuni hii tuingie soooote TTCL angalau tumuenzi Magufuli.
Kama kuna mteja angalau mmoja ambaye hajanyanyaswa na tigo nampa hongera sana.
Huduma zenu mbovu na hiyo hela labda musiirudishe tena lakini siku mukiirudisha tu na likadi lenu nalitia chooni.